Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Naunga mkono hoja ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Cc and 100 others
 
Naunga mkono hoja ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Cc and 100 others
Kuna kipindi nilikua nikiingia jf nakua bored kinoma, bora hivi aisee, hapa kila siku mtaniona
Hii ni moja ya sababu inanifanya niwe active huku. Ila bro nilichokueleza kifanyie kazi usirudie kufanya ulichofanya kwangu kwa wengine. Usiende kuteta inbox, men hatuteti inbox, ww leta mambo hadharani hapa kama unataka kumtwanga mtu
 
Mzee nimeskia hapa matikiti yalikudondokea?๐Ÿคฃ
Oya hii jf kitu naenjoy ni hizi battle, bila hizo huwa sinaga issue kabisa naweza kukaa hata wiki sijaingia

Hakuna cha kudondokea Wala nn, huyo dogo Vincenzo alileta kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukutana nacho aisee, aliniambia ana Jambo tuzungumze la muhimu sana inbox, kwenda kumbe ni kuteta watu wa huku, nilimuona famba kinoma, wanaume tunateta vipi inbox tena kwenye haya mafake ID? Ww kama una kwere na watu humu watwange hadharani, mkichoka mnakaa pembeni
 
Lini nilikufata inbox Mkuu ?
 
Ujue sikumoja utakuja kunasa mtegoni mwanetu shauri yako.

Siku hizi spana na vita nimepunguza kidogo ila wewe bado spana mkononi ๐Ÿคฃ
 
Pm ndio inbox ujui hata kutofautisha ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ naona umepigwa kulee kijana Cc and 100 others
 
Ujue sikumoja utakuja kunasa mtegoni mwanetu shauri yako.

Siku hizi spana na vita nimepunguza kidogo ila wewe bado spana mkononi ๐Ÿคฃ
Kusema ukweli mimi hizi battle kwangu ndio chakula, huwa naenjoy kinoma๐Ÿ˜‚
Bro mm ni mjanja na Tapeli niliyeshindiikana๐Ÿ˜‚

Mm siwezi kuacha, maana napenda kushambuliwa na pia napenda kushambulia
 
Kuumia vip sasa wewe tushakujua uhuni wako kijana
 
Pm ndio inbox ujui hata kutofautisha ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ naona umepigwa kulee kijana Cc and 100 others
Sasa pm na inbox Ina tofauti gani? Nimepigwa wapi? Na kivipi? Ww ukiwa unataka battle yoyote nitag, mm hiki kitu ndio napenda

Nyie tafuteni muda mnitag, msiende kimya kimya maana itakua ngumu kutafuta palipo na vita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ