Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Pre GE2025 Tuseme bila unafiki: Kikwete ni tatizo kwa sasa nchini kuliko wakati wowote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wataje humu acheni habari za kufirika
Ufisadi sio habari ya kufikirika. Mtumishi mwenye mshahara wa milioni moja kwa mwezi anapomiliki ghorofa la bilioni 8, bado huoni ufisadi ????. Na mtu huyo hana biashara wala kilimo.
 
Matusi na hoja ni vitu mbalimbali. Sijaona ufisadi zaidi ya speculation zako ulizotoa kwa wanasiasa uchwara. Escrow? Unajua maana ya escrow? Jitahidi kupata taarifa zilizo sahihi
IPTL, Songas, Barick gold nk
 
Nyie wote mnaomponda kikwete hatakuja kutokea raisi alie wajari watanzania km kikwete, sema tu hakua mpenda sifa na mambo ya show off, akija kugombea uraisi nampgia kura
Wapumbavu kama wewe mko wengi nchi hii Ndio maana iko nyuma!!
Kikwete ni fisadi; alipokuwa Rais na marehemu Mustapha Mkullo akiwa waziri wa fedha, they floated a EURO bond na fedha waliokusanya haikuja nchini!
 
lkn aliyemwaga shule tanzagiza nzima kila kata ni B.Mkapa au ni kazi ya Mkapa atleast, hiyo ilikuwa kazi yake tena baada ya Tanzania ya wakati huo kuqualify paris club na kusamehewa madeni, fedha ikaenda kujenga shule nchi nzima, hivyo kama ni sifa ya kusoma na shule nchi nzima ni kazi ya B.Mkapa, raisi kikwete alihusika na udom hiyo ni project yake ambayo kwa sababu ambazo hazielezeki haijakamilika mpaka leo hii …

Kikwete kaingia U rais 2005 na kamaliza 2015.

Mkapa kaingia urais 1995 na kamaliza 2005.

Naomba unitajie majina ya shule za kata zilizojengwa kabla ya 2005 ya kikwete
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
 

Attachments

  • 3049818-bea797ab6cbc71c96b0e8f1726a165b5.mp4
    55.4 MB
Sisi tunajua shule zilijengwa kwa usimamizi wa Lowasa aliyekuwa waziri mkuu wa JK.

Hayo mambo ya Mkapa unayajua mwenyewe labda kama unazungumzia wizi wa pesa za EPA.

Mwambie akutajie majina ya shule za kata zilizojengwa awamu ya mkapa from 1995 mpaka 2005, uone kama atakujibu
 
Wengine tumesema kabla ya mada ya JAL22.

Huyo babu hana shida ya hela ni tajiri mno.

Shida ya JK ni power addiction, hayuko tayari kuishi nje ya political influence.

Shida yake ya msingi ni ‘life event’ (psychology), anachojua yeye ni kuishi kwenye maisha ya power.

Hata Dodoma (achana na kilichotokea) either unakubaliana nacho au la. Lakini JK hana mamlaka ya kupitisha maazimio ya chama,

Kibongo bongo ni ngumu kuelewa ila JK ni mental case, sio lazima uwe muokota makopo. Lakini anaitaji kupewa psychology intervention ya kuzoea kuona wengine wanafanya maamuzi.

Jamaa ana psychological problems, watoto wake awahitaji msaada ni proffesional na wako vizuri. Labda Ridhwani na hata yeye keshaiva kama mwanasiasa anaweza jitegemea.

Better still Ridhiwani ana vitega uchumi vya property kwa hela yake ya ubunge aliyowekeza bila ya msaada wa baba yake ata hakikosa ubunge ni billionaire.

Unajiuliza huyu mzee anataka nini tena, kulinda ufisadi; watoto wake wote labda yule wa mwisho. Hawana shida na hela yake. Wenyewe wana income za kutosha.

Yaani JK kalea watoto wake, pamoja na utajiri wake. Watoto wake wote ni independent hawaitaji hela yake, labda yule wa mwisho.

JK anawalemaza hawa watoto wa rafiki zake hakina Nape, sijui January. Lakini wakwake mwenyewe amewalea wajitegemee wote yeye anatoa support tu kufikia malengo.
1739653557032.png
 
Kama Kuna mtu kaonewa kupita kiasi na kuonyesha ukomavu ni huyu ndugu yetu...Kha!
 
Wewe ni hater hasa kwa Mh Jakaya, haikusaidii chochote kwenye maisha yako


Mtu kajipumzikia zake wewe upo busy na ngonjera zako miaka nenda rudi
 
Lete story ya Nyerere kutapeliwa. Na kama alitapeliwa kosa lake liko wapi. Bado alikuwa Rais, madini , mazao, wanyama, na rasilimali zote zilikuwa chini yake, angeamua kutajirika atakavyo. Nasimama na Nyerere mpaka mwisho ya kuwa alikuwa mzalendo halisi. Alipostaafu 1985 alichangiwa zawadi kila Wilaya akazikataa. Lete uzushi mwingine,,, kumchafua Nyerere huwezi hata kwa bahati mbaya.
Kuna siku nilikuwa napiga story na mzee mmoja wa Kinyamwezi mwenye umri wa miaka 85, aliniambia endapo kama Nyerere angetaka kuifanya familia yake iwe ni moja ya familia tajiri zaidi barani afrika kwa miaka mingi kama walivyofanya akina Eduardo Santos au Teodore Nguema, huo uwezo alikuwa nao.

Maana kama ni hongo alikutana nazo sana, waingereza walihaidi mpaka kumpa ulinzi kwa kipindi chake chote atakachotawala endapo kama angekubali kuwaachia rasilimali.

Imagine walikuwa wanamuita London asaini mikataba ya madini, ila yeye anawaambia subiri nikawaulize kwanza wanainchi wangu kama watakubali... kumbe ndio amewakataa hivyo, na kipindi hicho watanzania wengi bado ni mambumbu waliokuwa na elimu wachache sana... hivyo hata maamuzi mengi ya kiserikali aliyafanya mwenyewe, kwa hiyo hata angetaka kuuza migodi yote nchi hii na hela kuzifaidi yeye na familia yake kwa mwamvuli wa uwekezaji uwezo ulio alikuwa nao tena kirahisi sana.

Mimi huwa najiulizaga hivi Tanzania ingekuwa na kiongozi aina ya Samia au Kikwete au Mkapa kwa miake ile sijui ingekuwaje, sijui hata tungebakia na nini Leo..

Halafu eti unakutana na kitoto cha late 90s au 2000s kina tema shiiit na kumbeza Nyerere huku kikiwasifia hawa maraisi waliofuata ambao obviously ni madalali wa rasilimali kuwa eti ndio bora san.. huwa napatwa na hasira sana.
 
Mwambie akutajie majina ya shule za kata zilizojengwa awamu ya mkapa from 1995 mpaka 2005, uone kama atakujibu
Pia JK aliweka mtandao wa Barabara nchi nzima, hii huwa hawaisemi, wanaangalia mabaya yake tu
 
Matusi na hoja ni vitu mbalimbali. Sijaona ufisadi zaidi ya speculation zako ulizotoa kwa wanasiasa uchwara. Escrow? Unajua maana ya escrow? Jitahidi kupata taarifa zilizo sahihi
Wewe ni mjinga tu mmoja ambaye ulikuwa ni mnufaika wa utawala dhaifu uliokumbatia ufisadi wa kikwete.

Hebu niambia report ya PAC ilisemaje kuhusu sakata la Escrow? Huyo mkwere dk za mwisho hakuwaambia wezi wenzake wazirudishe zile pesa kisha akakaa kimya baada ya kumtumbua Tibaijuka kinafiki? Hivi kweli kama angekuwa hajahusika na ule ufisadi angeacha kuwachukulia hatua?

Haya tuachene na huo wa Escrow, vipi na ufisadi wa Richmond nao pia hakuhusika? Hebu kataa na hapa kuwa hakuhusika mtetezi wa mafisadi wewe
 
Mkapa hajawahi kujenga shule za kata
Wewe jamaa una upumbavu mwingi sana kichwani na chuki kwa maraisi wengine ambao walikuwa bora kuliko hata huyo kikwete wako.

Kwamba shule za kata zile ambazo zilianza kuchukua wanafunzi 2005 January zilijengwa na nani? Kikwete sio?
 
Siku hizi Kikwete anadai kila mradi alianzisha yeye.. Ikulu ya Dom, SGR, Bwawa la Nyerere etc..
Sio yeye anayedai ni machawa wake ambao waliufaidi utawala wake dhaifu na wengine ni sababu za kidini tu zinawatuma, na wanasema hivyo katika namna ya kubeza utawala wa Magufuli kuonesha kuwa hakufanya au kuanzisha chochote.
 
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha.

Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania

Umewakosea Sana Watanzania haiwezekani kabisa kila kitu unahusishwa wewe!!

Why unatumia nguvu nyingi kuhujumu umma kwa maslahi yako binafsi?

Wajukuu wetu warithi nini Kama kila kitu kinauzwa na wewe upo kimya unapata manufaa gani na maslahi gani?.

Rais Mustaafu pekee aliyebaki badala ukemee uhuni na wahujumu uchumi wa nchi wewe kutwa upo na Rais tu kwenye kila Jambo hata Kama anavuruga nchi?

Jk jifunze kwa mwenzako Uhuru Kenyatta pamoja na kwamba ni bosi ni tajiri kweli ila bado serikali ya ruto anaikosoa waziwazi bila kupindisha maneno

Jk unakwama wapi? Nyerere alikemea Sana utawala wa Mwinyi Mkapa why wewe kimya ??

Ulimkosoa Magufuli pale maslahi yako yalivyoguswa lakini sasahivi nchi inaanguka upo tu unashangaa mpaka watu waanze kugawana mbao?

Umeshindwa kusoma upepo kwamba wananchi wa nchi hii hawatamchagua kabisa Samia kwanini ujamshauri apumzike?

Jk wewe ni tatizo kwa Sasa pengine kuliko hata Samia mwenyewe!!

Na mtaanguka wote!!
Aisee,
Shida ni nini,embu kuwa muwazi.
 
Yes na wanajifanya watu wa haki na demokrasia kumbe ni matapeli tu.
Wajinga hawajuagi kuongoza nchi, zaidi ya kuendekeza anasa tu na kujinufaisha wao na syndicates zao huku majority ya watanzania wakiteseka wenye hali ya chini, sababu nchi inakuwaga ni ya wachache sana wenye nguvu ndio wanaifaidi maana huwa wanafanya chochote wanachojiskia yaani bila hofu ya kuchukuliwa hatua.

Nakumbuka Kitana alikuwa anadhulumu sana watu kwenye shughuli za uvuvi huko ziwa Victoria, wavuvi wengi sana wadogo wadogo wameumia kwa kunyang'anywa mitumbwi yao na kitana kisa tu walikuwa wanavua karibu na kisiwa chake...

Alipoingia chuma madarakani alipigwa biti moja tu ule uonevu wote ukaisha na kila mtu akawa anavua kwa uhuru bila hofu yoyote hata kwenye maeneo ambayo kitana alikuwa amaye monopoly kuwa anavua peke yake yake tu.

Sasa hivi unaambiwa ule uonevu umerudi kwa kasi, na hakuna tena mvuvi mdogo anayesogelea kwenye himaya yake, yaani jamaa amerudi tena kuogopwa kama awali...

Na hakuna hata anayejali sio waziri wala raisi kwamba kuna wavuvi wadogo wadogo wanaonewa huko visiwani.
 
Kama hamtaki jiwe aongelewe mbona nyinyi kutwa kumuongelea na kumsakama mzee wa watu utadhani alisha watomba nyinyi na wake zenu?

Kikwete ni fisadi na aliye shindwa kudhiti mafisadi ,ebu nitajie ni rais gani ukimtoa Nyerere ambaye hakuwa fisadi na alidhibiti mafisadi.
Hivi kuna rais aliye anzisha mambo ya hovyo ndani ya nchii hii kuliko huyo mungu wenu jiwe?
Jiwe si ndo muasisi wa uchawa ndani ya nchi hii?
Jiwe si ndo muasisi wa siasa za uhasama za kutekana na kuuwana?
Jiwe si ndo muasisi wa kutumia pesa za uma bila idhini ya bunge?
Si ndo muasisi wa kutumia mabilion ya pesa za walipa kodi kununua wapinzani?

Nyinyi wafuasi wa jiwe mmejaa mavi kichwani na ni kiwakilishi kizuri cha kiasi gani watz ni wapumbavu.
JIWE JPM alaaniwe popote alipo na Mifupa yake na Kivuli chake na Sanda yake na Kaburi lake vilaaniwe kabisa siku ya Mwisho akifufuka Afufukie mbali na Watakatifu wengine.
Sipendi anayoyafanya Shosti yenu wa Kizimkazi lakini Kikwete Muacheni.
 
Mwambie akutajie majina ya shule za kata zilizojengwa awamu ya mkapa from 1995 mpaka 2005, uone kama atakujibu
Kwani zile shule za kata zilizoanza kuchukua wanafunzi tangu mwaka 2005 January zilijengwa wakati wa raisi gani? Baba ako kikwete ndio alizijenga sio? Licha ya yeye kuingia madarakani mwaka huo huo mwezi wa 12 eeh?
 
Back
Top Bottom