[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukuta..Mkuu nenda kacheki hata kati yao kwani Tyson kama mechi alishinda kwa point maishani mwake hazifiki 10, lets say hazifiki 8, wakati Mayweather karibu nusu ya ushindi wake ni kwa point, japo nakubali uwezo wake lakin kumpiga kibaba Tyson ingekuwa ni kazi kama vile chadema kufanya UKUTA kwa sasa
Kweli aisee😀Kijamaa kinapenda ubishani usio na tija
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukuta..
Ah ah ah...ukuta km mkate kwnye chai
Ah ah ah...waambie mkuuMike iron tyson Msimfananishe na watu wa hovyo hovyo jamani
Tyson zake zilikua k.o kama anacheza mieleka
akiwa na miaka 19 ashakua bingwa wa dunia wa uzito wa juu ukichelewa round ya kwanza unaweza ukakuta watu wanaondoka huku wakicheka
kengele ikigongwa yeye ndio wa kwanza katikati
tyson kiboko
Duh! Amir khan tena...acha kumfananisha tyson na vitu vya kijinga...unafananisha tambi na minyoo??? Mabondia wa middle weight hawezi fananishwa na heavy weight...halafu huyo amir khan hana uvumilivu rahisi sana kupigwa knock out!!! Middle weight mkali baada ya floyd ni yule mmexico anaitwa saul/canelo alvarez
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naanza kuamin huu uzi n wa watoto,Umesoma lakini nilicho kiandika??????
Kwani sijazungumzia kuwa wanacheza uzito tofauti??
Mimi nimeweka assumpption kwamba ingetokea wakawekwa pamoja , tyson angekaa tu kama vile big show alivyo kallishwa na floyd
Ah ah ah ... Nlmaanisha umoja wa kuzkana tahiti[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Angalia usilete uchochezi
Ile ya makonda na francis cheka lini mkuu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naanza kuamin huu uzi n wa watoto,
Hadi mechi za entertainment za kupangwa za kna big show..
Aya ngoja nkutajie mabondia wengne wakali,kna wayne rooney alimpga wade barret na stephen ammel muigzaj wa arrows alpgana tag team match akashnda...kna rooney fasta tu wangempga may runner k.o
Duuuuuhh watu wanatokwa povu [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Alaf sio kila unaye muona akichangia mada ukamuona yupo sawa na wewe, next time uwe na adabu , matako ya mama yako
Kwa kifup ngumi zake ni "Amazing" au vp mkuu?Floyd ana ngumi fulani hivi za kushtukiza, alaf ana lenga pale pale mpaka raha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ile ya makonda na francis cheka lini mkuu?
Hajui kusoma kwanzaMy weather ni noma sana kuanzia akili mpaka ulingoni
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124][emoji125][emoji125][emoji125][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji142][emoji87][emoji85][emoji86][emoji56][emoji42]Nauza projector kwa 800000tshs mpya haijatumika.
Ina weza kutumia flash. Memory card, hdmi,
Ina speaker apoapo
Pia inaweza kutumia earphones.
Inaweza kuunganishwa na simu kwa wifi kudispaly content za simu.
Inaweza kuunganishwa kwa redio na tv
Kwa taarifa zaidi na picha za projector anaye vutiwa ani txt Facebook.
Nipo dar Es salaam.
Lennox Lewis ndo mtemi wao. Tyson alimkimbia Lennox Lewis kiasi cha kumpa mkanda bila pambano
Tehteh😀,uzi umegeuka ghafla na kuwa zecomedy!😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bado mkuu..
Mpka meiWeza' akshamchapa joni sina
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23]Eeee kama Kanumba alivyoondoka na bongo movie zake
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124][emoji125][emoji125][emoji125][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji142][emoji87][emoji85][emoji86][emoji56][emoji42]