Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
ZANU PF Bado kipo madarakani sijui unaongelea ZANU PF ipi. Au unahororoja tu?
Sio kwa vitisho vile, wakati Mugabe yuko madarakani aliamini Wazimbabwe wote ni maiti hai kama watanzania. Siku watu waliingia mtaani hakuamini macho yake.