Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Uzi ufungwe
 
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Kwa profile picture hizi hizi za ku download? Ukiwaona live sio walivyo kwenye profile picture zao
 
Nakuchukuliaga poa ujue?
Achana na huyo chakula ya wana.
Huyu jamaa utakuwa ulimpiga na nyundo nzito utosini akili zimeruka.
Pinkman? Jesse pinkman? Breaking bad? Hivi unajua Jesse pink man ni bisexual? Ni Kama wale watu waliokua wanajiita scofield baada ya kuangalia movie ya prison break, baadae wakaja kugundua Scofield yupo vipi. Ww tena umerudia Hilo kosa baada ya kuangalia breaking bad

Anyway, tuseme hujatoa huko hilo jina. Lakini naomba nikusahihishe hapa kama bro wako, katika namna yoyote hupaswi kujiita pinkman, wenzetu majina huwa na maana yao ambayo unaweza usiijue
Pink kwanza ni common street slang kwa nchi nyingi tu maana yake ni vagina, ni sawa hapo umejiita "vaginaman"

Huenda hukujua hilo, Kuna siku niliona mtu amevaa tshirt imeandikaa Good As You, bila kujua good as you ni kirefu Cha Gay. Yes, Gay ni kifupi cha maneno "Good As You". Sikushangaa sababu huenda hakua anajua hilo.

Leo nimeona hili jina lako nilikua sijawahi kuliona humu, but ningekushauri mapema tu ubadilishe
Screenshot_20231218-121709_1.jpg

screenshot_20231218-123028_1-jpg.2846478
 

Attachments

  • Screenshot_20231218-123028_1.jpg
    Screenshot_20231218-123028_1.jpg
    19.3 KB · Views: 12
Hata hivo hamna mwanaume hapo😂😂sasa mwanaume anaonaje wivu kisa nimesifiwa ni mzuri, anatamani angekuwa yeye eti. Ila simlaumu maybe I am so cute that it’s hard to believe au nasema uongo babe Its Pancho?

Yaani huyo nilimpa emotional damage ni lazima aruke ruke kama popcorn 🍿. Sidhani pia kama anapata hata muda wa kufanya mapenzi maana akilala ni Hannah akiamka ni Hannah na muda wa kufanya mapenzi ndio anautumia kuja kujamba jamba huku si unaona hata hiyo comment ni ya saa ngapi….. usiku wa manane while I was busy giving my husband “head “😂😂😂
Mbona maelezo mengi? Umepanic?
Alafu comments rudia tena kusoma, ni saa mbili na saa nne, au huo ni usiku wa manane? Alafu ni mwalimu kabisa, na serikali imekuajiri Ila ni tahira kabisa
You appear to be intellectually deficient. You seem to be cognitively impaired.
Stupid chippie
 
Mbona maelezo mengi? Umepanic?
Alafu comments rudia tena kusoma, ni saa mbili na saa nne, au huo ni usiku wa manane? Alafu ni mwalimu kabisa, na serikali imekuajiri Ila ni tahira kabisa
You appear to be intellectually deficient. You seem to be cognitively impaired.
Stupid chippie
Say again, you got to stop mumbling😂😂
 
Back
Top Bottom