Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Mbeya hata bila Tume Huru , Tulia hawezi kutoboa, Wanyakyusa, Wasafwa, Wakinga na wamalila hatuipendi CCM.
Mbeya hata bila Tume Huru , Tulia hawezi kutoboa, Wanyakyusa, Wasafwa, Wakinga na wamalila hatuipendi CCM.
Kweli hajatoboa ila ameshonaDr Tulia hatoboi Mbeya Mjini.
Watanzania bhana 😂😂😂 bc tukubal kuwa Sugu ameshinda lkn hatutamuona bungeniTulia hajashida ila ametangazwa mshindi.
Sugu ndio mshindi halali.
Hii mkuu inapatikana kitabu gani?Naliwaambia waliojivuna, msijivune, na wasio haki msiinue pembe zenu juu, Wala msiende kwa Shingo ya Kiburi. Maana sipo Mashariki wala Magharibi
Guru Master 💚💛💚💛💚
Hii mkuu inapatikana kitabu gani?
Au sio..Dr Tulia hatoboi Mbeya Mjini.
Mbeya hata bila Tume Huru , Tulia hawezi kutoboa, Wanyakyusa, Wasafwa, Wakinga na wamalila hatuipendi CCM.
Leo ndio nyie mnaolia mmeibiwa wakati mlisema mnashinda bila tume huru
Yaani mpaka muda huu, bado ninatetemeka kwa kilichompata Sugu,nimeogopa muno, maana najiuliza swali kama ningekuwa mimi ingekuwaje!Vipi..... Bado una maoni haya haya?
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu binti ajiandalie dawa za maumivu mapeema kabisa mbele ya rais wa Mbeya