Amen ππ€π€ Uishi miaka Mingi
Thank you π₯°Leejay 49
Mkuu naheshimu hii comment kutoka kwako. Asante sana ππ»ππ»Swala la sura hapo tutakua tunadanganyana wakuu unless uwe unamfahamu mmiliki wa ID personally.
Ila binafsi kuna ID mbili tatu ambazo nahisi wamiliki wake ni wa jinsia ya kike ila kwakweli akili zao zimetulia.
Prishaz , binti kiziwi na @NAHUJA
mmebaki wachache kama wewe.Kawaida tu, unasahau mimi ni muafrika? π
Unatujua wamama wa kiafrika.!
Thanks,but umejuaje my voiceπ³πLeejay49 brandina financial services Ms eyes To yeye
Hawa mademu wako smart sana mpaka sauti zao zimepangilika na wenye busara mno.
Unique Flower yupo pouwa isipokua anajaziba wakati mwingine na hii akipata mwanaume mkorofi naona atakua wife material moja kwa moja
Hello Chamaβ¦ am humbled bestie πβ€οΈ
YeahNaunga mkono hoja yako mkuu.
Jirani mbona umeanza tamaa mapema πππNikikutaja kwenye hiyo elfu 10 utanipa sh ngap jirani ?
WelcomeHello Chamaβ¦ am humbled bestie πβ€οΈ
Huyo hata km sio mzuri kwa urembo anaweza akawa wife material... Ni hisia zangu probably anaweza akawaNIlimuona Nifah ni mzuri sanaa Aisee
Rangi ya mtume
Basi yupo kamili 10/10Huyo hata km sio mzuri kwa urembo anaweza akawa wife material... Ni hisia zangu probably anaweza akawa
Ndio nakukubali Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliii?