Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Nikuuze bei gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani hapa nimeingia sehemu nimekutana na liji song la udugu nikakuwaza nikalog in chap 🤣🤣🤣
Una maisha marefu sana aiseee.!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani kuuliza kitu, ila Moyo unagomaa,
Sijuii nn aaaah.
Uliza bana weeeh kwanza leo nna mood y’a Alshabab tupu hapa 🤣🤣🤣🤣
 
Yani hapa nimeingia sehemu nimekutana na liji song la udugu nikakuwaza nikalog in chap [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una maisha marefu sana aiseee.!!
Watu weuweeeee!!! Watu na uduguu wao, afu hauna mbambamba wala konakonaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uliza bana weeeh kwanza leo nna mood y’a Alshabab tupu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uduguuu njoo selfikaa bhanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusogoeee, uzi unapoajee na wachachuajiii tuko winja winjaaa.
Aaaah wee.
 
Back
Top Bottom