Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Kuna Majimbo FISIEMU wakileta WIZI wao basi watasababisha MAAFA!! Mbeya , Kanda Maalum(TARIME) ,Arusha ,Hai hayo majimbo sio ya kuwaletea Mchezo wapiga kura wa huko!!Umenena ukweli kabisa, sioni namna Dr. Tulia atatoboa hapa Mbeya, yaani sioni kabisa labda wakimbie na masanduku kama Kinondoni.