Tupia picha zinazoonesha uzuri wa nchi yetu ya 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

Tupia picha zinazoonesha uzuri wa nchi yetu ya 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

17021058772526191544280147195074.jpg
 
Mbona una hasira hivyo mzee?

Huoni kama hilo ni swali kutokea kwenye comment yenye kuhusianisha kona za Nyong'oro na Kitonga? ambapo wewe na huyo jamaa mwingine mlikuwa mnaelekezana...
Nina hasira najua leo Waydad anatufanya vibaya so kila comment nahisi mnanipigia kelele. Pole.bro, sikuelewa comment yako.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom