Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Nakazia sana tuurembo kwa kutumia avatar 😂
manzi za humu ndani zooote sura za baba zao
warembo wapo insta uko umu wote ni wanaume usidanganywe na Id fake ni wanaume wenzetu hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia sana tuurembo kwa kutumia avatar 😂
manzi za humu ndani zooote sura za baba zao
warembo wapo insta uko umu wote ni wanaume usidanganywe na Id fake ni wanaume wenzetu hao
😂😁😁😁😁Cc and 100 others njoo huku Mkuu ulikuwa sahihi yule jamaa ni dume aisee Mkuu Pancho naunga mkono hojaNjoo kwanza na zile I'd zako Dume zima unajichatisha na dume jenzako huo ni ushoga hamuoni hata aibu kumzonga binti wa watu?
Nendeni mkakoboane huko ..
Naunga mkono hoja Cc and 100 others nilikuwa sijui aisee kumbe huyu ni kidume anae jifanya mwanamkeNa wewe tapeli I'd fekero kama zote unadhani tumesahau?
Au tuwaite moderator waziunge hapa tena?
Sema suu tuwaite
Aisee, sasa unajua hawa hawakuwa na ushahidi, mimi huyu namfungulia uzi..😂😁😁😁😁Cc and 100 others njoo huku Mkuu ulikuwa sahihi yule jamaa ni dume aisee Mkuu Pancho naunga mkono hoja
Hawa inabidi na mods wajue uhuni wanao ufanya hapa jf Hawa ni watu wa ajabu sana 😂😁Aisee, sasa unajua hawa hawakuwa na ushahidi, mimi huyu namfungulia uzi..
We tulia mkuu, kabla jua halijazama lazima mtu apigwe pasi ya kwapa, nitaku tag.Hawa inabidi na mods wajue uhuni wanao ufanya hapa jf Hawa ni watu wa ajabu sana 😂😁
Naunga mkono hoja 🤣😁😁 Cc and 100 othersMzee country acha nikwambie ukweli
Huyo mwenzio anabadili I'd kila siku mwanzo alikuwa anajiita katoto kazuri muulize alikuja pm kwangu kufanyeje? Kiufupi mkeo alikuwa ananitongoza mpaka picha yake ninayo sema tu niiweke hapa
Mimi nakusitikia sana bro utakuwa umepata kaswende kapime kaka huyo mwanamke umeyakanyaga use unauliza wajanja tukwambie ndugu
Niko hapa .
Byee
Mkuu huyo kazingua Uzi wa selfika yeye aselfiki kazi maneno meengii kumbe ni dume aiseeHalafu Vincenzo Jr kimetokea nini?hebu mnimention huko nione
Pancho kitambo sana, tunaendelea tulipoishia😂Tunajua hilo mkuu leo mmethibitisha
Kuna kipindi nilikua nikiingia jf nakua bored kinoma, bora hivi aisee, hapa kila siku mtanionaNaunga mkono hoja 🤣😁😁 Cc and 100 others
Mzee nimeskia hapa matikiti yalikudondokea?🤣Pancho kitambo sana, tunaendelea tulipoishia😂
Ila siku hizi zile baby hazipo kabisa, huo ndio ujanja sio anakufanya ndondocha na ww unakubali tu
Oya hii jf kitu naenjoy ni hizi battle, bila hizo huwa sinaga issue kabisa naweza kukaa hata wiki sijaingiaMzee nimeskia hapa matikiti yalikudondokea?🤣
Lini nilikufata inbox Mkuu ?Kuna kipindi nilikua nikiingia jf nakua bored kinoma, bora hivi aisee, hapa kila siku mtaniona
Hii ni moja ya sababu inanifanya niwe active huku. Ila bro nilichokueleza kifanyie kazi usirudie kufanya ulichofanya kwangu kwa wengine. Usiende kuteta inbox, men hatuteti inbox, ww leta mambo hadharani hapa kama unataka kumtwanga mtu
Ujue sikumoja utakuja kunasa mtegoni mwanetu shauri yako.Oya hii jf kitu naenjoy ni hizi battle, bila hizo huwa sinaga issue kabisa naweza kukaa hata wiki sijaingia
Hakuna cha kudondokea Wala nn, huyo dogo Vincenzo alileta kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukutana nacho aisee, aliniambia ana Jambo tuzungumze la muhimu sana inbox, kwenda kumbe ni kuteta watu wa huku, nilimuona famba kinoma, wanaume tunateta vipi inbox tena kwenye haya mafake ID? Ww kama una kwere na watu humu watwange hadharani, mkichoka mnakaa pembeni
Unajizima data? Tarehe 10 may, unajua hapa nikisoma ulivyokua unakomaa tuongee na ulichoenda kuongea ndio nakuona famba SanaLini nilikufata inbox Mkuu ?
Pm ndio inbox ujui hata kutofautisha 😁😂😂😂 naona umepigwa kulee kijana Cc and 100 othersUnajizima data? Tarehe 10 may, unajua hapa nikisoma ulivyokua unakomaa tuongee na ulichoenda kuongea ndio nakuona famba Sana
Ww kama una kwere na watu, watwange hapa hapa hadharani mkichoka mnaendelea na mengine. Usiumie kwa nilichokuambia Ila jirekebishe
Kusema ukweli mimi hizi battle kwangu ndio chakula, huwa naenjoy kinoma😂Ujue sikumoja utakuja kunasa mtegoni mwanetu shauri yako.
Siku hizi spana na vita nimepunguza kidogo ila wewe bado spana mkononi 🤣
Kuumia vip sasa wewe tushakujua uhuni wako kijanaUnajizima data? Tarehe 10 may, unajua hapa nikisoma ulivyokua unakomaa tuongee na ulichoenda kuongea ndio nakuona famba Sana
Ww kama una kwere na watu, watwange hapa hapa hadharani mkichoka mnaendelea na mengine. Usiumie kwa nilichokuambia Ila jirekebishe
Sasa pm na inbox Ina tofauti gani? Nimepigwa wapi? Na kivipi? Ww ukiwa unataka battle yoyote nitag, mm hiki kitu ndio napendaPm ndio inbox ujui hata kutofautisha 😁😂😂😂 naona umepigwa kulee kijana Cc and 100 others