Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Not by accident. It is by design (CCM's design). How do we get rid of this? That is the $1 mil question.
Miaka yote hii tokea 1995, zoezi zima la kupiga kura katika uchaguzi mkuu limekuwa ni zoezi la kutimiza wajibu tu, ili nasi tuonekane tuna demokrasia ya kuchagua viongozi wetu ilhali uwanja wa ushindani haupo sawa baina ya washiriki wa mpambano.
 
katika siku umeandika points ni leo,hata mm baada ya kupiga kura leo nilipata wazo kama hili,katika majadiliano na wana tukaona ni heri kibaki chama kimoja cha siasa kuliko haya maigizo yanaendelea kwenye huu uchaguzi
 
katika siku umeandika points ni leo,hata mm baada ya kupiga kura leo nilipata wazo kama hili,katika majadiliano na wana tukaona ni heri kibaki chama kimoja cha siasa kuliko haya maigizo yanaendelea kwenye huu uchaguzi
Sijaandika leo mbona 🤣🤣
 
Nilikuwa sijaona lini uliandika hii post yako. Kumbe ni Aug 2020! Wapenda mabadiliko wote wanatakiwa kusoma post yako na comments zote. CCM watandelea hivi hivi to the end (siku ambayo kila mmoja wetu amepangiwa kufa). Tumeona body language ya makamishina wa NEC siku Lissu anachukuwa fomu, Mahera akijibia CCM hoja na kuipigia kampeni, unfair disqualifications of wagombea wa upinzani (wengine wakitekwa na vyombo vya dola ili wasi-meet deadline ya kurudisha fomu) nk. What did/do we expect from such a higly lopsided exercise?

Vyombo vya habari, Msajili wa Vyama, NEC, TCRA, makampuni ya simu, TISS, polisi, JW wote wamefanya kazi ya CCM. TL anategemea nguvu ya umma. In 2-3 days' time tutajua kama kuna nguvu ya umma ama la! Going forward, wapenda mabadiliko wafikirie sana. Hata Mandela alijaribu njia za amani kuleta mabadiliko lakini haikuwezekana. Akabadilisha mbinu.
Hata 2010 walikataa wizi wa kura.

2015 napo walikataa wizi wa kura na wakatishia kwenda sijui kwenye mahakama ya wapi wapi huko.

Hawakwenda. Yalikuwa ni maneno matupu tu.

2020 hao tena, wanashiriki tena chaguzi kwa sheria zile zile, tume ile ile, wakishindana na CCM ile ile.

Kila la kheri.
 
Nyani Ngabu
Kama unavyojua wapinzani walifight sana ishu ya katiba mpya mwaka 2013/14

Rasimu ya Warioba ilipopatikana CCM walifanya uhuni mkubwa kuja na rasimu yao ya mfukoni, ukicheki rasimu ya Chenge ni kama katiba hii hii ya mwaka 1977 ila ina cosmetic changes za kupozapoza watu kama vile uwepo wa mgombea binafsi. Lakini madaraka ya Rais na teuzi zake za kuteua watu wa mihimili nguzo yako palepale

Wapinzani walitoka nje bungeni, bunge la katiba ili kulinda sanctity ya rasimu ya Warioba, kisha wakaunda UKAWA.

Then ukaingia utawala huu dhalimu, ukajiapiza kufuta upinzani, Watu walitekwa, kubambikiziwa kesi, kublackmail watu, kuumiza watu atika sources zao za kiuchumi, kuharibu chaguzi za marudio, kuharibu chaguzi za seerikali za mitaa. Na leo tunaona genge la TISS, NEC na CCM wote wameteam up kumdhulumu Mtanzania chaguo lake

Sasa ni vigumu kusema kwamba Wapinzani wasishiriki mpaka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ipatikane. CCM hawana aibu, wapinzani wakifanya hivyo itashirikiana na vyama mamluki kuupa uchaguzi haramu legitimacy!

Sasa swali la msingi ni kuwa, Wapinzani wafanyeje katika mazingira ya utawala katili kama huu?, Wasusie chaguzi? - Hiyo option CCM wanaipenda sana maana inawapa ushindi kwenye sahani

Watumie civil disobedience? - viongozi wao wataswekwa ndani mmoja mmoja ea makosa ya uchochezi ama walivyofanyiwa akina Lema, Sugu, Mbowe etc
Pia hawa watu wanaouua watu Zanzibar sababu ya power hawaoni tabu kuua hata Watanganyika watakaoandamana.

So unaona ugumu ambao upinzani unapitia.

Hata huu ujio wa Lissu, Lissu amekuwa a blessing kwa upinzani, ameuchomoa kutoka katika mdomo wa simba, ameupa uhai mpya sababu ya ujasiri wake, Intellect yake, Moral authority kutokana na yaliyomkuba and so on

Nimalizie kwa kusema, ni bora washiriki uchaguzi, na waonyeshe dunia na watanzania jinsi CCM isivyo na aibu, hii huenda ikaprompt wananchi ufanya jambo, sijui watafanya nini but I believe people can do something
 
Bora wewe umesema. Wengine hata kuandika siku hizi tunaona uvivu.
Mleta uzi ni apologist.
 
Hata 2010 walikataa wizi wa kura.

2015 napo walikataa wizi wa kura na wakatishia kwenda sijui kwenye mahakama ya wapi wapi huko.

Hawakwenda. Yalikuwa ni maneno matupu tu.

2020 hao tena, wanashiriki tena chaguzi kwa sheria zile zile, tume ile ile, wakishindana na CCM ile ile.

Kila la kheri.
Shida ipo hapa,Wakishapatikana Wabunge kadhaaa,zikishapatikana kura kadhaa za Rais,mambo yote yanasahaurika,inakuwa wale Wabunge walioshinda wanakula tu posho na vyama vinaendelea kufurahia ruzuku.Ikifika 2025 ndo tunastuka tena kuwa Kuna kutafuta ruzuku nyingine.
Ili tuingie kwenye katiba mpya na tume mpya ya uchaguzi inabidi Magufuli ashinde kwa Asilimia zaidi ya 90 Wabunge wa Upinzani asitangazwe hata mmoja.Hapo ndio tutapata akili ya kudai katiba mpya na tume huru.
 
Mimi bado napendelea kuona wapinzani wakisusia kabisa hizi chaguzi za maigizo.

Huwezi kushiriki chaguzi za kimaigizo halafu mshindi akishatangazwa unaanza kulialia kuwa tume ya uchaguzi si huru.

Kwa miaka 30 nchi hii ilikuwa chini ya CCM. Enzi za chama kimoja. Kila kitu kilianzia na kuishia kwenye CCM.

Tume survive muda wote huo na bado tupo.

Hivyo, hoja ya kwamba wapinzani wakisusia chaguzi basi CCM watapata ushindi kwenye sahani na hatimaye kufanya watakavyo, mimi naikataa.

Naikataa kwa sababu tayari tushapitia huko na tukavuka na bado tupo.

CCM wakiwa wao tu bungeni na serikalini watafanya nini jipya na lililo tofauti na enzi za chama kimoja? Jibu ni hakuna!

Kwa hiyo, kuendelea kushiriki chaguzi za maigizo ambazo unajua kabisa huwezi kutangazwa mshindi hata iweje, ni kuwapa uhalali CCM ambao hawaustahili.

Naamini kabisa wapinzani wakiamua kususia chaguzi zote mpaka tupate katiba na tume mpya huru ya uchaguzi, itasaidia kuangazia [highlight] upumbavu uliopo hivi sasa!

Hivi wewe unaweza kwenda kucheza mechi na timu ambayo itachagua nani awe refa, nani awe linesmen, nani awe kamisaa wa mechi, na washabiki ambao wamewekwa uwanjani na hiyo timu pinzani?

Ukikubali kucheza hiyo mechi utakuwa mwendawazimu.
 
Nilitaka kufanya 'editing' ili nichukue kile ninachokiona muhimu, nimeshindwa.
Kila mstari umesimama wenyewe na kubeba mantiki yake. 'Big ups'
 
Vyama vya upinzani vyenye nguvu vinaweza kususia uchaguzi bila shaka, hebu jaribu kushauri tunawezaje kuzuia mabranch ya ccm yasusie uchaguzi? Kama mtz mpenda haki tupe mbinu za kuzuia vyama pandikizi vya ccm visishiriki uchaguzi?
 
Nilitaka kufanya 'editing' ili nichukue kile ninachokiona muhimu, nimeshindwa.
Kila mstari umesimama wenyewe na kubeba mantiki yake. 'Big ups'
Tayari kuna watu washaanza vilio vya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kujiuzulu!

Watanzania tuna matatizo sana!
 
Na
Vyama vya upinzani vyenye nguvu vinaweza kususia uchaguzi bila shaka, hebu jaribu kushauri tunawezaje kuzuia mabranch ya ccm yasusie uchaguzi? Kama mtz mpenda haki tupe mbinu za kuzuia vyama pandikizi vya ccm visishiriki uchaguzi?
Vyama vikubwa vya kisiasa vikisusia lazima kutakuwepo na impact.

Chama cha Hashimu Rungwe kikiamua kushiriki, sidhani kama watu wenye akili zao timamu watakitilia maanani.
 
It's never gonna happen, tumbo tumbo tumbo, kila mtu anaganga njaa, wengi wanautaka ubunge ili iwe rahisi, kupata access na kuongea na mawaziri katika ku facilitate mambo yao binafsi, mikopo mikubwa, posho, kiinua mgongo lumpsum 250M na huwa hakuna kutumbuliwa mpaka miaka mi5.

Seriously, none of them genuinely care about the welfare of the rest of the 55mil Tanzanians.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Vyama vikubwa vya kisiasa vikisusia lazima kutakuwepo na impact.

Chama cha Hashimu Rungwe kikiamua kushiriki, sidhani kama watu wenye akili zao timamu watakitilia maanani.
Vyama vikubwa vya kisiasa vikisusia lazima kutakuwepo na impact.

Chama cha Hashimu Rungwe kikiamua kushiriki, sidhani kama watu wenye akili zao timamu watakitilia maanani.
Labda umesahau 2015 Zanzibar uchaguzi ulirudiwa, maalim/cuf alisusa, vyama pandikizi vya Msimu vikashiriki je kuna lolote liloishitua dunia?
 
Labda umesahau 2015 Zanzibar uchaguzi ulirudiwa, maalim/cuf alisusa, vyama pandikizi vya Msimu vikashiriki je kuna lolote liloishitua dunia?
Zanzibar ni kasehemu kadogo sana ka Tanzania.

Halafu siyo tu kususia bila ya malengo.

Ni lazima uwe na malengo.

Lengo la Maalim kususia lilikuwa ni nini?

Mimi lengo la kutaka kususia chaguzi zote ni upatikanaji wa mazingira bora ya uchaguzi; katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, nk.

Siyo unasusa tu halafu unaenda nyumbani kwako unanuna peke yako.

Unasusa halafu unaendeleza harakati za kutafuta unachokitaka.
 
It's never gonna happen, tumbo tumbo tumbo, kila mtu anaganga njaa, wengi wanautaka ubunge ili iwe rahisi, kupata access na kuongea na mawaziri katika ku facilitate mambo yao binafsi, mikopo mikubwa, posho, kiinua mgongo lumpsum 250M na huwa hakuna kutumbuliwa mpaka miaka mi5.

Seriously, none of them genuinely care about the welfare of the rest of the 55mil Tanzanians.

Everyday is Saturday............................... 😎
Oh well, basi kila siku yatakuwa ni yale yale tu.
 
Nyani Ngabu
Kama unavyojua wapinzani walifight sana ishu ya katiba mpya mwaka 2013/14

Rasimu ya Warioba ilipopatikana CCM walifanya uhuni mkubwa kuja na rasimu yao ya mfukoni, ukicheki rasimu ya Chenge ni kama katiba hii hii ya mwaka 1977 ila ina cosmetic changes za kupozapoza watu kama vile uwepo wa mgombea binafsi. Lakini madaraka ya Rais na teuzi zake za kuteua watu wa mihimili nguzo yako palepale

Wapinzani walitoka nje bungeni, bunge la katiba ili kulinda sanctity ya rasimu ya Warioba, kisha wakaunda UKAWA.

Then ukaingia utawala huu dhalimu, ukajiapiza kufuta upinzani, Watu walitekwa, kubambikiziwa kesi, kublackmail watu, kuumiza watu atika sources zao za kiuchumi, kuharibu chaguzi za marudio, kuharibu chaguzi za seerikali za mitaa. Na leo tunaona genge la TISS, NEC na CCM wote wameteam up kumdhulumu Mtanzania chaguo lake

Sasa ni vigumu kusema kwamba Wapinzani wasishiriki mpaka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ipatikane. CCM hawana aibu, wapinzani wakifanya hivyo irshirikiana na vyama mamluki kuupa uchaguzi haramu legitimacy!

Sasa swali la msingi ni kuwa, Wapinzani wafanyeje katika mazingira ya utawala katili kama huu?, Wasusie chaguzi? - Hiyo option CCM wanaipenda sana maana inawapa ushindi kwenye sahani

Watumie civil disobedience? - viongozi wao wataswekwa ndani mmoja mmoja ea makosa ya uchochezi ama walivyofanyiwa akina Lema, Sugu, Mbowe etc
Pia hawa watu wanaouua watu Zanzibar sababu ya power hawaoni tabu kuua hata Watanganyika watakaoandamana.

So unaona ugumu ambao upinzani unapitia.

Hata huu ujio wa Lissu, Lissu amekuwa a blessing kwa upinzani, ameuchomoa kutoka katika mdomo wa simba, ameupa uhai mpya sababu ya ujasiri wake, Intellect yake, Moral authority kutokana na yaliyomkuba and so on

Nimalizie kwa kusema, ni bora washiriki uchaguzi, na waonyeshe dunia na watanzania jinsi CCM isivyo na aibu, hii huenda ikaprompt wananchi ufanya jambo, sijui watafanya nini but I believe people can do something
Kila ulilosema ni sahihi 💯💯. Kushiriki uchaguzi is the best option.

Ukisusa kwamba unataka katiba mpya yatatokea ya serikali za mitaa na Uchaguzi wa marudio Zanzibar. CCM ni Joka 🐍 lisilo na aibu wala huruma.

As long as progress is made, keep moving!!
 
Back
Top Bottom