Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kuna hitaji la wanawake wa Tanzania kufanyiwa consultation, it makes no sense mwanamke anajipa haki ya kupata gawio kwenye hela ambayo hajashiriki kuitafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutafute hela tuache kulaumu wanawake ulitaka akamuombe nani?DADA SANAMU YAKO NAJENGA HUMUHUMU JF
"Unalaumu eti Mimi ukoo niliotokea hawaolewagi kumbe shida hata sio Ukoo ,Bali tabia yako mbaya wewe ukikutana na mwanaume siku ya kwanza nikuomba hela ,amekusalimia tu ameonyesha ka interest kidogo ushaomba vocha,amekusalimia kwatabasamu kaomba namba ushajieleza tayari , amekusifia kidogo tu dada unaimba vizuri unanibariki👉 tayari ushaomba Nauli
Utaolewa nanani masikini mkubwa wewe😔 umejaa shida yaani wewe Kila mwanaume unayekutana nae nikuomba,nikuomba una miaka 35 hawakuoi kwasababu kijana anawaza nikioa hii kitu hi ni liability this one is not an asset ,wewe ukikaa na mtu ni kumweleza matatizo yako baby Sina Kodi,Sina kiwanja,Sina gesi natamani chips- salamu za Pastor Rose Shaboka kwa mabinti
#AtumediaUpdates
Na wale vijana wanaolelewa na mishangazi na misugar mum je?Naunga mkono hoja haina kuhudumia mwanamke ambaye haujamuoa. Mwanetu Pdidy kaza hapohapo
Mwanamke mwenye shida ya pesa atafute kazi sio mabwana
Sauti ya simba jike, napenda sana huyu dada anavyoongeaPastor Rose Shaboka