Tupunguze kuomba hela hovyo ndoa zipo shida mizinga wanaume tunaogopa....

Tupunguze kuomba hela hovyo ndoa zipo shida mizinga wanaume tunaogopa....

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
DADA SANAMU YAKO NAJENGA HUMUHUMU JF
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli

Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti

#AtumediaUpdates
 
Pdidy umejitahidi weee hadi umeanza kuuza lishe tiba ila wapi? Utapata wapi ambae haombi hela sasa?
Shangazi labda mchagaaaa yaan m kila nikigusa imooo majuzi kamoja kwenye basi nimekasalimia nkahisi nikape upako

Asbh naamka naona dady aisee nkazima simu kwa mda kufungua
Dady hupatikan nakujaje bila kusuka

Unawaza asingenikuta kwa basi angekata kipara
 
ukiambiwa kuwa single nayo kazi utaelewa tuuu
 
Aunt
Mamndenyi tupe andikoo kidogoo la kutubadilisha m naweza kuwa na mawazo kabisa ya kumpa buku 10 ila tukimalizana roho ya bk5 inaingia nakosa uvumilivu
 
Sioo kila anaemaliza mwendoo anaimaliza wengine wanamalizwa kwa ubahili
Cc
Wamachame
Rg
 
Unajua wakati mwingine shidaa sio kutoaaa


Shidaaa ukiwaza ule mdaa mlioonanaa kujuanaa na kasi ya mwendokasi ya kuombaa. Unaishiaa kusikiliza wimbooo wa umutyuu umutyuuuuu eeehhh

Unawaza mmmh someone anataka nilishwe sacrament ya mwishoo unajitoaa
 
Back
Top Bottom