makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kijana wangu humchukii mtu ?El Sadat au ?
namchukia X wangu anayenicheki kila mda na kunipiga vizingaKijana wangu humchukii mtu ?
Uscheke na mtu humu ndani tayari kitabu.Basi kazi wanayoπ.. asa sijui wataanzia wapi wamalizie wapi maana sio kwa urefu wa hiyo novel itakavyokuaππ
M or D ?namchukia X wangu anayenicheki kila mda na kunipiga vizinga
ilihali kupasha hataki
BM or D ?
π€π€
Leejay49, Naomba tujuane kwanza, ndo tuaze Chuki na dharau. ππHivi kwanini watu wanashindwa kutofautisha Kati ya Chuki na dharau??π€π€
Kwanza kuchukiana sio vizuri na haipendezi, Ila kwa upande wangu Mimi mtu akisema namchukia nakua simwelewi kwasababu naweza tu nikakufungia mageti, yani just unakua out of my businesses na naweza nisishughulike na kitu chako chochote kile lakini haimaanishi kama nakuchukiaππ. Hata ukitaka nikuombee nitakuombea Sana..
Shida inakuja unaona watu wanalalamika Leejay49 ananichukia au hanipendi nakua sielewi, mnisaidie nyie mnaelewaje hizo sentences mtu akisemaπ€π€π€
N.B sijazungumzia usnitch maana hao kwa upande flani wananisaidiaga Sana kujua yangu yanayozungumzwa nyuma ya pazia ili ikibidi nibadili tabia sometimes πππ
Jumapili njema in advance
We ni mtundu Sana π.
Uchungu wapi ..nipo naangalia picha ya huyu mtu nilie muona Iringa siamini Mshamba anaikana nafsi yake .Mbona umeongea kwa uchungu sana.. Nisimulie kwanza kimekukuta Nini ππ
Wapuuze, mda mwingine njaa ndo huwa zinawasumbua πMbona hata bila kujuana wengine wanaanzaππ
. Njaa ni mbaya sana,Sidhani Kama ni njaaππ.. Nimeshindwa kuwadefine ujue π
Inapatikana channel gani hiyo niende nione na Mimiππ