Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ww jamaa unapayuka tu humu ndaniAnaye takiwa kuacha mihemko ni ww na huyo kapuku mwenzio mleta mada mnao zusha mambo bila udhibitisho.
Ukitaka kuleta jambo leteni na ushahidi na udhibitisho wa kitaalamu na sio ukisha shiba makande una kuja kuandika uharo wa kuharibu brand za watu.
Je kuna ndugu yako alisha kufa au kuumwa na madakitari wakakwambia kuwa chanzo chake ni bidhaa ya azam?
Ww kama hutaki kutumia bidhaa za Azam acha kwa binafisi yako na sio kuja humu kuchafua brand za watu.
Cause ya cancer ni unknown zingine ni assumptions tu.
Leta equation apa tuthibitishe cancer inatokeaje.
Lakini vitamin c ambayo ni ascorbic acid na benzene vinatengenezwa cancer endapo kinywaji kutakua exposed kwenye uv light Kwa muda mrefu. Vipi kama hujaweka juani?
Pia Asante Kwa kutufumbua macho[emoji123][emoji123][emoji123]
mkuu ni google kuhusu nini wakati uzi tayar umeshaeleza mengi na mim ninauunga mkono kwa asilimia 100Tumia muda nenda google
Nadhani Tanzania twaongoza kurundika vinywaji juani,Mbona hivyo vinywaji vinakaa sana juan huku vinapouzwa?
Si bure kuna shida mahali huenda nati zimelegea kitamboMara ya mwisho kunywa maji ya Uhai ni zaidi ya miaka 8 iliyopita. Mara ya mwisho nilivyokunywa hayo maji nilikuwa natembea naharisha harisha tu barabarani kama kwa siku 3 hivi. Nikasema sigusi haya maji tena.
Utajiri unaotokana na kulisha watu sumu.Mtu ana utAjiri wa trillions huko wakati wewe hata milioni mbili cash huna...
Hayo maji ya viwandani si ndio unajimaliza kabisa!?Nashukulu kwa taarifa, ndio maana mimi nimeamua kuchagua maisha hayaView attachment 2505709
🤣🤣🤣Mkuu Azam ungeachana naye maana hutaeleweka... halafu hunA utakachopata. Mtu ana utAjiri wa trillions huko wakati wewe hata milioni mbili cash huna... Unakuja kuleta porojo.....kumhusu.. umekula lakini..
Hiyo division uliitendea haki ☺️Azam ana utajiri unaotokana na kulisha watu sumu.
Ni swala ambalo TBS wanatakiwa watulinde haswa
Hawatumii matunda halisiHawawezi.
Jana Azam wamepost video wakionesha kuwa wanatumia maembe halisi, wakati wakulima wanalia maembe hanawaozea
Huyu jamaa anaongea ukweli awamu moja alikosea kuhusu Azam energy na kweli yakatokea mabadiliko, je nani anafanya uhuni huko kwenye viwanda vya Azam? Hii jeuri wanaipata wapi?Nlishawahi kusoma na kuzungumzia kuhusuana na maziwa ya Azam. Watu wakaja leta ushabiki sana na ushabiki wa kipumbavu tu wa kidini n.k wanaokufa au kuathirika ni hawa hawa maskini. Matajiri hawanunui bidhaa poor kama za Azam.
Ukiangalia juice za maembe za Azam unaweza kuta zipo kama aina mbili moja rangi inakuwa inaenda kwenye weusi nyingine ina mng'ao but pia si pure maembe.
Msikilizeni zaidi jamaa akielezea upande wa Juice za Embe. Mimi kwa sasa natumia Juice ya Ukwaju angalau najua hii hawezi chakachua sana.
Tuambiane tu ukweli... Tusioneane haya kwa misingi ya huyu ni mwenzetu. Products nyingi za Azam ni very poor. Hata hizi Energy drinks za Azam na Mo si za viwango. Zinaharibu sana vijana kwa nguvu za kiume. Hasa boda boda.
View attachment 2505658
Ahsante.Hiyo division uliitendea haki [emoji3526]
Utakuja kusanuka tayari ugonjwa ushakuwa sugu,,shauri yako.Mabishano hewa ya nini? Si utafiti ufanyike katika watoto wanaokunywa hizo juice wangapi walipata cancer, au katika watoto wanaokua diagnosed na leukemia wangapi walikuwa wanatumia hizo products za azam.. BTW kwa upande wangu huwa sinywi juice aina yoyote nje ya za azam! Na niko nadunda tu mimi na familia yangu zaidi ya miaka 13, sijaona bado kiashiria chochote cha hatari
Ungemshukuru tu hata kwa taarifa,unaongea kama huna ndugu wanatumia baadhi ya bidhaa za azamMkuu Azam ungeachana naye maana hutaeleweka... halafu hunA utakachopata. Mtu ana utAjiri wa trillions huko wakati wewe hata milioni mbili cash huna... Unakuja kuleta porojo.....kumhusu.. umekula lakini..