Tupia picha zinazoonesha uzuri wa nchi yetu ya πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Mbona una hasira hivyo mzee?

Huoni kama hilo ni swali kutokea kwenye comment yenye kuhusianisha kona za Nyong'oro na Kitonga? ambapo wewe na huyo jamaa mwingine mlikuwa mnaelekezana...
Nina hasira najua leo Waydad anatufanya vibaya so kila comment nahisi mnanipigia kelele. Pole.bro, sikuelewa comment yako.πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…