Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mm mhuni kweli, sio mhuni tu ni mafia na Tapeli haswaaKuumia vip sasa wewe tushakujua uhuni wako kijana
cocasticNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Wewe ni mental case Mkuu ngoja niku ignore tu na utaishia hivyo hivyo life yako yote kuwa kanjanja tu 😂😁😁Mm mhuni kweli, sio mhuni tu ni mafia na Tapeli haswaa
Ww toka nikuambie acha mambo za kuteta pm naona hujakaa sawa. Kama hivi ukija hadharani ndio inatakiwa
Mental case wewe 😂😁 sikujibu Tena kuanzia Leo nakusweka ignore listSasa pm na inbox Ina tofauti gani? Nimepigwa wapi? Na kivipi? Ww ukiwa unataka battle yoyote nitag, mm hiki kitu ndio napenda
Nyie tafuteni muda mnitag, msiende kimya kimya maana itakua ngumu kutafuta palipo na vita
Huwezi kuishi mjini namna navyoishi Mimi kama sio mentalWewe ni mental case Mkuu ngoja niku ignore tu na utaishia hivyo hivyo life yako yote kuwa kanjanja tu 😂😁😁
Bro wala usiniweke ignore list, wanaopenda hizi battle humu tupo wachache ww ukiwemo, sasa ntakua nakosa cha kufanya huku.Mental case wewe 😂😁 sikujibu Tena kuanzia Leo nakusweka ignore list
Ww ubwabwa naona bado huelewi unachofanya, mm nakuambia unapotengeneeza tumia canva huwa ni the best kuliko hiyo unayotumiaNina chrome extension inayopiga screenshot post ya member yeyote nikiweka jina, hio kwenye simu huwezi...
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Nimeona pia lenie na lamony watu peace sana nao wamechukua ban🤣🤣🤣Mshamba alipigwa muda sanaa name calling
Eroni sijui kafanyaje mzee wangu
Chapu na haraka nimekuja dahh ww jamaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Carasco Putin njoo huku
Thank you son🥰Nampigia kura financial services she deserves it.