Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Unaelewa hata maana ya akili kubwa?
Hakuna akili kubwa itumikayo Bali nguvu na mabavu.

Ndio maana ya kujiita chama dola
Sasa akili kubwa zenu zimefanya nini sasa. Mbona ujitapa kitu ambacho huna. Sasa mmeshindwaje kuwazuia hawa CCM ambao hawana akili?
 
..kuwekwa mahabusu kwa kesi ya kusingiziwa ni ukatili.

..ukiacha viongozi kama Mbowe, Mdee, Sugu, Lijualikali, kuna wanachadema zaidi ya 400 waliokuwa wamefungwa au kushtakiwa kwa kesi za kusingiziwa. Je huo sio ukatili?

..Wilaya ya Tunduma peke yake kulikuwa na makesi au wafungwa waliobambikiwa kesi zaidi ya 80. Huo sio ukatili?

..Ccm walimfungulia kesi Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko. Waliwapiga na kuwafunja mikono. Hata wakoloni hawakuwa wakatili kwa wanawake wa Tanu kiasi hicho. Hatukuwahi kusikia Bibi Titi kapigwa na askari wa Wakoloni.

..Vilevile, hoja kwamba Mbowe kamshtaki Halima Mdee umeitoa wapi? Kesi iliyopo mahakamani imefunguliwa na Mdee dhidi ya Chadema.
Nimekuuliza huyo Mbowe kuwafukuza Mdee siyo ukatili?
 
Sasa kama wameweza kuwa madarakani kukuzidi wewe mwenye akilli. Maana yake huna mbinu za kuwazidi. Wewe endelea tu kuwa na akili hizo maana zinakutosha wewe pekee yako.
Hivi unaelewa Matumizi ya nguvu za majeshi?

Hivi tukio la Lisu kupigwa risasi ndio Matumizi ya akili?

Unazifahamu nguvu za chama Cha siasa?
Mtaji wa chama Cha siasa kina nani?

Kama chama hakina hizo sifa?
Basi ujue unatawaliwa na Wakoloni ila wenyewe ni weusi tu.
 
Unaelewa hata maana ya akili kubwa?
Hakuna akili kubwa itumikayo Bali nguvu na mabavu.

Ndio maana ya kujiita chama dola
Kama akili kubwa imeshindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu kwa miaka 30, basi itakuwa akili kubwa ya kuku.
 
Kila nikiyaona haya majamaa napata hasira sana

Kuna kipindi yaliwah nifata yakaniomba niwe diwan

Kwa kweli kwangu mimi ni heri nife masikini ila sio kuwa kwenye hiki chama
 
Sasa akili kubwa zenu zimefanya nini sasa. Mbona ujitapa kitu ambacho huna. Sasa mmeshindwaje kuwazuia hawa CCM ambao hawana akili?
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Hivi unaelewa Matumizi ya nguvu za majeshi?

Hivi tukio la Lisu kupigwa risasi ndio Matumizi ya akili?

Unazifahamu nguvu za chama Cha siasa?
Mtaji wa chama Cha siasa kina nani?

Kama chama hakina hizo sifa?
Basi ujue unatawaliwa na Wakoloni ila wenyewe ni weusi tu.

Je Mwenye akili na mwenye nguvu wakiwekwa kushindana kwenye siasa nani atashinda?
 
..kina Mdee wakithibitisha kwamba walipitishwa na kamati kuu ya Cdm kuwa viti maalum, halafu Mbowe akawafukuza, itakuwa ni ukatili.
Kwahiyo hujui kuwa Mdee na wenzake ni wabunge wa Mahakama?
 
Kama akili kubwa imeshindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu kwa miaka 30, basi itakuwa akili kubwa ya kuku.
Tanu kilitumia miaka mingapi kujenga ofisi zake?

AA kilijenga ofisi zake lini?

TAA nao walitumia muda gani?

Hii ni hoja mfu na mufilisi.
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
tusubirie kudra za mungu au mungu aamue ugomvi
 
Je Mwenye akili na mwenye nguvu wakiwekwa kushindana kwenye siasa nani atashinda?
Si umeona?
Hivi Simba na Swala wakishindanishwa nani atashindwa?

Unadhani kwa nini alishindwa?
Mazingira ya siasa Tz hayako fair,
au unadhani yako fair?
 
Kwahiyo hujui kuwa Mdee na wenzake ni wabunge wa Mahakama?

..utaratibu ni kamati kuu ya Chadema kuteua viti maalum.

..it is very simple. Halima na wenzake waonyeshe kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi na kuwateua.

..kinyume na hivyo, wao sio wabunge halali, na wanastahili kufukuzwa ktk chama.
 
..utaratibu ni kamati kuu ya Chadema kuteua viti maalum.

..it is very simple. Halima na wenzake waonyeshe kuwa kamati kuu ya Chadema iliketi na kuwateua.

..kinyume na hivyo, wao sio wabunge halali, na wanastahili kufukuzwa ktk chama.
Kifupi hawa wamejimaliza kwenye ulimwengu wa siasa.
Waamue kurudi CCM wakawe hakuna anaye wakumbuka au waende ACT rasmi kitambulike ni chama Cha wasaliti na wachumia tumbo.
 
Tanu kilitumia miaka mingapi kujenga ofisi zake?

AA kilijenga ofisi zake lini?

TAA nao walitumia muda gani?

Hii ni hoja mfu na mufilisi.
Umesema wanakili ndogo baadae unarudi unajilinganisha na wenye akili ndogo, nan anaakili ndogo hapo!?
 
Kifupi hawa wamejimaliza kwenye ulimwengu wa siasa.
Waamue kurudi CCM wakawe hakuna anaye wakumbuka au waende ACT rasmi kitambulike ni chama Cha wasaliti na wachumia tumbo.


..kama Samia atakuwa tayari kuwakingia kifua sawa.

..lakini nadhani sasa hivi Ccm hawana hamu na waunga mkono juhudi toka upinzani.

..Ccm wameamua kulinda nafasi za watu waliokipigania chama chao, na sio wahamiaji.
 
Umesema wanakili ndogo baadae unarudi unajilinganisha na wenye akili ndogo, nan anaakili ndogo hapo!?
Soma mada na mtililiko wake kabla hujakomenti.

Ila nikuulize unadhani kwa nini watu hutumia miaka 30 ya existence ya Chadema kuwa hawana ofisi?

Halafu muda huo huo hawataki kujua historia ya AA, TAA na TANU vilikotokea?

Kumbuka lazima ukumbuke Chadema imeanza kuwa na Wabunge lini?
Rudhuku wameanza kupata lini?
Je, muhimu kutaja vipaumbele vya nchi? au Chama?
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Hapa kuna hoja ya msingi

Ndugu yako mpwayungu village ameanzisha uzi wenye mfanano na huu
 
..kama Samia atakuwa tayari kuwakingia kifua sawa.

..lakini nadhani sasa hivi Ccm hawana hamu na waunga mkono juhudi toka upinzani.

..Ccm wameamua kulinda nafasi za watu waliokipigania chama chao, na sio wahamiaji.
Na Mkuu
Nisichokipenda kingine kwa CCM ni hicho,
Bila mawazo mapya, watu wapya unadhani hiki chama kitaweza kutatua matatizo ya Watanganyika?

Kusema watu wale wale na vizazi vyao huoni wanatengeneza ufalme au kifupi Upper Class
 
Back
Top Bottom