begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Bora amewaambia mwanamke mwenzao,mpka mimi naogopa kudet kozi naona taharibu malengo yangu,niki banwa nikwenda kwa wa 5000.unakula unasepa hakuna Cha kujuana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv unaandikaga umelewa wee jamaa? Mbona muda mwingne unayoosha manenoUnajua wakati mwingine shidaa sio kutoaaa
Shidaaa ukiwaza ule mdaa mlioonanaa kujuanaa na kasi ya mwendokasi ya kuombaa. Unaishiaa kusikiliza wimbooo wa umutyuu umutyuuuuu eeehhh
Unawaza mmmh someone anataka nilishwe sacrament ya mwishoo unajitoaa
Hakika mkuuNa akishinidwa kazi atafute ndoa ahudumiwe sie nje ya ndoa ngooo
Pdidy kumbe ni mwanamke mkuu??Bora amewaambia mwanamke mwenzao,mpka mimi naogopa kudet kozi naona taharibu malengo yangu,niki banwa nikwenda kwa wa 5000.unakula unasepa hakuna Cha kujuana
🤣🤣🤣mlivyo na uchungu na pesa zenu sasaNtakuwa mhandisi
Mhasibu ashajitaja hapo juu....
Wasenge haoAsa
Brac
Yaan leo wanaume wanateseka sanaaa wengine hata majumbani hawajaacha nyama maharage wanaishia kuhonga kha
Nileteeni michango hiyoHahahahahahaaaaa nimecheka sonahamuu kha yamekuwahayoo unanyima ajira mpwaa pengine utakuwa mleta nondo cement tukatoka woteeee
Kula kulingana na urefu wa Kamba yakoDADA SANAMU YAKO NAJENGA HUMUHUMU JF
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli
Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti
#AtumediaUpdates
😀😀😀😀Naunga mkono hoja haina kuhudumia mwanamke ambaye haujamuoa. Mwanetu Pdidy kaza hapohapo
Mwanamke mwenye shida ya pesa atafute kazi sio mabwana