Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Dogo wakati mwingine unaongea point sana, CDM na ACT walifanya makosa makubwa sana kuingia kwenye uchaguzi huu pasipo kwanza kupatikana TUME HURU YA UCHAGUZI. Walipaswa kujifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mark my words: 2025 mambo yatakuwa hivi hivi kama yalivyo sasa!
 
Kabisa Mkuu, kushiriki chaguzi katika mazingira ya namna hii DHARAU KWA WANANCHI na kutupotezea muda wetu tu.
Mimi kamwe sitopiga kura yangu katika mazingira kama haya ya sasa.
 
Naona kidogo makamanda wanaelewa sasa. Labda sasa matusi kwetu yatapungua tujenge upya upinzani. Mlipaswa kujifunza kwa njia ngumu
 
Naona kidogo makamanda wanaelewa sasa. Labda sasa matusi kwetu yatapungua tujenge upya upinzani. Mlipaswa kujifunza kwa njia ngumu
Hahahaa.

Wachache wameanza kuelewa.

Ila kuna wengine bado aisee.

Wana vichwa vigumu sana.
 
Dogo wakati mwingine unaongea point sana, CDM na ACT walifanya makosa makubwa sana kuingia kwenye uchaguzi huu pasipo kwanza kupatikana TUME HURU YA UCHAGUZI. Walipaswa kujifunza kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hawa vingozi wa upnzani huwa wanata mashaka sana kama kweli wana nia ya dhati ya kutaka kuiondoa ccm.
 
Hivi huo unazi wenu unawatoa kabisa utu? Yaani katika ubinadamu wako hujaguswa kabisa na uhuni mkubwa uliofanyika jana na leo katika hicho unachoita uchaguzi, sijui ushindi, na upuuzi kama huo?

Sasa ni hivi, ndio mshindi atatangaza lakini dunia imeshuhudia uhuni wa kihistoria uliofanywa na dikteta ambaye licha ya kudhibiti upinzani kwa miaka mitano mfululizo bado amelazimika kutumia hujuma kupata ushindi.

Naomba uhifadhi sehemu maneno haya: kama mnadhani huyo Ngosha mwenzenu ametoboa kirahisi kama alivyoweza kuficha mauaji ya MKIRU na ya korona, kuna mshangao unawasubiri.

Lakini msivyo na aibu mtakuja tena hapa kusema dah lakini Lissu...mliyehindwa kumuua kwa risasi 40 hamuwezi kummaliza kwa sanduku la kura.

Feel free to mark these words.
 
Mbona unanishambulia?

Umesoma na kuelewa kweli nilichokiandika au umetumia tu hisia kunijibu?
 
Kasome zenji ni matunda gani yamepatikana kwa wapinzani kugomea uchaguzi.
Si zamani sana waligoma, na badala yake hal ndio imekuwa ngumu zaidi, watu wamebadilisha sheria n.k

Hakuna kugoma ni kushiriki ili kila mtu aone mapungufu yaliopo.
 
Ahahahaaaaaa

Uncle JuJu anawakumbusha tu.

Karibuni chai ya mchaichai ☕️
 
Hii kata funua ya CCM ni zaidi ya umafia. Wengine tuliwaonya humu mkaishia kututukana.

Maswali ya kujiuliza, ni kwa nini turn up ni ndogo this time. Maana ingekuwa hoja ya kuongeza kura, tungeshuhudia idadi ya wapiga kura ikiwa kubwa.

Ukiyaangalia matokeo haya yanaakisi kabisa zile nyomi za mikutano ya Lissu kwa numbers
 
Mkuu sidhani Kama utakuwa umemuelewa mtoa mada vizuri.
 
Je nchi zingine pia huwa zinafunga mitando ya kijamii wakati wa chaguzi?

Je ufungaji wa mitandoa utakuwa ni jambo la kudumu Tz?
 

Wapinzani tunaishi nao hapa nchini, lakini hawajawahi kuielewa nchi yetu. Kwenye hii nchi huwezi kushinda uchaguzi kwa kutegemea support ya middle class na upper class ambao ndio wana heavy presence kwenye social media platforms, claiming the “noisiest minority” title.

Mtaji mkubwa wa CCM ni watu wa maisha ya chini ambao ndio wengi zaidi. These people have little or no access to social media platforms. The opposition has failed to meaningfully penetrate and capture this silent majority!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…