Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

cocastic
 
Sasa pm na inbox Ina tofauti gani? Nimepigwa wapi? Na kivipi? Ww ukiwa unataka battle yoyote nitag, mm hiki kitu ndio napenda

Nyie tafuteni muda mnitag, msiende kimya kimya maana itakua ngumu kutafuta palipo na vita
Mental case wewe 😂😁 sikujibu Tena kuanzia Leo nakusweka ignore list
 
Wewe ni mental case Mkuu ngoja niku ignore tu na utaishia hivyo hivyo life yako yote kuwa kanjanja tu 😂😁😁
Huwezi kuishi mjini namna navyoishi Mimi kama sio mental
Mm kweli life yangu sio kivile, ila ni mjanja na Tapeli haswaa, nakula kilaini hasa nikiotea wazembezembe nawapiga kinoma. Nitakupa account yangu ya insta uone navyowavua kilaini tu
 
Mental case wewe 😂😁 sikujibu Tena kuanzia Leo nakusweka ignore list
Bro wala usiniweke ignore list, wanaopenda hizi battle humu tupo wachache ww ukiwemo, sasa ntakua nakosa cha kufanya huku.

Na kitu siwezi ni kumprovoke mtu ili tupambane, Kuna siku nilijaribu kwa mmoja akanipotezea.
 
Nina chrome extension inayopiga screenshot post ya member yeyote nikiweka jina, hio kwenye simu huwezi...
Ww ubwabwa naona bado huelewi unachofanya, mm nakuambia unapotengeneeza tumia canva huwa ni the best kuliko hiyo unayotumia
 

Kumtambua mrembo kupitia ID fake ni kama kutwanga maji kwenye kinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…