Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Rais mwenye machungu anashiriki kwenye wizi wa pesa BOT.
Mkapa mwenyewe amekiri na ameomba msamaha kwenye kitabu chake kwa kushiriki kuiba pesa za EPA

2. Rais mwenye machungu anapitisha kuuzwa kwa nyumba za serikali oysterbay kwa bei ya corolla.

3. Rais mwenye machungu ameuza mashirika ya uma na kujiuzia mgodi wa kiwira

4. Rais mwenye machungu yuko tayari kuona wananchi wake wanakula nyasi ili yeye anunuliwe ndege.

Mkapa ndie Rais aliyeirudisha nchi nyuma kuliko wote.
Pia alikuwa shahidi Kwa mtu aliyetupiga kule ubalozini italy
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Kwakweli huyu mzee wa Msoga ni tatizo na janga kwa Nchi. Kitendo cha ku-influence kikao cha mkutano Mkuu wa tarehe 19.01.2025 kwa kutuletea SSH kakosea sana kama mgombea 2025, yeye alishamaliza ngwe yake, kiherehere ni cha nini, si atuache waTZ tupate mgombea kwa kufuata sheria na taratibu badala ya kufanya retrospective approvals which does not hold water?
 
Uzuri kwenye Nchi hii hakuna mtu anafahamu siasa, fitina na majungu kama Kikwete. Kama aliwai kumtosa swaiba wa ukweli Lowsssa itakuwa Samia. Twende mdogo mdogo. Ata yeye anafahamu baada yake hakuna msitahafu atasema Asikilizewe kama yeye. Tulienia atawaacha sehemu nzuri mnayo itaka nyinyi wala msiwe na shaka. Kikwete ni mtu ambaye anaweza kuona Ccm hakuna kada aliyepikwa akaiva akahamua nchi ichukuliwe na wapinzani. Binafsi bado namuamini Kikwete.
Mkuu huku chamani kwetu kwa sasa hatuna kijana shupavu mwenye uchungu na raslimali za Nchi na kuona HAKI inayendeka; kama yule wa Upper Volter.
 
Kuna siku nilikuwa napiga story na mzee mmoja wa Kinyamwezi mwenye umri wa miaka 85, aliniambia endapo kama Nyerere angetaka kuifanya familia yake iwe ni moja ya familia tajiri zaidi barani afrika kwa miaka mingi kama walivyofanya akina Eduardo Santos au Teodore Nguema, huo uwezo alikuwa nao.

Maana kama ni hongo alikutana nazo sana, waingereza walihaidi mpaka kumpa ulinzi kwa kipindi chake chote atakachotawala endapo kama angekubali kuwaachia rasilimali.

Imagine walikuwa wanamuita London asaini mikataba ya madini, ila yeye anawaambia subiri nikawaulize kwanza wanainchi wangu kama watakubali... kumbe ndio amewakataa hivyo, na kipindi hicho watanzania wengi bado ni mambumbu waliokuwa na elimu wachache sana... hivyo hata maamuzi mengi ya kiserikali aliyafanya mwenyewe, kwa hiyo hata angetaka kuuza migodi yote nchi hii na hela kuzifaidi yeye na familia yake kwa mwamvuli wa uwekezaji uwezo ulio alikuwa nao tena kirahisi sana.

Mimi huwa najiulizaga hivi Tanzania ingekuwa na kiongozi aina ya Samia au Kikwete au Mkapa kwa miake ile sijui ingekuwaje, sijui hata tungebakia na nini Leo..

Halafu eti unakutana na kitoto cha late 90s au 2000s kina tema shiiit na kumbeza Nyerere huku kikiwasifia hawa maraisi waliofuata ambao obviously ni madalali wa rasilimali kuwa eti ndio bora san.. huwa napatwa na hasira sana.
Na kwa makusudi makubwa na mema ya Nyerere hayaandikwi wala kusimuliwa kwa vitoto vya 2000 na 1990. Vimebaki kushabikia ujinga. Leo mla rushwa ni mjanja, mwenye akili na mwekezaji. Miaka ya Nyerere alizomewa.
 
Zitaje majina hizo shule za kata zilizojengwa kabla ya 2005. Mimi sizijui.

Nitajie majina yake
Nendeni wizara ya Elimu mtakuta kumbukumbu kuwa shule za kata, zilijengwa na Edward Ngoyai Lowasa Waziri mkuu wa wakati huo,, kabla hajajiuzulu 2007. Mpaka zikaitwa Secondary za Lowasa. Na akawa na usemi wake Elimu, Elimu, Elimu.
 
One thing in your mind, hata kama hutamchagua Rais, lakini atakuwa Rais wako, Dodoma Kuna dimba la mpira wa Miguu Lina uwezo wa kubeba watu 32,000, litagharimu bilioni miatatu na point.
Mzee Jiwe alikuwa na ndoto zake za kujenga uwanja wa capacity ya 100,000 (Mwaka 2019) hapo Dodoma, fedha ya ujenzi ilitengwa na maandalizi yalianza ila mzee jiwe alilala mauti 2021 huku mchakato wa ujenzi ukiendelea.

Leo mwaka 2025 Kunajengwa uwanja wa capacity ya 32,000 Makao makuu ya Dodoma kwa bilioni 310....

alafu kuna kenge hawa vibaraka wanasema wanajenga uwanja mkubwa sana Dodoma😂😂😂

Inasikitisha sana....!

Endelea kusherehekea upigaji.
 
Mzee Jiwe alikuwa na ndoto zake za kujenga uwanja wa capacity ya 100,000 (Mwaka 2019) hapo Dodoma, fedha ya ujenzi ilitengwa na maandalizi yalianza ila mzee jiwe alilala mauti 2021 huku mchakato wa ujenzi ukiendelea.

Leo mwaka 2025 Kunajengwa uwanja wa capacity ya 32,000 Makao makuu ya Dodoma kwa bilioni 310....

alafu kuna kenge hawa vibaraka wanasema wanajenga uwanja mkubwa sana Dodoma😂😂😂

Inasikitisha sana....!

Endelea kusherehekea upigaji.
Niwie radhi mkuu, pengine sijaeleweka vizuri
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!

Chama kinaona mbele . inatia huruma

1739805190272.png
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Nimependa pale umesema tulitegemea amshauri samia kwamba apishe. Badala yake ameunga mkono upokaji wa haki ya wanaccm kugombea nafasi kuteuliwa kugombea urais. Samia alirithi tu urais kutokana na kifo cha mtu aliyekampeni na kuchaguliwa kua rais. Eti machawa wanatuambia mama anagombea kipindi cha pili wakati wanaccm wote wanajua hakua na kipindi cha kwanza maana alirithi kipindi cha pili cha Magufuli.
 
Nimependa pale umesema tulitegemea amshauri samia kwamba apishe. Badala yake ameunga mkono upokaji wa haki ya wanaccm kugombea nafasi kuteuliwa kugombea urais. Samia alirithi tu urais kutokana na kifo cha mtu aliyekampeni na kuchaguliwa kua rais. Eti machawa wanatuambia mama anagombea kipindi cha pili wakati wanaccm wote wanajua hakua na kipindi cha kwanza maana alirithi kipindi cha pili cha Magufuli.
Uchawa unalitafuna taifa
 
Wajinga hawajuagi kuongoza nchi, zaidi ya kuendekeza anasa tu na kujinufaisha wao na syndicates zao huku majority ya watanzania wakiteseka wenye hali ya chini, sababu nchi inakuwaga ni ya wachache sana wenye nguvu ndio wanaifaidi maana huwa wanafanya chochote wanachojiskia yaani bila hofu ya kuchukuliwa hatua.

Nakumbuka Kitana alikuwa anadhulumu sana watu kwenye shughuli za uvuvi huko ziwa Victoria, wavuvi wengi sana wadogo wadogo wameumia kwa kunyang'anywa mitumbwi yao na kitana kisa tu walikuwa wanavua karibu na kisiwa chake...

Alipoingia chuma madarakani alipigwa biti moja tu ule uonevu wote ukaisha na kila mtu akawa anavua kwa uhuru bila hofu yoyote hata kwenye maeneo ambayo kitana alikuwa amaye monopoly kuwa anavua peke yake yake tu.

Sasa hivi unaambiwa ule uonevu umerudi kwa kasi, na hakuna tena mvuvi mdogo anayesogelea kwenye himaya yake, yaani jamaa amerudi tena kuogopwa kama awali...

Na hakuna hata anayejali sio waziri wala raisi kwamba kuna wavuvi wadogo wadogo wanaonewa huko visiwani.
Wewe nawe, hebu nenda kalalwe huko. Unakuwa na chuki kwa mtoto wa mwanamke mwenzio mpaka kero
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Kikwete ni shetani aliyeuza nchi yetu tangu akiwa waziri wa Mwinyi hadi alipopata urais. Haya madude yote ya Dowan, Kagoda IPTL na mengine mengi ni matunda ya kazi ya habithi hili jambazi. Natamani lingekufa hili badala ya mshamba Jiwe. Kuna haya ya kuchunguza uhusiono wake na huyu Maza hasa ikizingatiwa alivyo mwingi na namna wazenj walivyo open check pale chinii. Isije ikawa tuna new secret couple in power.
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Na akitoka Bi tozo, Ritz Carlton anachukua kijiti. Hutaki hamia burundi
 
Wewe nawe, hebu nenda kalalwe huko. Unakuwa na chuki kwa mtoto wa mwanamke mwenzio mpaka kero
Huwa siwajibu mashoga na wafirwaji ila Acha nikujibu kubwa jinga wewe.

Licha ya kuwa chawa lakin bado umasikini utaendelea kukuandama wewe na ukoo wako.
 
Huyo ni shiida, na hv wastaafu ma prezda wenye big brains wameshavuta wamebaki makanjanja ndio balaa zaidi!
 
Umeandika upuuzi kwa kumlaumu Mzee wa watu kutumia stori za vijiweni
 
Huwa siwajibu mashoga na wafirwaji ila Acha nikujibu kubwa jinga wewe.

Licha ya kuwa chawa lakin bado umasikini utaendelea kukuandama wewe na ukoo wako.
Hivi kwanini baadhi ya wanawake mkiwa period mnakuwa na hasira na chuki sana?!!!!! Unamchukia mtoto wa mwanamke mwenzio utafikiri hujui uchungu wa kuzaa dada wewe. Sio vzr hivyo!
 
Back
Top Bottom