Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

UKOMBOZI WA NCHI UPO KATIKA MAKUNDI MATATU:-

1. Ukombozi wa Kisiasa
2. Ukombozi wa Kiuchumi
3. Ukombozi wa Kiutamaduni.

Sasa tunapoongelea nchi siyo sawa na unapoongelea familia yako mzee

Ndiyo maana ninakuuliza katika hayo matatu unataka ukombozi gani!?
Una jenga swali huku ukijijengea majibu yako kichwani, swali lako mwanzo halikusema hivi Kama ambavyo unasema sasa. Jihadhari na tabia ya ukinyonga kubadilika badilika.
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
CCM itaondoka kwa uwezo wa Mungu siku atakayotaka kufanya hivyo. kwani hata jiwe kulikuwa na mtu wa kumshinda? never, ila yupo Mungu anayetawala, na yeye sio tu huwa anajibu maombi, bali huwa anawatetea wanyonge na wanaonyimwa haki, ambayo ni pamoja na wizi wa kodi zetu tunazokatwa kuanzia kwenye tozo hadi hospitali tunaponunua dawa, ili watu fulani wakanunue mabehewa ya zamani yaliyopakwa rangi na kuwekwa viti vipya. ipo siku Mungu atajitukuza tena.
 
Sasa mwana hasira ya nini tena!?

UKOMBOZI WA NCHI UPO KATIKA MAKUNDI MATATU:-

1. Ukombozi wa Kisiasa
2. Ukombozi wa Kiuchumi
3. Ukombozi wa Kiutamaduni.

Sasa tunapoongelea nchi siyo sawa na unapoongelea familia yako mzee

Ndiyo maana ninakuuliza katika hayo matatu unataka ukombozi gani!?
Hasira hazina nafasi ndani ya moyo wangu, wenda una jenga tafsiri isiyo sahihi juu ya yale nililo andika kutokana haya furahishi roho yako.
 
Una jenga swali huku ukijijengea majibu yako kichwani, swali lako mwanzo halikusema hivi Kama ambavyo unasema sasa. Jihadhari na tabia ya ukinyonga kubadilika badilika.
Huna uwezo kijana. Rudi kwa yule aliyekufundisha.
 
Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

😂😂😂🙌
 
Hasira hazina nafasi ndani ya moyo wangu, wenda una jenga tafsiri isiyo sahihi juu ya yale nililo andika kutokana haya furahishi roho yako.
Wewe unadai unataka ukombozi nimekuuliza ukombozi gani!? Unazunguka tu.
 
Huna uwezo kijana. Rudi kwa yule aliyekufundisha.
Ni mara ya pili hii una nitafsiri katika mhono usio sahihi, wewe ndiye unapaswa kujiepusha na kujenga tafsiri zisizo sahihi juu ya mtu au watu usio fahamiana nao. Utaweza kujiepusha na mambo mbalimbali hasi uya toayo
 
Ni mara ya pili hii una nitafsiri katika mhono usio sahihi, wewe ndiye unapaswa kujiepusha na kujenga tafsiri zisizo sahihi juu ya mtu au watu usio fahamiana nao. Utaweza kujiepusha na mambo mbalimbali hasi uya toayo
Sihitaji kujuana na wewe. Unarukaruka tu. Hujui kujenga hoja.
 
CCM itaendelea kuwa madarakani sababu hakuna mbadala ulio bora kuzidi CCM kwa sasa. Siku mbadala utakapopatikana wananchi wataupa nafasi.

Kwa sasa hakuna mbadala wa kuwashawishi raia waikatae CCM hata kwa mfumo wa machafuko unaoupedekeza kila wakati maana tamaa yako ipo wazi.

Wananchi wanapiga kura mnaishia kupora, unataka watu waendelee kuwachekea? Mbadala nyie CCM ndio mnaamua au ni kura za wananchi. Hapo Kenya KANU ilikuwa inasema haina mbadala, leo KANU haiko madarakani na Kenya ina uchumi mzuri kuliko sisi.

Kawaambie wajinga kuhusu CCM kukosa mbadala. Kama CCM imeweza kuongoza nchi hii, hakuna chama kitashindwa. Machafuko pekee ndio yataruhusu mwenye ridhaa ya umma kukaa madarakani.
 
Huko walikuwa watu lakini hapa upofumo. CCM ni mfumo.
Watu kwa ZANUPF ya Mugabe! Huo mfumo mliolishana wezi wa nchi hii mtakambiana siku hiyo. Kenya hapo baada ya machafuko leo wanaheshimiana. Machafuko pekee ndio njia iliyobakia.
 
Watu kwa ZANUPF ya Mugabe! Huo mfumo mliolishana wezi wa nchi hii mtakambiana siku hiyo. Kenya hapo baada ya machafuko leo wanaheshimiana. Machafuko pekee ndio njia iliyobakia.
ZANU PF Bado kipo madarakani sijui unaongelea ZANU PF ipi. Au unahororoja tu?
 
Hoja ipi unayo hitaji mimi kujenga zaidi ya Kujibu swali lako ulilo niuliza nami kufanya hivyo ?
Nimekuuliza tangu mwanzo unataka ukombozi gani dhidi ya CCM? Unazunguka tu.
Kitu kidogo tu hicho kimekushinda.
 
CCM wamekuaminusha kuandama ni kosa na ukiandama utauawa. A shithole country.

..mwaka 1945 Watanganyika wa maeneo ya wilaya za Same na Mwanga waliandamana kupinga kodi ya Muingereza.

..Muingereza hakuua raia hata mmoja ktk maandamano hayo ambayo yalidumu kwa miezi zaidi ya 3.

..Sasa linganisha na ukatili wanaofanya Polisi wa Ccm ktk mikusanyiko ya vyama vya upinzani.

..Kwanini ndugu zetu wa Ccm watutendee vibaya unyama kuliko tulivyotendewa na Wakoloni?

Cc Nguruvi3
 
..mwaka 1945 Watanganyika wa maeneo ya wilaya za Same na Mwanga waliandamana kupinga kodi ya Muingereza.

..Muingereza hakuua raia hata mmoja ktk maandamano hayo ambayo yalidumu kwa miezi zaidi ya 3.

..Sasa linganisha na ukatili wanaofanya Polisi wa Ccm ktk mikusanyiko ya vyama vya upinzani.

..Kwanini ndugu zetu wa Ccm watutendee vibaya kuliko tulivyotendewa na Wakoloni?

Cc Nguruvi3
Sasa mambo ya mwaka 1945 unayaleta leo 2022. Huu ni ushamba na upumbavu.
 
Back
Top Bottom