Bibie anatii kila asemacho mkwere hata kama ni cha kipuuzi..
Anachokifanya bibie ni maelekezo ya mkwere kwa manufaa binafsi ya mkwere na watu wake, serikali imejaa viongozi mafisadi, mkwere na bibi hawawezi kuondoa ufisadi serikalini kwa sababu nao ni wale wale.
Rais fisadi hawezi kudhibiti mafisadi