Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Mimi napenda unavyompenda mwanangu, paka namuonea wivu sometimes.

Kwa hiyo chaka la selfika ndio lishafyekwa?? Chimbo jipya ni wapi? Au siku hiZi ni popote kambi
Mwanao nampenda sana!

Chimbo popote kambi ila ulipo na mimi nipo
 
Mmh kumchokoza siwezi, mimi muoga wa vita
Siku hizi 2 mimi na BL tulikua ndugu watazamaji tu
Aisee haya mambo ya ugomvi Yana Zama zake.

Way back kabla hujazaliwa humu kulikuwa na vita haswaa.🤣🤣

Kuna vita ilikuwa ya team kiba Vs team diamond. ephen_ ulikuwa kwenu huko kjjn unakula furu

Ile vita ilifanya tukapata wachumba.

Bantu Lady unakumbuka hizo Zama au ulikuwa bado? Upo kule kwenye Uzi WA warembo wadunia

Sijui vita vya sikuhizi vinafaida gani huku jf??
 
Aisee haya mambo ya ugomvi Yana Zama zake.

Way back kabla hujazaliwa humu kulikuwa na vita haswaa.🤣🤣

Kuna vita ilikuwa ya team kiba Vs team diamond. ephen_ ulikuwa kwenu huko kjjn unakula furu

Ile vita ilifanya tukapata wachumba.

Bantu Lady unakumbuka hizo Zama au ulikuwa bado? Upo kule kwenye Uzi WA warembo wadunia

Sijui vita vya sikuhizi vinafaida gani huku jf??
Kumbe uliopoa pisi humu kwa vita!
Vita vya sasa hivi ni vya kudhalilishana tu
Siku nikiwa na vita nitakupa password yangu uje unitetea mkwe
 
😂😂😂😂😂

Ukinipa password sitazimia kweli?? Maana nyinyi GenZ watanzania mambo yenu ni Moto saana
Mkwe nikikupa password usiingie pm kuna siri zangu na mtoto wako
Wewe upigane vita badala yangu
 
Lini hiyo? Usinifanye nikamuita aje mtuchangamshe[emoji1732][emoji23]
Mwaka juzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Waulize saint Anne na heaven sent, au mahondaw, zilirushwaa hoja toka Utamaduni, Asili, sayansi akaja kujichanganya kwenye Dini ndo nilim maliza kabisaaa.

Huna habari iliwekwa poll ya mie kuondolewa mazima JF, kura zilipigwa ikawa sawa sawa, nkaondolewa kwa muda baadae nkarudishwaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naenda kuchukua Tuzo ya jukwaa la Celebrity kutoka kwenye Ban wee huogopiiii?

Nimeshavuka level hizooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka juzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Waulize saint Anne na heaven sent, au mahondaw, zilirushwaa hoja toka Utamaduni, Asili, sayansi akaja kujichanganya kwenye Dini ndo nilim maliza kabisaaa.

Huna habari iliwekwa poll ya mie kuondolewa mazima JF, kura zilipigwa ikawa sawa sawa, nkaondolewa kwa muda baadae nkarudishwaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naenda kuchukua Tuzo ya jukwaa la Celebrity kutoka kwenye Ban wee huogopiiii?

Nimeshavuka level hizooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi kama hadi poll iliwekwa upewe tunzo
Watu mnaweza mitifuano Aisee😂🤸
Wakupe uplatinum memba
 
Basi kama hadi poll iliwekwa upewe tunzo
Watu mnaweza mitifuano Aisee[emoji23][emoji1732]
Wakupe uplatinum memba
U platinum member nastahili, na blue tick kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], zamani nilikua natifuana na vikundi vya watu, nachojoa mmoko badala ya mwingineee.

Ilikua hatariiiiiiii!!!
 
Back
Top Bottom