Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #101
F ya mwisho mkuuNipe marks zangu Mkuu
Mkuu hapana HAPANA mjini PAZITO nita share mademuTafuta partner Mkuu
BonyokwaNipe location love
Ndio vzr ili ujipime dhidi ya wenzakoMkuu hapana HAPANA mjini PAZITO nita share mademu
Dah nimelia sana πF ya mwisho mkuu
πππ Mpare vs Mkinga sijui itakuwaje?Yaani familia bana mna hatareee sana.
Hampoi hata kidogo..
Kingine hamboi hata kidogo.
Napoona wawili wanapendana moyo wangu unakua bardi an nahisi kunyanyuliwa
Hakuna kupumzika aiseeeee nyie watu hapana ππππππ Mpare vs Mkinga sijui itakuwaje?
Hv bonyokwa unapita kinyerezi mwisho eeeBonyokwa
Mpaka watuue πππHakuna kupumzika aiseeeee nyie watu hapana πππ
Na life hili linavotupelekesha hamtuonei hurumaMpaka watuue πππ
Malavidavi kama yote π₯°π₯°π₯°π₯°πππ Mpare vs Mkinga sijui itakuwaje?
Wa ushuani utapajulia wapi huku uswazi π€£π€£π€£Hv bonyokwa unapita kinyerezi mwisho eee
πππ Mfe mtuache peke yetu wapendanaoNa life hili linavotupelekesha hamtuonei huruma
ππMalavidavi kama yote π₯°π₯°π₯°π₯°
π€£π€£π€£ Gubu hilo familia
Tuwaachie hii dunia sioπππ Mfe mtuache peke yetu wapendanao
Ajiue tuu kama ana wivu ππ€£π€£π€£ Gubu hilo familia
Mbaga kesho mapema kuna uzi special kwa ajiri yako na lamomy...Jinyonge na mlenda