Yan leo ndo nmejua kumbe posho(8M) inazid mshahara(3.8M)Huu ni wizi, mshahara ni wa nini kama kuna posho?
inakuwa Kama amefrash life la umasikiniStahiki za ubunge znamtenganisha mbunge na maisha halisi ya mtanzania ndo mana wakiingia bungeni huwa wanabadilika ghafla kwa sababu zile pesa zina flash mentality yote aliyokuwa nayo before.Assume mtu alikuwa mtumish wa umma anaish kwa mshahara wa take home ya laki nne. mara ghafla anaanza kupokea posho za 240k.per day hapo bado zile 8M mwisho wa mwez. huyu mtu lazma abadilike hata namna ya ufikiriaji maana anasahau kabisa zile hustle za mshahara wa laki 4.
ndo hapo sasa shangaa na wewe bwana hakimuMimi sijaelewa hpo yaani wana posho ya kikao 240K na 120K ya kujikimu kwani hata akina sisi tunapolipwa mshahara si kwa ajili ya kujikimu? Iweje sasa mtu alipwe tena 240K kwa kufanya kazi ambayo analipwa 8M mwisho wa mwezi? Yaani ni sawa na mwalimu akitoka kufundisha alipwe posho ya kipindi ilhali ana mshahara mwisho wa mwezi hapo sijapaelewa!
Ah..tuache km ilivyondo hapo sasa shangaa na wewe bwana hakimu
katiba mpyaAh..tuache km ilivyo
yes why NotKuna mtu alisema tz ni tajiri sana "we were suppossed to be the donor country"
zote zakeNdugu zanguni Mimi ninaomba tu kuuliza:
Hivi mbunge anayepata posho anapochaguliwa kuwa Waziri...anapokea Mshahara was Mbunge na posho zake zote na anachukua pia mshahara was Uwaziri na posho zake zote ama kuna mmoja anakuwa hapewi???
na marupurupu ya takrima au zawadi kibwena anapokeaNdugu zanguni Mimi ninaomba tu kuuliza:
Hivi mbunge anayepata posho anapochaguliwa kuwa Waziri...anapokea Mshahara was Mbunge na posho zake zote na anachukua pia mshahara was Uwaziri na posho zake zote ama kuna mmoja anakuwa hapewi???
ndo ujue sasa kwa nn watu wanaulilia ubunge.Mimi sijaelewa hpo yaani wana posho ya kikao 240K na 120K ya kujikimu kwani hata akina sisi tunapolipwa mshahara si kwa ajili ya kujikimu? Iweje sasa mtu alipwe tena 240K kwa kufanya kazi ambayo analipwa 8M mwisho wa mwezi? Yaani ni sawa na mwalimu akitoka kufundisha alipwe posho ya kipindi ilhali ana mshahara mwisho wa mwezi hapo sijapaelewa!
hahahndo ujue sasa kwa nn watu wanaulilia ubunge.
Najuta kwa nn skuchukua fom asee.
Haaaaaahaaaaando ujue sasa kwa nn watu wanaulilia ubunge.
Najuta kwa nn skuchukua fom asee.
Ubunge mtamu wewe 🤣🤣🤣 ningekuwa na karama ya siasa ningegombea. Ubunge hata ukiupata ukiwa na miaka 50 unakufa tajiri.inakuwa Kama amefrash life la umasikini
Vyote anapewaNdugu zanguni Mimi ninaomba tu kuuliza:
Hivi mbunge anayepata posho anapochaguliwa kuwa Waziri...anapokea Mshahara was Mbunge na posho zake zote na anachukua pia mshahara was Uwaziri na posho zake zote ama kuna mmoja anakuwa hapewi???
hahahaUbunge mtamu wewe 🤣🤣🤣 ningekuwa na karama ya siasa ningegombea. Ubunge hata ukiupata ukiwa na miaka 50 unakufa tajiri.
Zuri zaidi hauna ukomo unaweza piga hata term4!