Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hii sister?
Green views za uhakika kama vile bustanini EdenSawa Mkuu, hii ni Arusha…..
Mnazi Mmoja, ZenjiWapi hapa kama ulaya
Bro ila mapori, uasilia na mazingira nayo uzuri wa nchi yetu. Kuna siku nikiwa naishi Iringa, tulipokea wageni fulani toka Misri pale Nduli na kuwapeleka sehemu moja panaitwa Dabaga. Kule mahali pana Baridi sana na pana mashamba makubwa ya miti na parachichi. Sehemu ile ina greenish ya ajabu. Wale Waarabu wa Kimisri walichanganyikiwa kwa ukijani ule, mashamba ya miti ya mipine na uoto wa asili wa mito, maji maji pamoja na Ukungu. Jamaa wakawa wanapiga picha na kurekodi kila mahali. Walikuwa na furaha kwa kuona hali ile kwani kwao hakuna kitu kama hiko. Binafsi nilijifunza kuwa ushamba haupo kwenye manyumba, magari na maghorofa tu kumbe hata hali ya Mazingira nayo yanaweza kumfanya mtu awe mshamba na avutiwe nayo.Nilikuwa nataka nianze kuuliza hivi uzuri wa hii nchi ni mapori tu na wanyama ndio nikaziona hizi 📸 🔥🔥🔥😄
Nina hasira najua leo Waydad anatufanya vibaya so kila comment nahisi mnanipigia kelele. Pole.bro, sikuelewa comment yako.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtoni kijichiWapi hii sister?
mideko ulikuw unaenda wapi huku mana hii mitaa naishi. hapa kulia kuna jamaa wanauza viatu. naishi kona hizi na nakimbiaga barabara hii kila jioni
thats home kabisa yani. kingazi pub hapo nyabutaizi. sheliya puma... ukipita tena tuwasiliane nikuoneMtoni kijichi
😅😅✅✅✅thats home kabisa yani. kingazi pub hapo nyabutaizi. sheliya puma... ukipita tena tuwasiliane nikuone
Tuko majirani basi.....mideko ulikuw unaenda wapi huku mana hii mitaa naishi. hapa kulia kuna jamaa wanauza viatu. naishi kona hizi na nakimbiaga barabara hii kila jioni
sawa jiraniTuko majirani basi.....
Sana ndugu yangu, ni vile umaskini umekua mkubwa ila ilikua ni muhimu sana kutembelea maeneo haya.What a Paradise Mkuu.
Sijui kwa nini siku hizi naona kama Zanzibar nchi nyingine!!
Hayo manyasi mbona ya kijani kijani isiyo eleweka eleweka🤔