Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chezea ngoshaa team!Of course, Ngabu hawezi kuficha chuki yake kwa Lisu. Hilo linajulikana toka siku nyingi.
Lazima ashinde hutaamini dada etuAliekuwa na akili humu katika mashabiki wa chadema ni tindo pekeake!
Lkini nae kabebwa na upepo wq lisu yani anaamini Lisu ni kiboko na atashinda lazima
Najui inakuingia bila kupiga kelele,jikaze hakuna namna zama zemebadilikaHifadhi huu mkuki wako utakaokutesa maisha yako yote!
Huo ni ubwege tu wa ngoshaNdio kwanza chuma kinatafuna mahindi dumila kuonyesha yupo fiti mpaka meno!
Kabisa.Lissu naona amewashika sehemu mbaya sana magamba
Nachokiona hapa jf kuna watu wanajua tu kuandika mavitu mareeeeeeefu ila ukiangalia mawazo ni yale yale, na utakuata pengine alishaandika tena liuzi lireeeeeefu kuwananga chadema waache uanaharakati.Jaribu kuliona jambo moja, vyama makini vya upinzani kama Chadema, ACT na pengine NCCR vingeamua kutoshiriki lakini vibaraka wa CCM kama TLP, UDP nk vikaamua vinashiriki huoni kuwa dunia itatambua kuwa uchaguzi wa vyama vingi umefanyika?
Nini matokeo ya utendaji wa bunge litakalo fuatia? Hali itakuwa mbaya sana pengine kuliko Korea kaskazini. Njia INAYOBIDI kufuata ni ile aliyo shauri Lissu tuu, kutokubali wizi wa kura na kusema tunamwachia Mungu.
Nachokiona hapa jf kuna watu wanajua tu kuandika mavitu mareeeeeeefu ila ukiangalia mawazo ni yale yale, na utakuata pengine alishaandika tena liuzi lireeeeeefu kuwananga chadema waache uanaharakati.
Kitu cha kujiuliza kwe uzi wa jamaa ni kwamba
nani atakupa katiba mpya
Atakupa kwa namna gani
Ss watu wakianzisha harakati wanabezwa... wakiamua kupitia njia km hizi wanabezwa....
Sijui hawa waandishi wanadhani mambo yote watapewa km zawadi... kuna njia za kupita.... ikishindwa hii 21/25 kutakua na harakati za kutaka tume na katiba mpya.
Na hakunankumuachia mungu...
Jikaze iingie taratibu wacha kelele ivumilieAliekuwa na akili humu katika mashabiki wa chadema ni tindo pekeake!
Lkini nae kabebwa na upepo wq lisu yani anaamini Lisu ni kiboko na atashinda lazima
Hakuna nayempigia debe!
Tatizo lenu nyie makamanda ni mko short-sighted sana.
Hamuwezi kuona hoja zaidi ya Magufuli.
Magufuli kwa sasa anazitawala fikra zenu.
Anaishi vichwani mwenu bure...halipi kodi ya pango wala nini.
Mtu akikosoa mfumo uliomuweka Magufuli madarakani, na ambao ndo uliwaweka Kikwete na Mkapa pia, nyie mnamwona Magufuli tu.
Na kama unadhani tatizo ni Magufuli na siyo mfumo mzima, basi subiri 2025 uone.
Punguza mihemko we nyau wa lumumbaBro hakuna watu wajinga kama hawa chadema, wao huwa hawapambani na ccm bali wanapambana na raisi aliyeko madarakani na ndio maana kila siku hoja zao zile zile.
Ikifika 2025 watadahau yote ya magufuli watahamia ya raisi atayekuwepo. Na usishangae wakaanza tena kumsudu magufuli.
Kikwete alichukiwa kwelikweli alisema sana, na ikafikia kipindi wakasema wanatamani nchi iendeshwe na jeshi na wengine humu wakasema siku kikwete akitoka madarakani watafanya sherehe ya siku hiyo kila mwaka. Leo wanakumbuka hata moja??
Hawa ni kuwapuuza tu
Acha uzoba wewe! Unaijua Hai au unaisikia tuu? Usibebwe na ushabiki wa kitoto wakati watu wanajadili kwa mapanaLabda mikoani kwako ila hapa Hai kwa mwamba hata hawataki kumsikiliza achilia mbali kumpigia kura.
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Umesema sehemu ya ukweli, licha ya kuwa waoga binafsi pia huwa tunaangalia madhara ya muda mrefu mbele, ikiwa utavunjwa miguu kwa ajili ya siasa za kuunga mkono mwanasiasa utataabika na hatokusaidia, angalia walio pata vilema na kuuwawa Zanzibar walipata nini?!Kwa nini? Sisi ni waoga wa kupigwa virungu?
Haya sawa. Oktoba 28 2020 msindikizeni ikulu Rais Magufuli.Experience inaonyesha kuwa kususia uchaguzi haijawahi kuwa na better outcome kwa wapinzani.
Jakaya aliwapa option ya katiba mpya, yenye tume huru ya uchaguzi na madaraka ya raisi yaliyounguzwa na mfumo kedekede mizurimizuri wakalazimisha kuwa ni Lazima wapate serikali tatu ndo wataukubali mchakato, matokeo yake serikali tatu haipo na Rais alitekuja mdarakani anayependa udikteta akaona katiba ya sasa inamfaa zaidi kwa hulka yake ba matokeo yake akaharibu mchakato wa katiba mpya uliokuwa umebakisha kuitishwa kura ya maoni tu!
Historia ya wapinzani kususia chaguzi inaonyesha haijawahi kuwapa benefit mfano
1.Walisusia uchaguzi wa marudio ya ubunge Dar mwaka 1995, kulichotokea CCM ikatwaa majimbo yote isipokuwa la Lamwai
2. Walisusia uchaguzi wa Marudio Zanzibar, matokeo yake CCM wakafurahi kweli kwa hilo
3. Walisusia ushiriki wa uchaguzi wa serikalu za mitaa baada ya asilimia 97 ya wagombea wao kuenguliwa, sasa hivi CCM wana vijiji vyote na wala hawajifeel guilty kabisa
Mimi naona kuwa Wapambane kupitia uwabja huu mbovu huku wakiendelea kushinikiza uwekwe uwanja mzuri zaidi
mkuu upo sahii sana japo ni ukweli ambao wengi hawpendi kusikia ,hawa chadema wameanza ule mpango wa nyumba kwa nyumba kitambo sana na wako vizuri tatizo wanaccm wengi walisha relax wakijua kila mwaka ccm ushindi upo palepale this time mwafaaAisee wewe huijui Tanzania kabisa. Mie nakuambia sasa hivi Chadema iko imara sana mikoani kuliko ilivyokuwa awali pamoja na kuzuiwa kufanya siasa.
Ndio sababu ya hofu iliyonayo CCM kama chama.
Ukosoaji unaojenga wewe unauona kuwa ni zodoa?Nyani , kati siku akili zako zilipikurudia ni pamoja na post hii. Lakini nakuona kama msomi asiyependa nchi yake. Kasoro za ki muundo unaziona halafu lawama unawarushia wapinzani !!. Hii akili ya msomi wa aina gani ?!.
Kwamba wewe mamlaka zilizotakiwa kutoa haki kwa wananchi kujichagulia viongozi wao ni wapinzani ?!. Usomi huu mbona bure kabisa Ngabu ?!.
Nchi hii ni yetu sote. Tujiwekee utaratibu mzuri wa watu kuwaweka viongozi bora na wanaowataka. Si hii ya lazima utokane na chama cha ki communist cha Ccm !!. Usomi wako usaidie badala ya kuwazodoa wapinzani wanaopambana kupata haki hiyo [emoji120][emoji120]