Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Katiba mpya ni sasa
 
Hata Katiba yako unaijua ?!!! Katiba yako ya sasa inatamka wazi Serikali haina Dini...; Kwahio ndio yaleyale ya kila siku Tatizo kubwa la hii nchi ni utekelezaji na kufuata Katiba na Sheria (ambayo haifuatwi)
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Kupinga Mkataba wa Bandari ni Mauzauza na Udini ila Kuunga Mkono Bandari SIO UDINI ni Ujinga
 
Tatizo liko wapi? TEC wameweka bayana kwanini hawaungi mkono mkataba.

Mlitaka wanyamaze tu kwani wanahudumia watu au hewa?

Kama walicho andika hakina maana si muwapuuze tu kama mnaweza?

Mahali popote pakiwa na ombwe kuna kitu kita kuja kujazia ombwe, upende usipende.

Serikali inaweza kuendelea kutekeleza kila kitu itakavyo, lakini wanaojielewa huwa hawasiti kueleza hofu zao. Na muda ni mwamuzi mzuri.

Msiwasakame TEC, hii siyo mara ya kwanza kutoa waraka. Mnasahau, ni kama vile huu ni waraka wa kwanza kutoa mtazamo tofauti na mamlaka.

Yatapita kama yalivyopita, ila ukweli hauchelewi kujidhihirisha.

TEC mkiona la kutafadhalisha msiache, maana tulio tarajia kufanya wajibu tulio wapa wamejipa jukumu la kupitisha mambo muhimu kwa mihemko.
 
Hawa jamaa wanaojiita maaskofu hadi leo sijawaelewa wameniachia maswali mengi sana bila majibu,
~Wanatuchukuliaje yani watz?
~Wanajikuta ni akina nani kwenye hii nchi?
~Kwamba wanatuweza sana au?
~Wanahisi ili taifa ni la kanisa au sote waumini wao?
~Au wanajiona ni spesho sana kama ~wanavyotukuzwa makanisani hadi kuitwa ~watakatifu sijui nini wanahisi nchi nzima tunashobo nao?
~Au wametumwa?
~wanalawitiana kila siku, wanabaka watoto, wananyasa kingono waumini na masister kil siku, shutuma za baadhi ya mashirika kuvaa mwamvuli wa kanisa na kujihusish na ushoga yooote kmya hawajawai toa tamko wala waraka, ila bada ya tawi lao la kanisa kushindwa (chadema) wameamua kuja wenyewe???

Waache usengelema hata kama wanahofia maokoto yao na kitonga cha kupitisha shehena kwa dezo bandarini kama walivyozoea & wasijipe umuhimu ktk taifa lisilo la kidini.
Yani kiufupi watulize mshono
 
Kwa sanduku la kura ambazo mnazilinda nyinyi wenyewe siyo! Kwa sanduku la kura huku Mwenyekiti na wasaidizi wa tume yote ya uchaguzi wakiteuliwa na mwenyekiti wenu wa chama siyo!!

Ok. Nimekuelewa.
Ukweli ndio Huo kutegemea CCM wataondoka Kwa sanduku la kula huku ndio wenye maamuzi yote ya nani atangaze ushindi, nikujidanganya.
kipara kipya anajua kuwa haiwezekani kwasababu wao ni chawa wa CCM
 
... Mwenyekiti ambaye naye kura zake zimo humo humo ndani ya sanduku! Masanduku ambayo wasimamizi ni makada wateuliwa wa Mwenyekiti! Huo ni uchaguzi au kiinimacho?
Uchaguzi wa Tanzania ni kupoteza muda tu CCM ni wezi hawapo tayari kuruhusu uchaguzi wa haki labda Kwa karamu ya damu
 
Kama nguvu inayotumika kutaka kubadili katiba vyivo hivyo ikitumika kwenye sanduku la kura hakuna jinsi itaondoka ila kura hazipigwi za kutosha tuachane na propaganda fikirishi!
Siyo kweli kura zinapigwa na mnatangaza mnaowataka wenyewe
 
Back
Top Bottom