Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
DADA SANAMU YAKO NAJENGA HUMUHUMU JF
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli
Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti
#AtumediaUpdates
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli
Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti
#AtumediaUpdates