Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Tatizo la tamko la TEC ni nini hasa?

Kwa vile ni maaskofu wa kikatoliki? Mbona pointi zao ziko wazi na zinaeleweka?

Na kuna ugumu gani kubadili vipengele vinavyopigiwa makelele na wananchi na mkataba ukaendelea?

Kwani wao TEC wanataka kubadili vipengele?wao wako so openly hawataki mwarabu...
Ingekuwa vipengele wasingetoa tamko baada ya hukumu ya mahakama...
Hukumu ya mahakama iko so openly kuwa kasoro zote ndogo zinarekebishika Kwa mkataba mahususi... HGA...na sio IGA
Maaskofu wanakuja na waraka wa kupinga IGA tena baada ya hukumu
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
TEC wamepiga kwenye MSHONO Mbichi ,Madalali wanaibuka kilo KONA.
 
Utawasikia iwapo maslahi yao yameguswa ila kama hayajaguswa hutowasikia!
Badilisheni vipengele vya mkataba vinavyolalamikiwa na wananchi halafu uwekezaji uendelee. Tatizo liko wapi? Najua mnalipwa ndiyo lakini ifike mahali hata hao wanaowalipa watambue kwamba huu mkataba una matatizo na ni lazima kuwasikiliza wananchi wenu.

Rudini Dubai mkapige magoti na kuwaomba sana wawakubalie kubadili hivyo vipengele vinavyolalamikiwa na mambo yaendelee. Sasa nyinyi mnamalizia nguvu zenu kwenye kupambana na kila mtu anayekosoa mkataba huu tena kwa kutumia ad hominem attacks. Mtashambulia na kupambana na wangapi? Mpaka lini?

Mkataba ufanyiwe marekebisho. DP World aje awekeze. Nchi iendelee na mambo mengine!
 
[emoji1787][emoji23][emoji23]
Kwamba katiba iseme ni marufuku makanisa kuongoza nchi?
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Hongera sana kipara kipya umekuwa huru kutoa maoni yako. Tuko wengi tuliokataa kuwa nyumbu
 
Kwani wao TEC wanataka kubadili vipengele?wao wako so openly hawataki mwarabu...
Ingekuwa vipengele wasingetoa tamko baada ya hukumu ya mahakama...
Hukumu ya mahakama iko so openly kuwa kasoro zote ndogo zinarekebishika Kwa mkataba mahususi... HGA...na sio IGA
Maaskofu wanakuja na waraka wa kupinga IGA tena baada ya hukumu
Mikataba mingapi mibovu nchii hatukuwahi kusikia baraza limetoa tamko!
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Udini mnaueneza sana.., hamuangalii kilichozungumzwa bali mnaangalia kimezungumzwa na nani. Kwani hao TEC na BAKWATA siyo wananchi, hawaruhusiwi kutoa maoni yao. Kila mnapozidiwa hoja manaibuka na hoja za Udini, ujinga tu.
 
Udini mnaueneza sana.., hamuangalii kilichozungumzwa bali mnaangalia kimezungumzwa na nani. Kwani hao TEC na BAKWATA siyo wananchi, hawaruhusiwi kutoa maoni yao. Kila mnapozidiwa hoja manaibuka na hoja za Udini, ujinga tu.
Ndio shida Yao hao hao wanasahau Muislamu ndie anajenga reli ndie anajenga bwawa tenda kapewa na Mkristo,wakizidiwa hoja wanakimbilia kwenye dini
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
kweli, kama mambo yanaenda vizuru, huwezi kusikia Vyombo vya dini vikiingilia.
 
Kwani wao TEC wanataka kubadili vipengele?wao wako so openly hawataki mwarabu...
Ingekuwa vipengele wasingetoa tamko baada ya hukumu ya mahakama...
Hukumu ya mahakama iko so openly kuwa kasoro zote ndogo zinarekebishika Kwa mkataba mahususi... HGA...na sio IGA
Maaskofu wanakuja na waraka wa kupinga IGA tena baada ya hukumu
Mbona Nchi hii waarabu na waislamu ndio wameshika uchumi ikiwemo viwanda,Pana Mkristo gani anamiliki kiwanda nchini.
Muislamu ndie anajenga reli ndie anajenga bwawa la umeme huo udini upo wapi.
Dini isiwe kichaka Cha kupitishia mikataba mibovu isiyozingatia usalama wa nchi.
 
Ndio shida Yao hao hao wanasahau Muislamu ndie anajenga reli ndie anajenga bwawa tenda kapewa na Mkristo,wakizidiwa hoja wanakimbilia kwenye dini
Mim nahisi shule nayo inasaidia pakubwa sana.., maana kama una shule kichwani kila kitu uonacho nakukisikia lazima ujiulize, siyo kutiwa sumu tu bila kujiuliza. Wengi wao niwajinga sana. Mtawala hana hasara, siku pakichafuka yey na familia na walinzi wake chap na haraka wanasepa uhamishoni.
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Sisi wananchi tunaamini na tunajua contents za waraka wa TEC against IGA ni kweli, kweli tupu. Tangu lini kupinga mkataba wa hovyo iwe udini?
Kuynyamazia mkataba huu mbovu wa DPw simply bse umeletwa na kusainiwe na ''waziri mwislamu mwenzetu'' siyo udini?! Kwangu mimi ni udini tena udini mbaya sana uliopitiliza.
 
Back
Top Bottom