brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Ukitaka kumuona vizuri muangalie mapambano yake ya ujanani miaka hiyo, sasa hivi kasi yake imeshuka kwa 75%Ila ukiangalia mechi za fkoyd unaweza sinzia hata haziwi nzuri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kumuona vizuri muangalie mapambano yake ya ujanani miaka hiyo, sasa hivi kasi yake imeshuka kwa 75%Ila ukiangalia mechi za fkoyd unaweza sinzia hata haziwi nzuri mkuu
Tyson wa kawaida tu , angalia ngumi anazopigwa Tyson alaf muweke floyd alaf vuta picha kama zile ngumi zingempata floydMkuu hebu mtake radhi Tyson
Na huo ni uchochezi
Mi ujanani hata nilikuwa simjui, ila kwa ngumi alizo kuwa ana rusha anko Tyson sioni kama Mayweather ana ingia, plus Tyson alikuwa ana attack na bado anakuwa salama kwenye kujilindaUkitaka kumuona vizuri muangalie mapambano yake ya ujanani miaka hiyo, sasa hivi kasi yake imeshuka kwa 75%
Basi tenga muda uumtizame alaf ndo utamjua vizuri,Mi ujanani hata nilikuwa simjui, ika kwa ngumi alizo kuwa ana rusha anko Tyson sionu kama Mayweather ana ingia, plus Tyson alikuwa ana attack na bado anakuwa salama kwenye kujilinda
Okey tuseme ndio wana cheza mechi Tyson na floydTyson wa kawaida tu , angalia ngumi anazopigwa Tyson alaf muweke floyd alaf vuta picha kama zile ngumi zingempata floyd
Jibu utallopata ni kuwa floyd mpaka uupige uso wake ufanye kazi ya ziada
Na kwa kasi ya Tyson si rahisi kumkalisha floyd
We floyd ana ngumi nzito wewe, au unavyoona wanacheza uzito tofauti ukajua hata ngumi yake pia nyepesi, muulize pacquiao alivyovunjwa mkono akasingizia aliumia kabla ya pambano wakati ukitazama vizuri unaona kabisa aliumia kipindi wanapiganaOkey tuseme ndio wana cheza mechi Tyson na floyd
Floyd ni mzuri kwenye pound to pound, ana jua namna ya kuushusha mchezo na kuupooza ni technical winner, Tysoni katika ubora wake ana shambulia, ana mkono mzito sana , alikiwa hana tabia ya ku pooza mchezo round ya kwanza, na alikuwa ana ngumi nzito, wakati huo ukipigana na Tyson lazima KO ikuhusu, ilikuwa ukikaza sana round za mwisho ndo ana upoza mchezo.
Mayweather kwa ngumi zake asinge weza kumuumiza Tyson, ila Tyson alihitaji ngumi chache kumtoa ngeu Flyod, hivo kuna hatari Floyd aka pigwa kwa KO, ila kwa kuwa Floyd naye ana weza kuzuia akistahimili round ya kwanza hadi ya 6 tuseme, angeweza kumfrustrate Tyson na kumpiga kwa point(kitu ambacho kwa kipindi cha Tyson akiwa juu hakuna mwananume aliye weza kufanya)
*hapo je!!?
Mkuu nenda kacheki hata kati yao kwani Tyson kama mechi alishinda kwa point maishani mwake hazifiki 10, lets say hazifiki 8, wakati Mayweather karibu nusu ya ushindi wake ni kwa point, japo nakubali uwezo wake lakin kumpiga kibaba Tyson ingekuwa ni kazi kama vile chadema kufanya UKUTA kwa sasaWe floyd ana ngumi nzito wewe, au unavyoona wanacheza uzito tofauti ukajua hata ngumi yake pia nyepesi, muulize pacquiao alivyovunjwa mkono akasingizia aliumia kabla ya pambano wakati ukitazama vizuri unaona kabisa aliumia kipindi wanapigana
Hicho sio kigezo, mbona maidana ushindi wake mwingi ulikuwa wa KO,lakini alipigwa mara mbili na FloydMkuu nenda kacheki hata kati yao kwani Tyson kama mechi alishinda kwa point maishani mwake hazifiki 10, lets say hazifiki 8, wakati Mayweather karibu nusu ya ushindi wake ni kwa point, japo nakubali uwezo wake lakin kumpiga kibaba Tyson ingekuwa ni kazi kama vile chadema kufanya UKUTA kwa sasa
Kwan floyd alikuwa bingwa akiwa na miaka mingapi?? Si hiyo hiyo kumi na tisaMike iron tyson Msimfananishe na watu wa hovyo hovyo jamani
Tyson zake zilikua k.o kama anacheza mieleka
akiwa na miaka 19 ashakua bingwa wa dunia wa uzito wa juu ukichelewa round ya kwanza unaweza ukakuta watu wanaondoka huku wakicheka
kengele ikigongwa yeye ndio wa kwanza katikati
tyson kiboko
[emoji3] [emoji3]
Si wapo kina steve nyerere!!?
Tyson wa kipindi cha Lennox ni sawa na Beckam wa LA Galaxy, hata siku shangaa alivopigwa, tena kwa point. Mayweather kwa kweli haja nishawishi, he is good ila akimuona Tyson asithubutu hata kuongelea ngumiHicho sio kigezo, mbona maidana ushindi wake mwingi ulikuwa wa KO,lakini alipigwa mara mbili na Floyd
Wewe floyd hata sare hajawai kutoa zaidi ya kushinda tu
Alaf kitu kingine Tyson alikuwa ana kutana na vitoga tu, we angalia lenox lewis alivyomgalagaza vibaya
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]!
!
kibaka tu mbwa koko.
Mmmh ayaTyson wa kipindi cha Lennox ni sawa na Beckam wa LA Galaxy, hata siku shangaa alivopigwa, tena kwa point. Mayweather kwa kweli haja nishawishi, he is good ila akimuana Tyson asithubutu hata kuongelea ngumi
Ila namheshim Floyd Mkuu sijawahi ku underestimate mafanikio yake, kwa sababu ana deserveMmmh aya
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Rafiki yake na le baharia
tyson miaka kadhaa wewe acha kuota mchanaMimi nadhani hakuna Kama Tyson!
Huyo Evander alimpatia Tyson pale ambapo Tyson alishachoka!
Kama wakati Tyson alipokuwa kwenye ubora wake, huyo Evander asingefurukuta!!!