Tuseme ndio umefanikiwa kuwa Rais wa Tz. Ni maswala yapi matano ungehakikisha ndani ya miaka 10 hayatakuwa tena kero kwa asilimia kubwa wananchi wako.

Tuseme ndio umefanikiwa kuwa Rais wa Tz. Ni maswala yapi matano ungehakikisha ndani ya miaka 10 hayatakuwa tena kero kwa asilimia kubwa wananchi wako.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
KARIBUNI:
3d2597137e23c212996f8b72455510c7.jpg
 
1.Nafanya Mapinduzi makubwa ya kilimo for export purpose.
2.Nakata Matumizi ya hovyo serikalini kwa asilimia 80.
3.Naunda baraza dogo la mawaziri,
4.Napunguza idadi ya wabunge ifikie angalau 100.
5.Zanzibar naifanya kuwa Mkoa siyo nchi.
6.Nitajenga nchi kwa kushirikiana na Wapinzani
 
1. Ajira kwa Vijana wote mtaani.
2. Madada zangu wale Maofisa warekebishaji wa migogoro ya Ndoa wote wapate vibari wapate vitambulisho wawe na Ofisi maalumu na walipe kodi TRA watoe risti kila wanapotoa huduma
3. TRA fukuza Wezi wote wanaojenga apartment GOBA & Salasala kule fukuza wote
4. Bandari fukuza Wezi wote wanaochezea mifumo
5. Anga ongeza idadi ya viwanja vya Ndege maeneo nyeti huko
 
1. Kuifanya Simba kuwa team ya netball;
2. Kuondoa boda boda kama chombo cha public transport;
3. kuboresha mfumo wa elimu kwa vitendo kuanzia shule ya vidudu mpaka chuo kikuu;
4. Kujenga viwanja vingi vya michezo tofauti tofauti kila kata ili watu wasifuge vitambi na kupiga punyeto kifalafala;
5 Nigejengea uwezo wadada na wamama kuacha kupiga mizinga
 
Miaka kumi ni miaka mingi na pia ni miaka michache kulingana na masuala utakayo ya zungumzia.

So far namba moja(1) nitaanza na KATIBA.

Ni mchakato ambao hautaenda kwa pupa. ndani ya hiyo miaka utakuwa umefanikiwa na mambo yamekaa sawa.

Hapa katiba itaweza tatua changamoto nyingi sana tofauti na awali.
 
1. Nitaua majambazi wote, hata walioko gerezani wanaoendelea kukata rufaa nitawapoteza.

2. Nitapambana na Wala rushwa na wabadhikifu wa Mali za umma Kwa nguvu na akili zote. Ukibainika huna kazi, unafilisiwa na gereza linakuhusu.

3. Nitazuia Matumizi yasiyo ya lazima. Ndani ya majiji watumishi wenye hadhi ya kuwa na magari yatakuwa pungufu ya Tani 1 au cc2000. Wilaya za vijijini ndiko watatumia kruza mkonga.

4. Nitapitia ilani za kuanzia Nyerere Hadi nitakayemrithi. Yao ndiyo nitafanyia kazi.

5. Nitakuwa na mademu Kila mkoa. Baada ya ziara lazima nioshe rungu.
 
1. Utawala bora kulenga zaidi watu kupata uongozi kwa sababu ya uwezo wao na pia usimamizi makini wa rasilimali za umma (hati chafu chafu za CAG kuzipunguza zaidi ya 70%), kufuta matumizi ya umma yasiyo na msingi
2. Ningefanya Internet kuwa ya gharama nafuu sana na kupatikana kwa urahisi popote mtu alipo nchini sababu kuna shughuli nyingi tu za kiuchumi zinachochewa na Internet
3. Ningefanya huduma ya umeme kuwa nafuu na ya uhakika sababu uzalishaji mwingi unategemea umeme
4. Ningeondoa vikwazo kwa huduma za malipo za online na kujiimarisha mimi tu kama serikali kucontrol money laundering, kwa mfano nchi kama hii kukosa PayPal au kushindwa kumonetize media kama tiktok ni ukiritimba usio na msingi
5. Ningeongeza kiwango cha wanaotuma hela nchini kutoka nje ya TZ na kupunguza vikwazo vya kijinga hela ya kutoka nje inapotaka kutolewa
6. Ningeweka nguvu ya ziada kwenye kilimo kuwa cha kisiasa na kutengeza opportunity za kuwafaidisha wakulima na wafanyabiashara kwa level zao
7. Ningepunguza kiwango cha kodi, kodi kuwa mara mbili au zaidi ya bidhaa unapoingiza ndani ya nchi ni ujinga wa hali ya juu na haufadishi wananchi zaidi zaidi watu wanakua masikini tu
8. Ningeruhusu uagizwaji wa kutoka nje wa sukari na cement
9. Ningekomesha utumiaji wa watu wa sekta ya burudani kwenye shughuli za kisiasa (kuna tofauti ya shughuli za kiserikali na kisiasa) timu za mpira, waigizaji, wanamuziki, comedians..... etc
10. Ningefuta KKK kuwa kigezo cha ubunge... bali ningeweka kigezo cha elimu na kigezo cha mali anazotakiwa kuwa nazo mgombea
 
Ningefanya mengi tu hasa aliyokuwa anafanya the late JPM kwenye nyanja zote hasa kukomesha ufisadi, udokozi na wizi mdogo mdogo. Ningefungua mashamba makubwa kila mkoa ya nafaka na miwa kisha tatafuta wezi na vibaka wote mtaani kwa kutumia intelligence makini na kuwabaini wale wote wanaofanya ufisadi na kuhujumu nchi kisha tawapeleka kwenye hayo mashamba ya miwa wakalime huko kwa muda fulani kulingana na adhabu yake hapo takuwa nimemaliza tatizo la sukari na njaa. Kwa kweli nitahakikisha raia wanalala mlango wazi bila hofu ya kuibiwa.

Kuhusu elimu ningeipa kipaumbele elimu ya ufundi na tehama na ningeanzia ngazi ya primary. Ningehakikisha chakula mashuleni kinapatikana maana ningeanzisha shule za kilimo za kisasa na huko wanafunzi ningewawezesha kulima kwa kutumia nyenzo na technologia za kisasa ili kupandisha uzalishaji nakupeleka hicho chakula mashuleni kwa gharama nafuu ambaye kila mzazi angeweza kulipia bila kusahau wafungwa pia wangezalisha chakula Chao na cha mashuleni.
 
1.Nafanya Mapinduzi makubwa ya kilimo for export purpose.
2.Nakata Matumizi ya hovyo serikalini kwa asilimia 80.
3.Naunda baraza dogo la mawaziri,
4.Napunguza idadi ya wabunge ifikie angalau 100.
5.Zanzibar naifanya kuwa Mkoa siyo nchi.
6.Nitajenga nchi kwa kushirikiana na Wapinzani
Nice
 
1. Utawala bora kulenga zaidi watu kupata uongozi kwa sababu ya uwezo wao na pia usimamizi makini wa rasilimali za umma (hati chafu chafu za CAG kuzipunguza zaidi ya 70%), kufuta matumizi ya umma yasiyo na msingi
2. Ningefanya Internet kuwa ya gharama nafuu sana na kupatikana kwa urahisi popote mtu alipo nchini sababu kuna shughuli nyingi tu za kiuchumi zinachochewa na Internet
3. Ningefanya huduma ya umeme kuwa nafuu na ya uhakika sababu uzalishaji mwingi unategemea umeme
4. Ningeondoa vikwazo kwa huduma za malipo za online na kujiimarisha mimi tu kama serikali kucontrol money laundering, kwa mfano nchi kama hii kukosa PayPal au kushindwa kumonetize media kama tiktok ni ukiritimba usio na msingi
5. Ningeongeza kiwango cha wanaotuma hela nchini kutoka nje ya TZ na kupunguza vikwazo vya kijinga hela ya kutoka nje inapotaka kutolewa
6. Ningeweka nguvu ya ziada kwenye kilimo kuwa cha kisiasa na kutengeza opportunity za kuwafaidisha wakulima na wafanyabiashara kwa level zao
7. Ningepunguza kiwango cha kodi, kodi kuwa mara mbili au zaidi ya bidhaa unapoingiza ndani ya nchi ni ujinga wa hali ya juu na haufadishi wananchi zaidi zaidi watu wanakua masikini tu
8. Ningeruhusu uagizwaji wa kutoka nje wa sukari na cement
9. Ningekomesha utumiaji wa watu wa sekta ya burudani kwenye shughuli za kisiasa (kuna tofauti ya shughuli za kiserikali na kisiasa) timu za mpira, waigizaji, wanamuziki, comedians..... etc
10. Ningefuta KKK kuwa kigezo cha ubunge... bali ningeweka kigezo cha elimu na kigezo cha mali anazotakiwa kuwa nazo mgombea
HONGERA MNO MKUU
 
Miaka kumi ni miaka mingi na pia ni miaka michache kulingana na masuala utakayo ya zungumzia.

So far namba moja(1) nitaanza na KATIBA.

Ni mchakato ambao hautaenda kwa pupa. ndani ya hiyo miaka utakuwa umefanikiwa na mambo yamekaa sawa.

Hapa katiba itaweza tatua changamoto nyingi sana tofauti na awali.
Nakuhalikishia hautamaliza hata miaka 5 kama ukigusa katiba🤣🤣
 
Kuondoa kero ni ngumu, cha msingi ni kutengeneza ajira watu wapate pesa wajiondolee kero zao wenyewe.
 
1. Kuifanya Simba kuwa team ya netball;
2. Kuondoa boda boda kama chombo cha public transport;
3. kuboresha mfumo wa elimu kwa vitendo kuanzia shule ya vidudu mpaka chuo kikuu;
4. Kujenga viwanja vingi vya michezo tofauti tofauti kila kata ili watu wasifuge vitambi na kupiga punyeto kifalafala;
5 Nigejengea uwezo wadada na wamama kuacha kupiga mizinga
Iyo ajenda na 6 ukija nayo kwenye kampeni nakuakikishia hautapata kura hata moja ya mwanamke. Hao watu tayari akili zishalemaa wanaona kupewa hela na kuongwa na mwanaume ni haki yao.
 
Back
Top Bottom