IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,226
- 1,919
Why banning the idiots???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu alikua anabebwa na siasa za ukabila lakini kiukweli hamna kitu kichwani na hakuna alichowafanyia wanambeya. Kikubwa alichofanya ni kujenga hoteli na nyumba yake ya kuishi.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli.
Dr Tulia ni msomi, energetic,determined,focused na mwenye uwezo wa kuleta matokeo chanya katika Jiji la Mbeya. Hili halina ubishi. Wanambeya hawatakuwa tayari kufanya makosa...
Ndo sababu yenu hii sasa hivi. Mkishinda, mnakubalika, mkishindwa hakuna uchuguzi huru na haki. Sasa hivi mnapigwa hata Tume iwe nyumbani kwa mbowe kudaadeki.Unavyoongea utadhini tuna uchaguzi ulio huru na wa haki!!
Siasa za ukabila zimepitwa na wakati. Subirini muone mzikiHivi Wasafwa wamepungua Mbeya mjini?
Kama sivyo, mshauri Tulia atulie na kusahau ubunge Jimbo la Mbeya mjini (jiji).
Mkuu hivi bado una imani juu ya usomi kupitia umiliki wa shahada za uzamili na uzamivu. Usomi wa kariri za kimadesa ambao umezajana ktk teuzi za awamu ya tano.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Kabla hujaweka nadhiri, tulia na kufikiri kwa makini, ili usije kujutia huko mbele ya safariHili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli.
Dr Tulia ni msomi, energetic,determined,focused na mwenye uwezo wa kuleta matokeo chanya katika Jiji la Mbeya. Hili halina ubishi. Wanambeya hawatakuwa tayari kufanya makosa.
Ikitokea Dr. Tulia akashindwa mimi nipigwe Ban milele humu JF lakini pia nitaamua kutokula kwa muda wa mwezi mzima nikifunga kuwalilia wana Mbeya kwa kuamua kuangamiza Jiji lao.
Umenena ukweli kabisa, sioni namna Dr. Tulia atatoboa hapa Mbeya, yaani sioni kabisa labda wakimbie na masanduku kama Kinondoni.Dr TULIA hatoboi MBEYA MJINI.
Hata hapo Uyole njia panda hadi uyole ya kati alafu nenda hadi Saye kwa Mbilinyi then anzia Soweto/Mwanjelwa sioni namna Dr. Tulia atatoboa kwa wale mabaharia. Hawamuelewi kabisa na vile si muongeaji mzuri atapata tabu sana kwa Mr Sugu wakati wa kampeniWewe upo iromba huko alafu unaongelea habari za mwanjelwa?
Daaaah, BetinaLabda sema unywe sumu ndiyo tutaamini kuwa una uchungu na huyo Betina
Kama wewe ni mhenga nadhani unamkubuka
Twende na Sugu moto chini!Hata hapo Uyole njia panda hadi uyole ya kati alafu nenda hadi Saye kwa Mbilinyi then anzia Soweto/Mwanjelwa sioni namna Dr. Tulia atatoboa kwa wale mabaharia. Hawamuelewi kabisa na vile si muongeaji mzuri atapata tabu sana kwa Mr Sugu wakati wa kampeni
A
Sisi mbeya hatuwezi mchagua flat screen
Hivi Urais wa Magufuli na ubunge kwa Tulia kuna mahusiano gani? Naona kila mgombea wa ubunge CCM kila akijinadi au kunadiwa anatumia visababu visivyo husiana na ubunge Bali Urais wa Magufuli.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
It's hard to tell from the surface!hivi daktari Tulia ni mwanaume au mwanamke? samahan kwa kutoka nje ya mada.