Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Unasahau kuwa katiba mpya wao ndio wamuuzi

Kama ccm hawataki katiba mpya then no katiba mpya itapatikana
Mimi huwauliza kila siku,, hivi wanadhani hiyo katiba mpya wataandika wao peke yao au?,
Yaani hawa watu hawako focused kabisa, wana operate based on emotional peke yake,, na sasa hawajengi ofisi, wanasubiria kukamata madaraka mwaka 3000 wapore ofisi za ccm 🤷🏽‍♂️😂
 
Ndiyo maana ninakuambia, usione vyaelea vimeundwa.

Inaonekana hujui hizo mali za CCM zimepatikanaje. Unatakiwa utambue kuwa mali hizo za CCM zilitokana na michango ya hiari ya wanachama wa CCM.

Mpaka leo ninavyoongea CCM inaendelea kiwekeza.
CCM ipo na radio yake
CCM ipo na TV yake
CCM ipo na magazeti yake
CCM ipo na makampuni ya real estate
CCM ipo na migodi.

Sasa wenzenu wanapowekeza nyie mnapiga porojo kwenye mitandao.

..Nazungumzia mali za Tanu / Ccm kati ya mwaka 1965 na 1992 tulipokuwa na
MFUMO WA CHAMA KIMOJA.

..Sijajielekeza ktk mali za Ccm zilizopatikana ktk kipindi cha vyama vingi.
 
..Nazungumzia mali za Tanu / Ccm kati ya mwaka 1965 na 1992 tulipokuwa na
MFUMO WA CHAMA KIMOJA.

..Sijajielekeza ktk mali za Ccm zilizopatikana ktk kipindi cha vyama vingi.
Sasa mzee kwani mimi naongelea mali zipi!?
Nimekwambia kwamba hizo mali za kuanzia 1965 hadi 1992 kama unavyosema, zilitokana na michango ya hiari ya wanachama wa CCM. Ni wanachama pekee walichangia. Hakuna mtu au taasisi ilinyang'amywa mali.

Kama yupo aliyeporwa taja hiyo mali.
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Hapa hakukuwa na uchaguzi katu! Walishapanga hiyo safu na namba zikawekwa kama kawaida ya CCM walevi na Wezi wa madaraka.
Unawezaje kusema kapita bila kupingwa wakati mlimsimika pekee. Na safu ni ile ile kila Leo.
Mtapukutika mmoja hadi mwingine!!
 
Hapa hakukuwa na uchaguzi katu! Walishapanga hiyo safu na namba zikawekwa kama kawaida ya CCM walevi na Wezi wa madaraka.
Unawezaje kusema kapita bila kupingwa wakati mlimsimika pekee. Na safu ni ile ile kila Leo.
Mtapukutika mmoja hadi mwingine!!
Haya ni mawazo mfu.
 
Sasa mzee kwani mimi naongelea mali zipi!?
Nimekwambia kwamba hizo mali za kuanzia 1965 hadi 1992 kama unavyosema, zilitokana na michango ya hiari ya wanachama wa CCM. Ni wanachama pekee walichangia. Hakuna mtu au taasisi ilinyang'amywa mali.

Kama yupo aliyeporwa taja hiyo mali.

..hakukuwa na michango ya hiyari.

..tulipitisha SHERIA kwamba nchi itakuwa ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..ilikuwa huwezi kuwa mtumishi wa serikali, askari, mtumishi ktk mashirika ya umma, bila kuwa mwana-ccm.

..hata kugombea nafasi ya ukiranja mashuleni ilikuwa lazima uwe mwanachama wa umoja wa vijana Tanu / Ccm.

..Ni katika mazingira hayo kati ya 1965 na 1992 Ccm ilijipatia mali nyingi za umma. Inatakiwa irudishe mali hizo serikalini.
 
Ccm wana pia vyama rafiki, tangu enzi ya Tanu, vilisaidia sana kuimarisha chama kiuchumi, hivi karibuni chama rafiki cha chadema kimepanga kukipa chadema sh bilioni 100 za kutumia katika harakati zao,, ni vizuri sasa wajenge ofisi kuu,, wasije wakazinywea zote
 
..hakukuwa na michango ya hiyari.

..tulipitisha SHERIA kwamba nchi itakuwa ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..ilikuwa huwezi kuwa mtumishi wa serikali, askari, mtumishi ktk mashirika ya umma, bila kuwa mwana-ccm.

..hata kugombea nafasi ya ukiranja mashuleni ilikuwa lazima uwe mwanachama wa umoja wa vijana Tanu / Ccm.

..Ni katika mazingira hayo kati ya 1965 na 1992 Ccm ilijipatia mali nyingi za umma. Inatakiwa irudishe mali hizo serikalini.
Hapa mzee unaongea porojo tu.
Nimekutaka ulete sheria hizo hapa.
Hebu niambie sheria nambari ngapi.
 
..hakukuwa na michango ya hiyari.

..tulipitisha SHERIA kwamba nchi itakuwa ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..ilikuwa huwezi kuwa mtumishi wa serikali, askari, mtumishi ktk mashirika ya umma, bila kuwa mwana-ccm.

..hata kugombea nafasi ya ukiranja mashuleni ilikuwa lazima uwe mwanachama wa umoja wa vijana Tanu / Ccm.

..Ni katika mazingira hayo kati ya 1965 na 1992 Ccm ilijipatia mali nyingi za umma. Inatakiwa irudishe mali hizo serikalini.
Kwahiyo unasema kila mwajiliwa, serikali, katika watumishi 200,000 wa wakati ule aliku ccm?
Hata kama iwe kweli, hiyo ina relate vipi na madai yako,, hebu jaribu kueleza kwa ufasaha basi mzee wangu,,
Jaribu kuwa specific
 
Kwahiyo unasema kila mwajiliwa, serikali, katika watumishi 200,000 wa wakati ule aliku ccm?
Hata kama iwe kweli, hiyo ina relate vipi na madai yako,, hebu jaribu kueleza kwa ufasaha basi mzee wangu,,
Jaribu kuwa specific

..Tulipitisha sheria kuwa Tanzania itakuwa nchi ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..Kwa hiyo Ccm ikawa taasisi ya umma ya Watanzania wote.

..Hivyo mali na rasilimali za chama kipindi tulichokuwa ktk mfumo wa chama kimoja ni za umma.

NB:

..ilikuwa huwezi kuwa kiranja shuleni bila kuwa mwanachama wa Tanu / Ccm / umoja wa vijana.
 
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.

2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.

Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.

Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.
Absolutely sure
 
..Tulipitisha sheria kuwa Tanzania itakuwa nchi ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..Kwa hiyo Ccm ikawa taasisi ya umma ya Watanzania wote.

..Hivyo mali na rasilimali za chama kipindi tulichokuwa ktk mfumo wa chama kimoja ni za umma.

NB:

..ilikuwa huwezi kuwa kiranja shuleni bila kuwa mwanachama wa Tanu / Ccm / umoja wa vijana.
Mzee hapa unaongea porojo tu. Hujaleta ushahidi wa chochote unachoongea. Hizi ni propaganda za miaka 1935.
 
Hapa mzee unaongea porojo tu.
Nimekutaka ulete sheria hizo hapa.
Hebu niambie sheria nambari ngapi.

..ina maana hujui historia ya nchi yetu.

..hufahamu kwamba wakati wa Tanganyika tulikuwa na vyama vingi?
 
..ina maana hujui historia ya nchi yetu.

..hufahamu kwamba wakati wa Tanganyika tulikuwa na vyama vingi?
Acha porojo. Hapa hatujadiliani wawili tunajadiliana kwa manufaa ya wote. Leta hizo sheria hapa tuone.
 
Mimi huwauliza kila siku,, hivi wanadhani hiyo katiba mpya wataandika wao peke yao au?,
Yaani hawa watu hawako focused kabisa, wana operate based on emotional peke yake,, na sasa hawajengi ofisi, wanasubiria kukamata madaraka mwaka 3000 wapore ofisi za ccm 🤷🏽‍♂️😂

Ha ha ha ha ngoja waje usikimbie
 
..Tulipitisha sheria kuwa Tanzania itakuwa nchi ya chama kimoja Tanu / Ccm.

..Kwa hiyo Ccm ikawa taasisi ya umma ya Watanzania wote.

..Hivyo mali na rasilimali za chama kipindi tulichokuwa ktk mfumo wa chama kimoja ni za umma.

NB:

..ilikuwa huwezi kuwa kiranja shuleni bila kuwa mwanachama wa Tanu / Ccm / umoja wa vijana.
Nope,, chama ndio kilishika hatamu, au umesahau,,
Kuna watu walipigania uhuru, wakaupata, wakatengeneza nchi, wakaiita Tanzania, na wakaunda serikali iliyokua chini ya chama,,
Sasa mzee we , uzaliwe 1980,umalize shule 90,utoke uswekeni kuja mjini kusoma,, ujue kufunga tai na kuchomekea shati la mikono mirefu, na ghafla unaanza kudai vitu watu wamefightia from scratch,,, we unaona hiyo ni sawa?.
Hiyo michango unayodai, unazo risiti zake?, Hata kama,, huoni huo ndo ulikua mfumo,, sasa sheria zipi zita justify madai yako?
 
Mzee hapa unaongea porojo tu. Hujaleta ushahidi wa chochote unachoongea. Hizi ni propaganda za miaka 1935.

..waulize watu waliokuzidi umri, au wafuatiliaji wazuri wa historia ya nchi yetu.

NB:

..enzi zetu ukichaguliwa kujiunga UDSM unaporipoti unaulizwa cheti cha JKT, na kadi ya Ccm/Uv-Ccm.

..Ukithibitisha hayo mawili ndio unatakiwa utoe vyeti vya masomo [ form 6, vyuo,etc. ]
 
..waulize watu waliokuzidi umri, au wafuatiliaji wazuri wa historia ya nchi yetu.

NB:

..enzi zetu ukichaguliwa kujiunga UDSM unaporipoti unaulizwa cheti cha JKT, na kadi ya Ccm/Uv-Ccm.

..Ukithibitisha hayo mawili ndio unatakiwa utoe vyeti vya masomo [ form 6, vyuo,etc. ]
Even if it is true😆,how does that justify your claims?
 
Back
Top Bottom