kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #41
Zikija wewe pia unakuwa kwenye foleni!Wewe subiria tende za bure kutoka uarabuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikija wewe pia unakuwa kwenye foleni!Wewe subiria tende za bure kutoka uarabuni
Walitakiwa pia wapaze sauti!Aliyewawekea jela ni Muislamu mwenzao
Ubovu wako wa kufuatilia historia ya TEC na uwekezaji usitufanye wote tuonekane wabovu,nenda kafuatilie matamko ya kanisa wakati wa ubinafsishaji wa mashirika ya umma.Mbona kanisa lilipoongea kuhusu siasa kwenye waraka wa pasaka hamkuleta story nyingi mlifurahi kwa kuwa JPM alikuwa mkatoliki?Mikataba mingapi mibovu nchii hatukuwahi kusikia baraza limetoa tamko!
Yaani mashehe wapo ndani waislamu mpo kimya mnataka mkatoliki awapigie kelele???nyie kazi kuvaa kobazi tu si ujinga huoNi maoni kama walivyo toa Tec ila kama ni udini basi Tec ni namba moja masheikh walikaa gerezani hatukusikia Tec leo kukaa mseminar mmoja mahabusu Tec wamekuja tuwakemee na pepo la udini!
Haya ni maoni yangu nawe toa ya kwako wacha hasira una vidonda vya tumbo kunywa pilipili vitatulia!Ubovu wako wa kufuatilia historia ya TEC na uwekezaji usitufanye wote tuonekane wabovu,nenda kafuatilie matamko ya kanisa wakati wa ubinafsishaji wa mashirika ya umma.Mbona kanisa lilipoongea kuhusu siasa kwenye waraka wa pasaka hamkuleta story nyingi mlifurahi kwa kuwa JPM alikuwa mkatoliki?
Ss mbona apo ht mm la saba nakusaidia uelewe. Ni sawa na kusema mwanachama wa chama cha wacheza soka akatetewe na chama cha wacheza dansi. Si ni jukum la chama chake kumsemezea.Ni maoni kama walivyo toa Tec ila kama ni udini basi Tec ni namba moja masheikh walikaa gerezani hatukusikia Tec leo kukaa mseminar mmoja mahabusu Tec wamekuja tuwakemee na pepo la udini!
awq wanqfanya badhi ya waislam tuonekane atuna akiliYaani mashehe wapo ndani waislamu mpo kimya mnataka mkatoliki awapigie kelele???nyie kazi kuvaa kobazi tu si ujinga huo
Sijui lalamiko Lake lina maana gani mkuuawq wanqfanya badhi ya waislam tuonekane atuna akili
Bila katiba mpya ccm haiwezi kushindwa.CCM wanaweza kuondoka kwa sanduku la kura
Sema ziko wazi kwako uelewa hauko uniform. Wewe unaona ziko sawa ila wengine tunaona haziko sawaTatizo la tamko la TEC ni nini hasa?
Kwa vile ni maaskofu wa kikatoliki? Mbona pointi zao ziko wazi na zinaeleweka?
Na kuna ugumu gani kubadili vipengele vinavyopigiwa makelele na wananchi na mkataba ukaendelea?
MéksibukuuTatizo la tamko la TEC ni nini hasa?
Kwa vile ni maaskofu wa kikatoliki? Mbona pointi zao ziko wazi na zinaeleweka?
Na kuna ugumu gani kubadili vipengele vinavyopigiwa makelele na wananchi na mkataba ukaendelea?
Mungu ni mkubwa sana ! hata wewe unataka Katiba mpya !Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.
Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.
Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba
VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Leo unamkana kipara kipya? Leo yeye kawa dalali?
kwasababu alidiliki kutumia mbinu chafu kwenye mkataba, sisi hatumtaki tena.Dp world akubali kukaa chini kufanya marekebisho ya mkataba. Shida ilikua mkataba ila sasa naona ata brand yake inazidi kukataliwa
TEC inafikiri kuwa yenyewe ndio itaunda Katiba mpya?Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.
Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.
Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba
VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Mtahangaika sana na mkataba huu wa Kimangungo kuuhalalisha, hivi kwa mfano Ibara 4 (2) inayosema iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi, hapa Kuna Cha kuunga mkono upuuzi kama huu? Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, Tena kwa Mali zake? Kingine kinacholeta kichefuchefu eti bandari za Zanzibar zisiwemo, za Tanganyika tu ndizo apewe Mwarabu? Huu ujinga ubaki CCM na Dubai.Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.
Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.
Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba
VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Wewe huwa unapiga kura ukiwa umesimamiwa na bunduki mgongoni?Kwa sanduku la kura ambazo mnazilinda nyinyi wenyewe siyo! Kwa sanduku la kura huku Mwenyekiti na wasaidizi wa tume yote ya uchaguzi wakiteuliwa na mwenyekiti wenu wa chama siyo!!
Ok. Nimekuelewa.
Makanisa mengine yakialikwa ikulu TEC wananuna; Mchungaji lusekelo mzee wa upakoTatizo la tamko la TEC ni nini hasa?
Kwa vile ni maaskofu wa kikatoliki? Mbona pointi zao ziko wazi na zinaeleweka?
Na kuna ugumu gani kubadili vipengele vinavyopigiwa makelele na wananchi na mkataba ukaendelea?
Serikali haina dini.Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama,ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.
Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.
Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba
VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.