Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Tusahau kuindoa CCM kupitia ballot box

Ukombozi wa kweli ni kwenda mbinguni. Duniani tupo na ukombozi wa kisiasa, kiutamaduni na kiuchumi.
Usidhani kila mtu unae muona katika maisha yako ni muumini wa hizo imani, kulikuwa hakuna sababu ya msingi ya wewe kunielezea mimi maswala ya mbinguni wakati mimi hapa nazungumzia taifa, CCM na ukombozi.

Zingatia muktadha wa kila eneo ulipo.
 
Hata Afrika kusini ilipata uhuru 1930, lakini akina Mandela walipambana dhidi ya makaburu kutoka kwenye ubaguzi wa rangi.

Bila machafuko sioni chochote kubadilika. Hizi porojo za amani ili tuendelee kutawaliwa kwa shuruti ni kupoteza muda.
Machafuko peleka kwenu huko somalia. Sisi watanzania tunautaratibu wetu. CCM ni chama chenye nguvu barani Africa. Matatizo yenu ndani ya vyama vyenu msitafute mchawi.
 
Usidhani kila mtu unae muona katika maisha yako ni muumini wa hizo imani, kulikuwa hakuna sababu ya msingi ya wewe kunielezea mimi maswala ya mbinguni wakati mimi hapa nazungumzia taifa, CCM na ukombozi.

Zingatia muktadha wa kila eneo ulipo.
Sasa unataka ukombozi gani!?
KISIASA
KIUCHUMI
KIUTAMADUNI
 
Jitahidi kuzingatia ninayo andika ili usizalishe maswali yasiyo na maana.
Wewe unasema unataka ukombozi, nami nakuuliza unataka ukombozi gani!? Kama hujui ukombozi unaouhitaji utaweza kweli kutetea hoja zako!?
 
TANU ilikaa miaka mingapi chini ya utawala wa wakoloni!?

..ilianzishwa 1954 tukapata uhuru 1961. Kwa hiyo ni miaka 7.

..kinachonishangaza ni Muingereza kuwa na utu kuliko hawa Watanzania wenzetu wa Ccm.

..kwa mfano, kulifanyika uchaguzi mwaka 1958 na Muingereza hakuengua mgombea hata mmoja wa Tanu.

..Sasa fast forward mpaka uchaguzi wa 2019 na 2020 ambako Tume ya Uchaguzi chini ya Ccm iliengua maelfu ya wagombea wa upinzani.

..Je, ni lazima uwe Ccm li utendewe haki na uwe huru hapa Tanzania?

..Mazingira hayo ndio yanayonifanya nisionee fahari Uhuru na nchi yetu.
 
Mungu anasema atatupigania na atatushindia na sisi tutakaa kimya. Mungu siku akitaka kuwatoa atawafarakanisha na hata wenyewe baadae hawatoamini. It's a matter of time
 
..ilianzishwa 1954 tukapata uhuru 1961. Kwa hiyo ni miaka 7.

..kinachonishangaza ni Muingereza kuwa na utu kuliko hawa Watanzani wenzetu wa Ccm.

..kwa mfano, kulifanyika uchaguzi mwaka 1958 na Muingereza hakuengua mgombea hata mmoja wa Tanu.

..Sasa fast forward mpaka uchaguzi wa 2019 na 2020 ambako Tume ya Uchaguzi chini ya Ccm iliengua maelfu ya wagombea wa upinzani.

..Je, ni lazima uwe Ccm li utendewe haki na uwe huru hapa Tanzania?

..Mazingira hayo ndio yanayonifanya nisionee fahari Uhuru na nchi yetu.
Sasa tunarudi kwetu hapa. CHADEMA ilianzishwa 1992 mpaka leo 2022 ni miaka 30 hawana ofisi. Je, hizi ndizo siasa za kutaka kuongoza nchi!?
 
Machafuko peleka kwenu huko somalia. Sisi watanzania tunautaratibu wetu. CCM ni chama chenye nguvu barani Africa. Matatizo yenu ndani ya vyama vyenu msitafute mchawi.

CCM ni chama kikubwa, lakini kubwa jinga, na kiko hadi leo madarakani kwa uoga wa wananchi. Maana kama ni wizi wa kura wanaufanya waziwazi maana hawana uwezo tena wa kushinda uchaguzi. Hivyo tukiacha uoga CCM itazikwa kaburi moja na KANU ya Kenya. Machafuko tu ndio njia ya kurejesha heshima ya box la kura.
 
Wewe unasema unataka ukombozi, nami nakuuliza unataka ukombozi gani!? Kama hujui ukombozi unaouhitaji utaweza kweli kutetea hoja zako!?
Zingatia nilicho kuambia, kuwa unapaswa kuzingatia ninacho andika ili ujiepushe wewe kuuliza maswali yasiyo na maana.

Una kumbuka kuwa hilo swali uliniuliza mwanzo na nikalitolea jawabu lake.

Jitahidi kuweka umakini katika kila jambo maishani mwako na jiepushe na mihemko isiyo na maana, maana haina afya yoyote kwako.
 
CCM ni chama kikubwa, lakini kubwa jinga, na kiko hadi leo madarakani kwa uoga wa wananchi. Maana kama ni wizi wa kura wanaufanya waziwazi maana hawana uwezo tena wa kushinda uchaguzi. Hivyo tukiacha uoga CCM itazikwa kaburi moja na KANU ya Kenya. Machafuko tu ndio njia ya kurejesha heshima ya box la kura.
KANU linganisha na TANU. Mizizi ya CCM ni mirefu. Shughulikieni matatizo yenu kabla ya kunyoshea vidole wengine.
 
Zingatia nilicho kuambia, kuwa unapaswa kuzingatia ninacho andika ili ujiepushe wewe kuuliza maswali yasiyo na maana.

Una kumbuka kuwa hilo swali uliniuliza mwanzo na nikalitolea jawabu lake.

Jitahidi kuweka umakini katika kila jambo maishani mwako na jiepushe na mihemko isiyo na maana, maana haina afya yoyote kwako.
Unaandika maneno mengi sana. Nimekuuliza swali unataka ukombozi gani!?
 
Unjani sabuwona
Kwa hali niliyoiona jana pale Dodoma kamwe ccm haiwezi kutokana madaraka kwa kutumia ballot box hawa watu wamejipanga kweli kweli kila kitu ni Chao.

Hapa nielewe sijamaanisha itumike violence hapana let make sure that katiba mpya inapatikana soon as possible ili mambo yasiaribike .

Kila kitu kipo kwao polisi ni wao, mahakamani ni wao, timu za mpira wa miguu ni wao and each and everything ni wao this is too much wakuu.

CCM wamehodhi kila kitu mambo yote ni wao vijana wengi vyuoni katika vijana kumi 8 ni ccm mmoja hana chama na mmoja ni upinzani CHADEMA au Act.

Wapinzani mtoke humu mitandaoni sio kupiga kelele mitandaoni fikiria mwananchi wa chini kabisa huko maganzo au nanjilinji ndani ndani huko haijui twitter wala jamiiForum yeye au wao hauwezi kuwaambia chochote kuhusu ccm, ccm ni wao na wo ni ccm.

Nchi haiongozwi kwa kutumia space au club house tu tujitokeze barabarani kutaka katiba mpya.

Join with me kwa maandamano ya amani mpaka ikulu siku ya jumamosi kushinikizwa kwa katiba mpya. Maandamano yataanzia posta kwenye mnara wa askari mpaka magogoni ikulu. Kula, kunywa na matibabu ni juu yangu.

Shalom.
Kwahiyo lengo la kutaka katiba mpya ni kuitoa ccm madarakani? 😲
Mbona kazi mnayo basi,, hiyo katiba mtaandika peke yenu au?
 
KANU linganisha na TANU. Mizizi ya CCM ni mirefu. Shughulikieni matatizo yenu kabla ya kunyoshea vidole wengine.

Matatizo yetu ya wizi wa kura au? Nyie machafuko yakitokea mtanyoosha maelezo.
 
Matatizo yetu ya wizi wa kura au? Nyie machafuko yakitokea mtanyoosha maelezo.
Nimekuambia issue zenu za machafuko toka Somalia hapa hayafui dafu.
Ndio maana kuna vyombo vya dola kuzuia machafuko na watu wenye mawazo mabaya kama wewe.

Tafuta pesa kijana, achana na mawazo ya kishetani.
 
Unaandika maneno mengi sana. Nimekuuliza swali unataka ukombozi gani!?
Zingatia nilicho kujibu mwanzo kwa hili swali lako, huwa sipendi majibizano yasiyo na maana hiyo ndiyo desturi yangu.
 
Nimekuambia issue zenu za machafuko toka Somalia hapa hayafui dafu.
Ndio maana kuna vyombo vya dola kuzuia machafuko na watu wenye mawazo mabaya kama wewe.

Tafuta pesa kijana, achana na mawazo ya kishetani.

Huko Zimbabwe, Sudan nk watu walipoandamana hakukuwa na vyombo vya dola? Ngoja machafuko yatokee ndio ukatafute kazi ya halali na sio hii ya kujipendekeza kwa viongozi majizi ya kura ili upate mlo.
 
Back
Top Bottom