Mtu mzima kuandika kama mtoto wa nursery ndiyo aibu kubwa zaidi.Huu pia ni ushamba
Ahahaha sawa sawa...Mtu mzima kuandika kama mtoto wa nursery ndiyo aibu kubwa zaidi.
Uandishi wako tu unakutaja wewe ni mtu wa aina gani katika jamii.
Sasa kama kuandika tu maneno halisi ama lugha sanifu ni shida kwako unataka uaminike na kile unachokiwasilisha kwa jamii?
Upumzike love😂😂😂 tulikuwa na mgomo leo
Family umetumiso 😂😂😂
Kabisa umejuaje? Niko hoiUpumzike love
Pole sana love, najua ww n pisi kali mpambanaji hvy lazima uchoke. Ningekuwa karibu yako nngekuogesha leo love 🥰Kabisa umejuaje? Niko hoi
Acha madharau na mapuuza mkuuJoto unaliona ww mim Nina AC
Daah na leo tena😂😂😂 tulikuwa na mgomo leo
Ahaha daahFamily umetumiso 😂😂😂
DaaahUpumzike love
Chukua boda ndio najiandaa 🥰Pole sana love, najua ww n pisi kali mpambanaji hvy lazima uchoke. Ningekuwa karibu yako nngekuogesha leo love 🥰
Mambo vipi fam 😀Ahaha daah
Yaani familia bana mna hatareee sana.Mambo vipi fam 😀
Nipe location loveChukua boda ndio najiandaa 🥰
Tafuta partner MkuuYaani familia bana mna hatareee sana.
Hampoi hata kidogo..
Kingine hamboi hata kidogo.
Napoona wawili wanapendana moyo wangu unakua bardi an nahisi kunyanyuliwa