Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Akili kubwa inaweza kufanya yote, hata kushika dola ila sio kujenga ofisi ikifika hapo inabidi tukasome historia...,Soma mada na mtililiko wake kabla hujakomenti.
Ila nikuulize unadhani kwa nini watu hutumia miaka 30 ya existence ya Chadema kuwa hawana ofisi?
Halafu muda huo huo hawataki kujua historia ya AA, TAA na TANU vilikotokea?
Kumbuka lazima ukumbuke Chadema imeanza kuwa na Wabunge lini?
Rudhuku wameanza kupata lini?
Je, muhimu kutaja vipaumbele vya nchi? au Chama?
Mkuu nikuulize swali wew kwani. Unaona ccm ni bora kuliko hao wengine na kwanin ipewe ridhaa ya kutawal tenaUnaandika maneno mengi sana. Nimekuuliza swali unataka ukombozi gani!?
Kwenye mazingira ya AfrikaAkili kubwa inaweza kufanya yote, hata kushika dola ila sio kujenga ofisi ikifika hapo inabidi tukasome historia...,
Mpaka hapo huna akili kubwa. Acha kubwabwaja. Unajiita akili kubwa kwenye akili zako tu. Lakini kiuhalisia wewe ni mbumbumbu.Kwenye mazingira ya Afrika
Ushindane na chama dola
Uimarishe Chama
Ufungue matawi
Usimamishe wagombea na kuwasapoti financial
Kipate uungwaji mkono kwa kuuza sera
Dah? Mzee unadhani uchumi ni kwenda gym kujaza misuli ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
1. CCM haiwezi kutoka madarakani kwa sanduku la kura.
2. CCM haiwezi kuleta katiba mpya itakayo watoa wao madarakani au kuwa punguzia nguvu waliyo nayo.
Haya ni mambo makuu mawili Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] hakiwezi kufanya kwa sasa au hata baadae.
Tanzania ita kombolewa na Watanzania wenyewe watao kuwa wamejitambua , mpaka sasa Watanzania bado hawaja jitambua hawaja jua nini wanataka na kwa namna gani wanaweza kupata kile wanacho taka.
Unadhani wewe ukichoka ndio issue?Ukweli mtupu...
Wajitambue sasa wanaCCM wakimege chama...sisi wananchi tuko nyuma yao...it is either now or NEVER...
We are tired ..
Na Mkuu
Nisichokipenda kingine kwa CCM ni hicho,
Bila mawazo mapya, watu wapya unadhani hiki chama kitaweza kutatua matatizo ya Watanganyika?
Kusema watu wale wale na vizazi vyao huoni wanatengeneza ufalme au kifupi Upper Class
Asante mkuuMpaka hapo huna akili kubwa. Acha kubwabwaja. Unajiita akili kubwa kwenye akili zako tu. Lakini kiuhalisia wewe ni mbumbumbu.
Unadhani wewe ukichoka ndio issue?
Upo sahihi sana..siasa zimebadilika sasa hivi.
..mawazo mapya yalitakiwa yatoke upinzani.
..Magufuli ameturudisha kwenye chama kimoja.
Kweli akili kibwa haiwez kuwa na makao makuu yake kwa miaka 30 ila ikipewa nchi inaweza kuifanya dubai kwa miaka kumiKwenye mazingira ya Afrika
Ushindane na chama dola
Uimarishe Chama
Ufungue matawi
Usimamishe wagombea na kuwasapoti financial
Kipate uungwaji mkono kwa kuuza sera
Dah? Mzee unadhani uchumi ni kwenda gym kujaza misuli ya kifua[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sasa unataka ukombozi gani!?
KISIASA
KIUCHUMI
KIUTAMADUNI
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.
Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .
Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.
CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.
Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.
Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.
Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.
Shalom.
Basi kama unategemea huyo unayeshindana naye akupe nafasi ya kumshinda; huu utakuwa wendawazimu nambari moja.Asante mkuu
Ila hata akili kubwa haifanya kazi katika vacuum.
Mpaka walipofikia unatakiwa uwape kongole ikiwa kweli unatambua ilivyo ngumu kufanya harakati hasa Tanganyika.
Huku wengine wakisapotiwa na vyombo vya dola pamoja na deep state.
Tutauona mwisho wako na sio wa CCM.Tunataka kuona mwisho wa CCM...huo ndio ukombozi wa kweli wa mtanzania....
2025 inafika, vijana chipukizi wa uvccm wamekuwa wakijiandaa kushika nafasi za kuongoza uma kuanzia nafasi za kata mpaka mikoa huku wewe ukijiandaa na machafuko mwaka wa 7 huu.Machafuko pekee ndio yataruhusu mwenye ridhaa ya umma kukaa madarakani.
Tutauona mwisho wako na sio wa CCM.
Wakati wa chama kimoja ilikuwa ni hiyari kuchangia ccm? Una umri gani mkuu? Au umeanza kuishi Tanzania juzi kati?Hii ndo shida ya upinzani, too emotional, 🤷♂️yaani hawako strategically,, hivi mfano tuhuma hizi ukiambiwa udhibitishe unaweza,, hiyo michango ni ipi, mbona sisi wa mwaka 47 na hatuikumbuki?,, Weka screenshot hapo tuone,,
Hao watanganyika walipigania uhuru ni wote au ni wana TANU?,
Tuongelee uhalisia basi,, sio nyerere na watu wake ndio wamefightia uhuru hadi ukapatikana? 😲
2025 inafika, vijana chipukizi wa uvccm wamekuwa wakijiandaa kushika nafasi za kuongoza uma kuanzia nafasi za kata mpaka mikoa huku wewe ukijiandaa na machafuko mwaka wa 7 huu.