Tuseme ukweli kuhusiana na Bidhaa za Azam. Kuna mengi tunayanyamazia…

Uthibitisho huo hapo
 
Tangia baresa ajiunge na genge la waharifu kina rostam na gsm basi nikajua tu wazanzibar wametupania kutumaliza wabara
Hivi ni lini Rostam na GSM wamezaliwa Zanzibar?

Roho nyeusi ina shida sana
 
Ukweli kuna wakati niliwahi kutumia maziwa ya AZAM hayakunipenda hata kidogo.

Kimsingi AZAM napenda bidhaa zake zitokanazo na mazao ya nafaka. Products zinginezo tumieni nyie ambao mnaweza kuhimili zahama za maudhi madogo madogo
 
sasa wewe kama ualo sema la kweli nenda mahakamani hili ukakutane na wakemia wenzio hapa mbona unapoteza muda wako bahati yako umasikini ungekuwa tajiri washakuwaisha mahakamani kwa kuwachafulia kazi yao lakini wanakuuza tu wakikushitaki utalipa nn?
 
Mkuu Azam ungeachana naye maana hutaeleweka... halafu hunA utakachopata. Mtu ana utAjiri wa trillions huko wakati wewe hata milioni mbili cash huna... Unakuja kuleta porojo.....kumhusu.. umekula lakini..
hehehe huo msumali wa nchi sitta umetua kichwani mwake anasikilizia maumivu
 
wewe mjanja
 
Subiri matokea utayaona soon as possible

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 


Nyie mnaona madhara kwenye vinywaji ambavyo ni watu wachache wanaovitumia, vipi zile dawa wanazoziita virutubisho (fortifications) zinazowekwa kwenye Sembe, Ngano na mafuta ya kula, vitu ambavyo kila Mtz hutumia, je hizo dawa ni virutubisho kweli na ni utafiti gani umefanyika na umefanywa na nani??, je tangu dawa hizo zianze kuwekwa kwenye hivyo vyakula ni kwa namna na kiwango gani afya za Watz zimeimarika??

Sijui kama kuna chombo chochote kinachohusika (TBS?) KInaweza kujitokeza kujibu hayo maswali.

"Tunajinunulia sumu bila kujua"
 
Ukweli kuna wakati niliwahi kutumia maziwa ya AZAM hayakunipenda hata kidogo.

Kimsingi AZAM napenda bidhaa zake zitokanazo na mazao ya nafaka. Products zinginezo tumieni nyie ambao mnaweza kuhimili zahama za maudhi madogo madogo
Hivi baresa anangombe kweli au

Asas tunajuwa wana ngombe wengi wa maziwa

Ova
 
Nanukuu "8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,
Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
9 Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako,
Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu
".
Hile neno ndo umelifaham sasa eeeeeh .....leta tena shobo nakuchapa tu mi sicheck na hasara kama nyie.
 
Hata ugali wa dona nasikia unaleta kansa, sababu ya aflatoxin inakua juu sana, kuliko sembe😂,
Sidhani hata maji kama yako salama, due to pollution..
 
We nae acha kiherehere brand brand ya nyoko ,acha kuwa chawa utakufa miguu juu, kwa iyo unataja mtu atangaze kisa cha kifo ni azam elimika na usome uelewe kichwa tope ww

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Usinipayukie mm huo umasikini wako haujasababishwa na mm bali umesababishwa na ujinga wako wa kutegemea udangaji kuishi mjini.

Leta udhibitisho wa kitaalamu kutoka kwenye vyombo vya kitaalamu vyenye dhamana ndani ya nchi ili kudhibitisha hayo madai yenu ya kipumbavu.

Bidhaa za Azam zinatumika kwenye nchi zote za Afrika mashariki na kati unataka kuniambia serikali zote hizo zisione madhara ya hizo bidhaa za Azam ila hayo madhara uyaone ww malaya wa bei rahisi kutoka sinza unaye subiri uliwe kwa sh 2000 ndo upate kula yako ya siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…