Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Tupiganie Katiba Mpya ili kuondoa haya mauza uza ya TEC

Sasa we unavosema mauzauza una akili kweli? Mauzauza ya mkataba wa bandari hujayaona kwani? Wewe ndio umeleta makasiriko yasio na mantiki, we unadhani ata hiyo katiba mpya ikija ndio nini? Kisanaa ya kodi wanafaidi wanasiasa kwa taarifa yako, hao maaskofu wana nini la maana? Maghorofa na mabiashara? Embu kuwa serious.
Unamjua kila mmoja undani wa hao maskofu wanamiliki nini au nawe ni askofu !
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Kudai katiba mpya sio shughuli ndogo kwa watanzania hawa wanaowaza simba na yanga
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Sasa upiganie nini? Huo ujinga, Samia alishatangaza kuunda katiba mpya au hujawahi kusikia? Kaunda mpaka tume ya maridhiano na moja ya hoja ya hiyo tume ni katiba mpya, hulielewi hilo?


Hivi huwa mmelala na mnakurupuka tu na kujisemea hovyo bila kujuwa yaliyopo wakati mmelala?

Nashindwa hata kuwaelewa watu kama wewe. Jionee msimamo wa Sania kuhusu katiba mpya:


View: https://youtu.be/_FvGKB3kvb8
 
Katiba mpya sawa.

Kuiondoa CCM madarakani siyo lelemama mimi sina chama.

CCM ina mzizi mkubwa labda kuweka idadi kubwa ya wabunge wa upinzani ili wakachuane huko mjengoni kama na wenyewe hawatakuwa wepesi wakanunulika.

TEC wameongozwa na Mungu mwenyewe, na ujue mpaka kufikia TEC kutoa waraka ni lazima walijaribu kwa mazungumzo ikashindikana.

TEC, Mungu awabariki sana.
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Hao TEC ndio wako front line kwenye hilo sasa
 
Wale wenye dini na wasio na dini wenye vyama na wasio na vyama, ni vyema sasa nchi ikaungana tupate katiba mpya itakayotuondolea haya mauza ya nchi kuendeshwa sijui na maaskofu maana yalikuwa yanasemwa kwa siri na walinyooshewa vidole muda mrefu kuwa ndio wanaiongoza nchi lakini wengi walikataa.

Hatimaye sasa hadharani wamejitokeza kutaka kuipangia nchi maana ile misamaha ya kodi itakuwa haipo tena.

Dawa ya kuondoa upuuzi huo dawa ni katiba

VIVA KATIBA MPYA
TUPIGE VITA UDINI.
Ujinga mtupu umeandika
 
We ndio unaleta udini kwenye vitu vya msingi

Ni wapi TEC wameongoza nchi?

Uwezo mdogo wa kufikiri utaendelea kuwafanya muwe maskini

Umeandika rubbish
Kutoa maoni sawa, wapi hao TEC walipewa kazi ya kushawishi watu kukubali au kukataa mkataba!
 
Kutoa maoni sawa, wapi hao TEC walipewa kazi ya kushawishi watu kukubali au kukataa mkataba!
Kwani TEC wamekulazimisha ukubali au ukatae mkataba?

Nimekujibu basi tu lakini swali lako la kijinga😏
 
Back
Top Bottom