Tupumzike sasa sio kwa joto hili la Dar es Salaam

Huu pia ni ushamba
Mtu mzima kuandika kama mtoto wa nursery ndiyo aibu kubwa zaidi.

Uandishi wako tu unakutaja wewe ni mtu wa aina gani katika jamii.

Sasa kama kuandika tu maneno halisi ama lugha sanifu ni shida kwako unataka uaminike na kile unachokiwasilisha kwa jamii?
 
Ahahaha sawa sawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…