Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu kimewalambaaaaaaa!!
Majiranii hukuu, Una habarii kifutu kakimbiaa uzi wa vochaaa??

Nyieee leo mbona burudaniiii sanaa, aaah wee.
Weh mbona imenipita hiyo 😂😂😂
Sa kwanini kakimbia na wakati yy ndo matonya beggars konki
 
Weh mbona imenipita hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sa kwanini kakimbia na wakati yy ndo matonya beggars konki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu nipe in4 kwani? Hakuna jipyaa huku nyumaa?
Nisanue, kabla sijakiwakishaaaa. Woiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu nipe in4 kwani? Hakuna jipyaa huku nyumaa?
Nisanue, kabla sijakiwakishaaaa. Woiiiiiih
Mapya ni meengiiiii uduguu 🤣🤣🤣
Kifutu bin kipipa bin kibonge amepandisha puresha kadondoka hakuna aliyemdaka kilo 120 famchezo 🤣🤣🤣
Mzee wa upako bado hana dalili y’a kurudiiii
Narudi kulala udugu, nilipita kuwachungulia kidogo 😂😂
 
Mapya ni meengiiiii uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kifutu bin kipipa bin kibonge amepandisha puresha kadondoka hakuna aliyemdaka kilo 120 famchezo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee wa upako bado hana dalili y’a kurudiiii
Narudi kulala udugu, nilipita kuwachungulia kidogo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nakugawa bureee.
 
Back
Top Bottom