Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄Namba ni ileile sijabadili kiongozi
Kipi kikushangazacho🙃🙃
🤔🤔🤔Kipi kikushangazacho🙃🙃
Haya usiku mwema
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Wewe hebu njoo hapa,ujue unaniweka dilemmaHaya usiku mwema
😂😂😂 nimecheka kwa sauti kmmk kila Mtu kanigeukia 😁😁😁Faizafoxy ni limama flani hivi la makamo late 50s na lina mashauzi sana.
Rangi ya chocolate
Lirefu
Linene na lina mishavu.
Shikamoo mama faiza.
Hawa wengine huwa ni mazezeta ndio maana nakuambiaga wapotezee tu😜 makubwa Charlie umenikubali?! Kweli wagombanao ndio wapatanao!!
Ahsante maua nimeyanusa bro 🙏
🙌🙌🙌🙌Tuachane na hayo maisha yaendeleeeWapi tena huko bro nimemjibu vibaya?
Mm nimekupa tu tahadhali maana huyu mm namjua vizuri sana
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
😍😍😍
Wait wait, Who hurts you hahahha.Fake sana huyo, kuwa makini. Mjini hapa