Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atashinda kwa usimamizi wa jeshi la PolisiHili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli.
Dr Tulia ni msomi, energetic,determined,focused na mwenye uwezo wa kuleta matokeo chanya katika Jiji la Mbeya. Hili halina ubishi. Wanambeya hawatakuwa tayari kufanya makosa.
Ikitokea Dr. Tulia akashindwa mimi nipigwe Ban milele humu JF lakini pia nitaamua kutokula kwa muda wa mwezi mzima nikifunga kuwalilia wana Mbeya kwa kuamua kuangamiza Jiji lao.
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Kwa hiyo Mbilinyi ana Chura[emoji23][emoji23][emoji23]
Tume ya uchaguzi si ni ile ile iliyotangaza Sugu kuwa alishinda?Atashinda sababu hamna tume huru.
Watamtangaza kilazima.Kama itakavyokuwa majimbo mengine.
Mugabe alikuwa na digirii tisa na alikuwa rais mbovu Afrika, siasa haiendi na viwango vya usomi ni uwezo wa kufikiri na kupanga, swali language kwako, Je, wewe unamuelewa Mwakyembe kwenye siasa?Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Utamfanya alikimbie jukwaa
Wazazi wako wao hai kweli? Walikulea hivi?
Hahaaa. Hata mi nilijua labda anataka kupigwa fimbo, kupigwa bakoraaa, kupigwa mititoa hiyo ya kula weka tukumege tako tu inatosha sana
Wewe tu ila sisi wengine tunaipenda. Tuna taka barabara hii kama shamba la viazi kuelekea songwe iwe kama town zingine. Kutoka nanenane jam tupu mbunge ana rap tu akwendeeee, bora frat sreen kuliko hii analog ya chogoMbeya hata bila tume huru , Tulia hawezi kutoboa...wanyakyusa ,wasafwa, wakinga na wamalila hatuipendi ccm
Hehehehehehe Energetic. Dah kweli hakuna rangi tutaacha onaenergetic
😂😂😂Hivi Hana chura kweliA
Sisi mbeya hatuwezi mchagua flat screen
It’s too obvious... Liwake jua, inyeshe mvua, hakuna chaguo la Magu ambalo hlitapita.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...
Nikumbushe October.Hili jambo lipo wazi sana. Nadhani hata Joseph Mbilinyi mwenyewe ameanza kugundua. Sidhani kama atakuwa so naive not to realise that fact. Mbeya Mjini wamejifunza mengi sana katika kipindi cha miaka 5 ya Dkt. Magufuli...