..kuwekwa mahabusu kwa kesi ya kusingiziwa ni ukatili.
..ukiacha viongozi kama Mbowe, Mdee, Sugu, Lijualikali, kuna wanachadema zaidi ya 400 waliokuwa wamefungwa au kushtakiwa kwa kesi za kusingiziwa. Je huo sio ukatili?
..Wilaya ya Tunduma peke yake kulikuwa na makesi au wafungwa waliobambikiwa kesi zaidi ya 80. Huo sio ukatili?
..Ccm walimfungulia kesi Halima Mdee, Esther Bulaya, na Esther Matiko. Waliwapiga na kuwafunja mikono. Hata wakoloni hawakuwa wakatili kwa wanawake wa Tanu kiasi hicho. Hatukuwahi kusikia Bibi Titi kapigwa na askari wa Wakoloni.
..Vilevile, hoja kwamba Mbowe kamshtaki Halima Mdee umeitoa wapi? Kesi iliyopo mahakamani imefunguliwa na Mdee dhidi ya Chadema.