Tupunguze kuomba hela hovyo ndoa zipo shida mizinga wanaume tunaogopa....

Bora amewaambia mwanamke mwenzao,mpka mimi naogopa kudet kozi naona taharibu malengo yangu,niki banwa nikwenda kwa wa 5000.unakula unasepa hakuna Cha kujuana
 
shida nyingine haka kaugonjwa kamehamia na kwa wanaume yaan haitaki kazi inataka kulelewa na nyie wanawake kama sio waume zenu kimbien wanakula hela wanaolewa wenginee
 
Hv unaandikaga umelewa wee jamaa? Mbona muda mwingne unayoosha maneno
 
Kuna mmoja tulika kama 2 months naona anarusha hela mmh namuliza nn weekea vocha wanaume pesa za bure zinamalipo nkapokea baadae yajayooo utayatamani

Dady nataka kitimoto...nataka kusuka mara nkaona mbona zile hela alizonopa zimerudi zote na nkaanza kulipia na riba loh
mwaya yakanishinda nkamwambia wifio kawa mkali tuachane tu ndoa zenyewe adimi
 
Asa
Brac
Yaan leo wanaume wanateseka sanaaa wengine hata majumbani hawajaacha nyama maharage wanaishia kuhonga kha
 
Kwenye maisha nimeamua kuweka Mimi wa kwanza kabla ya binadamu yeyote yule.
Baada ya mimi ndiyo wengine hufuata kitokana na umuhimu wao
 
Hahahahahahaaaaa nimecheka sonahamuu kha yamekuwahayoo unanyima ajira mpwaa pengine utakuwa mleta nondo cement tukatoka woteeee
🤣🤣🤣mlivyo na uchungu na pesa zenu sasa
 
Hahahahahahaaaaa nimecheka sonahamuu kha yamekuwahayoo unanyima ajira mpwaa pengine utakuwa mleta nondo cement tukatoka woteeee
Nileteeni michango hiyo
 
Kula kulingana na urefu wa Kamba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…