Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nisaidie kuelewa kitu mkuu, kama anafanya kwa manufaa ya mkwere, sasa mbona amewapiga chini watu wa mkwere kina marope na mwenzake?
 
Nonsense
 
Nisaidie kuelewa kitu mkuu, kama anafanya kwa manufaa ya mkwere, sasa mbona amewapiga chini watu wa mkwere kina marope na mwenzake?
Acha kudanganyika na drama za kisiasa kwa wanaojuana kwa vilemba....

Bibie akimpiga chini Ridhiwani ndio ndipo atakuwa kawapiga watu wa mkwere..

Hao kina marope si lolote kwa mkwere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…