Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Hivi wewe bado ni "kipara kipya cha zamani"?
 
Kwa sanduku la kura ambazo mnazilinda nyinyi wenyewe siyo! Kwa sanduku la kura huku Mwenyekiti na wasaidizi wa tume yote ya uchaguzi wakiteuliwa na mwenyekiti wenu wa chama siyo!!

Ok. Nimekuelewa.
... Mwenyekiti ambaye naye kura zake zimo humo humo ndani ya sanduku! Masanduku ambayo wasimamizi ni makada wateuliwa wa Mwenyekiti! Huo ni uchaguzi au kiinimacho?
 
Kwa sanduku la kura ambazo mnazilinda nyinyi wenyewe siyo! Kwa sanduku la kura huku Mwenyekiti na wasaidizi wa tume yote ya uchaguzi wakiteuliwa na mwenyekiti wenu wa chama siyo!!

Ok. Nimekuelewa.
Kama nguvu inayotumika kutaka kubadili katiba vyivo hivyo ikitumika kwenye sanduku la kura hakuna jinsi itaondoka ila kura hazipigwi za kutosha tuachane na propaganda fikirishi!
 
Tatizo la tamko la TEC ni nini hasa?

Kwa vile ni maaskofu wa kikatoliki? Mbona pointi zao ziko wazi na zinaeleweka?

Nasubiri tamko la akina Sheikh Kipozeo nao tuone litasemaje; na kama litaandamwa kama la hawa maaskofu.

Halafu wafuatie KKKT, SDA, Anglican, TAG, Umoja wa Mitume na Manabii Tanzania, Kakobe, Mwingira, Mzee wa Upako, Geo Davie, Mwamposa, Mwakasege na wengineo.....

Udini! Tunacheza na moto wa ajabu ambao tukiuachia hakuna atakayeweza kuuzima huko mbele ya safari!
Utawasikia iwapo maslahi yao yameguswa ila kama hayajaguswa hutowasikia!
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Wamempangia nani labda? Wametoa maoni yao. Bandari mkitaka endeleeni ila wameshatoa maoni yao. Hawajamlazimisha mtu kuyafuata. We vipi wewe!
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
We ndio unaleta udini kwenye vitu vya msingi

Ni wapi TEC wameongoza nchi?

Uwezo mdogo wa kufikiri utaendelea kuwafanya muwe maskini

Umeandika rubbish
 
We ndio unaleta udini kwenye vitu vya msingi

Ni wapi TEC wameongoza nchi?

Uwezo mdogo wa kufikiri utaendelea kuwafanya muwe maskini

Umeandika rubbish
Ni maoni kama walivyo toa Tec ila kama ni udini basi Tec ni namba moja masheikh walikaa gerezani hatukusikia Tec leo kukaa mseminar mmoja mahabusu Tec wamekuja tuwakemee na pepo la udini!
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
88e9c89499d4df560b14e66647faae32.jpg
 
Mbona unaleta makasiriko nawe tuwa maoni yako kama wale wametoa yao!
Sasa we unavosema mauzauza una akili kweli? Mauzauza ya mkataba wa bandari hujayaona kwani? Wewe ndio umeleta makasiriko yasio na mantiki, we unadhani ata hiyo katiba mpya ikija ndio nini? Kisanaa ya kodi wanafaidi wanasiasa kwa taarifa yako, hao maaskofu wana nini la maana? Maghorofa na mabiashara? Embu kuwa serious.
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Mmepigwa kweny mshono na bado!!
 
Sasa we unavosema mauzauza una akili kweli? Mauzauza ya mkataba wa bandari hujayaona kwani? Wewe ndio umeleta makasiriko yasio na mantiki, we unadhani ata hiyo katiba mpya ikija ndio nini? Kisanaa ya kodi wanafaidi wanasiasa kwa taarifa yako, hao maaskofu wana nini la maana? Maghorofa na mabiashara? Embu kuwa serious.
Kipara ashapoteza ubongo wake tang enz ya jiwe na haijulikan ubongo wake ulitupiwa wap.
 
Back
Top Bottom