Tupunguze kuomba hela hovyo ndoa zipo shida mizinga wanaume tunaogopa....

Tupunguze kuomba hela hovyo ndoa zipo shida mizinga wanaume tunaogopa....

Bora amewaambia mwanamke mwenzao,mpka mimi naogopa kudet kozi naona taharibu malengo yangu,niki banwa nikwenda kwa wa 5000.unakula unasepa hakuna Cha kujuana
 
shida nyingine haka kaugonjwa kamehamia na kwa wanaume yaan haitaki kazi inataka kulelewa na nyie wanawake kama sio waume zenu kimbien wanakula hela wanaolewa wenginee
 
Unajua wakati mwingine shidaa sio kutoaaa


Shidaaa ukiwaza ule mdaa mlioonanaa kujuanaa na kasi ya mwendokasi ya kuombaa. Unaishiaa kusikiliza wimbooo wa umutyuu umutyuuuuu eeehhh

Unawaza mmmh someone anataka nilishwe sacrament ya mwishoo unajitoaa
Hv unaandikaga umelewa wee jamaa? Mbona muda mwingne unayoosha maneno
 
Kuna mmoja tulika kama 2 months naona anarusha hela mmh namuliza nn weekea vocha wanaume pesa za bure zinamalipo nkapokea baadae yajayooo utayatamani

Dady nataka kitimoto...nataka kusuka mara nkaona mbona zile hela alizonopa zimerudi zote na nkaanza kulipia na riba loh
mwaya yakanishinda nkamwambia wifio kawa mkali tuachane tu ndoa zenyewe adimi
 
Asa
Brac
Yaan leo wanaume wanateseka sanaaa wengine hata majumbani hawajaacha nyama maharage wanaishia kuhonga kha
 
Kwenye maisha nimeamua kuweka Mimi wa kwanza kabla ya binadamu yeyote yule.
Baada ya mimi ndiyo wengine hufuata kitokana na umuhimu wao
 
Hahahahahahaaaaa nimecheka sonahamuu kha yamekuwahayoo unanyima ajira mpwaa pengine utakuwa mleta nondo cement tukatoka woteeee
🤣🤣🤣mlivyo na uchungu na pesa zenu sasa
 
DADA SANAMU YAKO NAJENGA HUMUHUMU JF
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli

Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti

#AtumediaUpdates
Kula kulingana na urefu wa Kamba yako
 
Back
Top Bottom