Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Yaani watu wana makasiriko sana aiseeeHili ni jukwa huru watu wa makabila mengine hawajakatazwa sababu mtoa Uzi hajaponda kabila lingine lolote like hata wewe una uhuru wa kupasifa kwenu
Mbona una wivu hivi?Wachaga na wahaya huwa wanajionaga unique sana kama Tanzanite! Ndio maana waliisoma namba! Saivi wanaanza kuibuka kidogo kidogo.
Nitajie mkoa ambao hauna vumbi kipindi cha kiangazi hapa TanzaniaHakuna mandhari nzuri uchaggani. Mkoa umejaa TOPE, MIINUKO, MQBONDE na VUMBI JEKUNDUUU.
Ni maeneo machache sana Yana unyevu na baridi unaofanya majani kuwa kijani nyakati fulani za mwaka.
Weka ya Wapare wewe au fungua uzi wa Upareni tuweke picha tunazoSoma post aliposema uchagani kwani hamna wapare
Nikisema Vumbi simaanishi mchanga.Nitajie mkoa ambao hauna vumbi hapa Tanzania
Mkuu mim Niko dar na Kuna vumbi, nenda dodoma, singida, uone lile vumbi lake, nenda mbeya au iringa uone lile vumbi lilopo kule in short Tanzania nzima Ina vumbi kipindi Cha kiangaziNikisema Vumbi simaanishi mchanga.
Unalijua Vumbi la Kigoma ?
Vumbi Kama Hilo ndilo liko baadhi ya maeneo uchaggani halafu, linapulizwa na UPEPO muda wote mpaka macho yanakuwa Kama albino
Me sio mangiMangi acha kujitekenya mwenyew...
Ukweli usemwe watu wengi wa huko hawana roho za kibinadamu wa kawaida...ule utu wa kawaida hamna kabisa japo sio wote...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Haya rudini kwenu Kama kila sehemu Kuna Vumbi.Mkuu mim Niko dar na Kuna vumbi, nenda dodoma, singida, uone lile vumbi lake, nenda mbeya au iringa uone lile vumbi lilopo kule in short Tanzania nzima Ina vumbi kipindi Cha kiangazi
Masikiro ya nyokwe kama ni za Kilimanjaro kapost kweny magroup ya walevi fanya sijibishana na uncivilizedWeka ya Wapare wewe au fungua uzi wa Upareni tuweke picha tunazo
Mbona makasiriko sana aisee?
Jukwaa guru ndio sasa ndo ukabilaHili ni jukwa huru watu wa makabila mengine hawajakatazwa sababu mtoa Uzi hajaponda kabila lingine lolote like hata wewe una uhuru wa kupasifa kwenu
Mimi mtoto wa mjini niwaonee wivu wakati nawaonea huruma porini mtakuja kung'atwa na nyoka na izo ndizi kama ngedereUchagani ni tofauti na Upareni...
Kama anaongelea Uchagani unataka aongelee Upareni?
Mbona wivu mkali hivi?
Kwanini usiongelee Upareni wewe?Hii bitterness itakuua mpumbavu wewe
Weak tribes always cry faul on stupid things....
Umejaa makasiriko sana aisee.....
Mtu anataka kuongelea alipoenda na kuweka picha,wewe upo butt hurt to death.....what the fvck?
Mkabila ni wewe unaezuia watu wasiongelee maeneo yao unataka waongelee maeneo ya wengine
Huyo jamaa ni fala sana, umefanya vizuri. Kenge wa namna hiyo ndiyo dawa yao.Umenikumbusha leo asubuhi...nimepanda panda bajaji ya mchaga mmoja na tukakubaliana bei kuwa ni 2000 kabisa...tena kulikuwa na bajaji nyingine wananigombania..
Kuja kushuka mwendo hata km 2 hazifiki kapandisha nauli na kusema 5000...kidogo tuzichape lakin baadae nikamuacha tu tena nikampa 10000..sijui anajisikiaje mpaka sasa kwa aibu akiniona...
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sidhani kama Wachagga wamemfanya kitu chochote kibaya!Kuna kitu kibaya wachaga walikufanya..sio bure...pole sana dunia haijawahi kuwa fair.
#MaendeleoHayanaChama
Chasaka ni nani?Mchagga kwenye kudhulumu Hana aibu kabisa. Tena ukiwa mnyongr atakuendesha kinoma.
Mchagga hata kuchimba kaburi la Ndugu yake mpaka alipwe pesa au apewe Pombe, ndio utegemee akuchukulie fair wewe Chasaka
Mtu ambaye Ni wa KUJA. Wanaweza kukuita CHASAKA au MPORI yaani mtu wa PORINI.Chasaka ni nani?
Issue siyo utapeli, issue ni njaa. Njaa mbaya.[emoji23]Issue ni mandhari nzuri, utapeli upo dunia nzima.
Hekma nzuri.Acha makasiriko mkuu fanya Kwa ufanisi Kwa kilichokuleta , pia kama unapicha za maeneo yakwanu so mbaya ukaztupia tufanye utalii, ikibidi tuende jfunza ya huko