Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Soma mada na mtililiko wake kabla hujakomenti.

Ila nikuulize unadhani kwa nini watu hutumia miaka 30 ya existence ya Chadema kuwa hawana ofisi?

Halafu muda huo huo hawataki kujua historia ya AA, TAA na TANU vilikotokea?

Kumbuka lazima ukumbuke Chadema imeanza kuwa na Wabunge lini?
Rudhuku wameanza kupata lini?
Je, muhimu kutaja vipaumbele vya nchi? au Chama?
Akili kubwa inaweza kufanya yote, hata kushika dola ila sio kujenga ofisi ikifika hapo inabidi tukasome historia...,
 
Akili kubwa inaweza kufanya yote, hata kushika dola ila sio kujenga ofisi ikifika hapo inabidi tukasome historia...,
Kwenye mazingira ya Afrika
Ushindane na chama dola
Uimarishe Chama
Ufungue matawi
Usimamishe wagombea na kuwasapoti financial
Kipate uungwaji mkono kwa kuuza sera

Dah? Mzee unadhani uchumi ni kwenda gym kujaza misuli ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwenye mazingira ya Afrika
Ushindane na chama dola
Uimarishe Chama
Ufungue matawi
Usimamishe wagombea na kuwasapoti financial
Kipate uungwaji mkono kwa kuuza sera

Dah? Mzee unadhani uchumi ni kwenda gym kujaza misuli ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mpaka hapo huna akili kubwa. Acha kubwabwaja. Unajiita akili kubwa kwenye akili zako tu. Lakini kiuhalisia wewe ni mbumbumbu.
 
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.

2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.

Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.

Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.

Ukweli mtupu...

Wajitambue sasa wanaCCM wakimege chama...sisi wananchi tuko nyuma yao...it is either now or NEVER...

We are tired ..
 
Na Mkuu
Nisichokipenda kingine kwa CCM ni hicho,
Bila mawazo mapya, watu wapya unadhani hiki chama kitaweza kutatua matatizo ya Watanganyika?

Kusema watu wale wale na vizazi vyao huoni wanatengeneza ufalme au kifupi Upper Class

..siasa zimebadilika sasa hivi.

..mawazo mapya yalitakiwa yatoke upinzani.

..Magufuli ameturudisha kwenye chama kimoja.
 
Mpaka hapo huna akili kubwa. Acha kubwabwaja. Unajiita akili kubwa kwenye akili zako tu. Lakini kiuhalisia wewe ni mbumbumbu.
Asante mkuu
Ila hata akili kubwa haifanya kazi katika vacuum.

Mpaka walipofikia unatakiwa uwape kongole ikiwa kweli unatambua ilivyo ngumu kufanya harakati hasa Tanganyika.

Huku wengine wakisapotiwa na vyombo vya dola pamoja na deep state.
 
..siasa zimebadilika sasa hivi.

..mawazo mapya yalitakiwa yatoke upinzani.

..Magufuli ameturudisha kwenye chama kimoja.
Upo sahihi sana
Tanganyika na Urundi zinafanana kila kitu
CNDD FDD na CCM vinarandana kabisa
 
Kwenye mazingira ya Afrika
Ushindane na chama dola
Uimarishe Chama
Ufungue matawi
Usimamishe wagombea na kuwasapoti financial
Kipate uungwaji mkono kwa kuuza sera

Dah? Mzee unadhani uchumi ni kwenda gym kujaza misuli ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kweli akili kibwa haiwez kuwa na makao makuu yake kwa miaka 30 ila ikipewa nchi inaweza kuifanya dubai kwa miaka kumi
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.

Matibabu +kula juu yako huku ukitumia “fake ID “
 
Asante mkuu
Ila hata akili kubwa haifanya kazi katika vacuum.

Mpaka walipofikia unatakiwa uwape kongole ikiwa kweli unatambua ilivyo ngumu kufanya harakati hasa Tanganyika.

Huku wengine wakisapotiwa na vyombo vya dola pamoja na deep state.
Basi kama unategemea huyo unayeshindana naye akupe nafasi ya kumshinda; huu utakuwa wendawazimu nambari moja.

Kwa hiyo Malengo na Madhumuni ya CCM yatakuwa yafuatayo:-
(1) Kushinda katika Uchaguzi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa Tanzania Bara na Zanzibar ili kuunda na kushika Serikali Kuu na Serikali za Mitaa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande mmoja na Zanzibar kwa upande wa pili

(2) Kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetu na raia wake.

(3) Kuhimiza ujenzi wa Ujamaa na Kujitegemea kwa mujibu wa Azimio la Arusha.

(4) Kusimamia utekelezaji wa Siasa ya CCM pamoja na kuendeleza fikra za viongozi waasisi wa vyama vya TANU na ASP, kama zilivyofafanuliwa katika maandiko mbali mbali ya Vyama hivyo

(5) Kuona kwamba kila mtu anayo haki ya kupata kutoka katika Jamii hifadhi ya maisha yake na mali yake kwa mujibu wa sheria.

(6) Kuona kwamba katika Nchi yetu kila mtu aliye na uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi; na kazi maana yake ni shughuli yoyote halali inayompatia mtu riziki yake.

(7) Kusimamia haki na maendeleo ya Wakulima, Wafanyakazi na wananchi wengine wenye shughuli halali za kujitegemea; na hasa kuona kwamba kila mtu ana haki ya kupata malipo yanayostahili kutokana na kazi yake.


NAKADHALIKA.........
 
Machafuko pekee ndio yataruhusu mwenye ridhaa ya umma kukaa madarakani.
2025 inafika, vijana chipukizi wa uvccm wamekuwa wakijiandaa kushika nafasi za kuongoza uma kuanzia nafasi za kata mpaka mikoa huku wewe ukijiandaa na machafuko mwaka wa 7 huu.
 
Hii ndo shida ya upinzani, too emotional, 🤷‍♂️yaani hawako strategically,, hivi mfano tuhuma hizi ukiambiwa udhibitishe unaweza,, hiyo michango ni ipi, mbona sisi wa mwaka 47 na hatuikumbuki?,, Weka screenshot hapo tuone,,
Hao watanganyika walipigania uhuru ni wote au ni wana TANU?,
Tuongelee uhalisia basi,, sio nyerere na watu wake ndio wamefightia uhuru hadi ukapatikana? 😲
Wakati wa chama kimoja ilikuwa ni hiyari kuchangia ccm? Una umri gani mkuu? Au umeanza kuishi Tanzania juzi kati?
 
2025 inafika, vijana chipukizi wa uvccm wamekuwa wakijiandaa kushika nafasi za kuongoza uma kuanzia nafasi za kata mpaka mikoa huku wewe ukijiandaa na machafuko mwaka wa 7 huu.

Vijana wa CCM hawajiandai kushika madaraka kwa ushawishi wa kisiasa, bali kwa kujipendekeza kwa wateuzi huku wakisubiri mbeleko ya vyombo vya dola kutangazwa washindi kwa shuruti. Hiyo itafika mwisho kwa machafuko.
 
Back
Top Bottom