Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #41
Mpaka sasa unakumbuka.Hapana mkuu sipo kwenye kitengo chochote. Nimekumbuka Geography ya Secondary
Itakua ulikua mtaalamu sana kwa haya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa unakumbuka.Hapana mkuu sipo kwenye kitengo chochote. Nimekumbuka Geography ya Secondary
Mbeya kama unakaa uyole hapo aiseee ile baridi sio poaSie mbeya tupo kwenye mafriji sio kwa baridi hili tunashinda nalo masaa 24
Lini walikanusha mkuu
Feni haileti vumbi. Bali linatibua vumbi lililopa ndani ya chumba.Ahahah inaleta vumbi ndani
Ahahahahha daah jamniFeni haileti vumbi. Bali linatibua vumbi lililopa ndani ya chumba.
Ndo hivyo😅.Ahahahahha daah jamni
Mjini kila kitu ni shida..Ndo hivyo😅.
Tanuri la tofali za kuchoma....Ukiwa na fedha husikii joto. Kama huna pesa Dar ni Tanuri
Safisha kwanza hilo vumbi ndo uwashe feni😅😅Mjini kila kitu ni shida..
Unawasha feni ili upate unardi...
Yenyewe inatimua vumbi ahahaha
Mkuu wee acha tu...Safisha kwanza hilo vumbi ndo uwashe feni😅😅
Niajiri niwe nakuja kufuta vumbi mara kwa wikiMkuu wee acha tu...
Ila nilichogundua hapa mjini kuna mambo yanafanyika ili utibuliwe tuu ukufe basi..
Sasa feni mpaka kutimua vumbi hi si sifa sasa.... Ahahaha
Ila mkuu wewe una tatizo mahaliUkishaona unamuomba Mungu ujue huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, angekupa unachotaka kabla hujaomba.
Daaah aiseee... Ngoja niku tag huku alafu utanipa jibu je naweza kukuajiri au laah mkuu ahahaNiajiri niwe nakuja kufuta vumbi mara kwa wiki
Niajiri bana...natafuta kaziDaaah aiseee... Ngoja niku tag huku alafu utanipa jibu je naweza kukuajiri au laah mkuu ahaha
Wewe na mimi hatuna tofauti mkuu... AhahahNiajiri bana...natafuta kazi
Kha! Basi kila mmoja amuajiri mwenzakeWewe na mimi hatuna tofauti mkuu... Ahahah
Mkuu play safe..bora nisitishe mpango wa kununua feni.....hela ya feni natafuta mbususu