Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Hivi ile signature yako ya MI AFRICA NDIVYO TULIVYO iliishia wapi..... mwaka huu mtatema nyongo....
 
Aliekuwa na akili humu katika mashabiki wa chadema ni tindo pekeake!

Lkini nae kabebwa na upepo wq lisu yani anaamini Lisu ni kiboko na atashinda lazima
 
Aliekuwa na akili humu katika mashabiki wa chadema ni tindo pekeake!

Lkini nae kabebwa na upepo wq lisu yani anaamini Lisu ni kiboko na atashinda lazima
Lazima ashinde hutaamini dada etu
 
Lissu naona amewashika sehemu mbaya sana magamba
Kabisa.
Ngosha ni mtu wa kutumia nguvu badala ya akili. Dawa ya kupambana na dikteta wa aina hii ni kutumia nguvu tu.
Ngosha ni sawa na iddi amini tu. Nyerere alimtoa iddi amini kwa nguvu; na sio vinginevyo.
 
Jaribu kuliona jambo moja, vyama makini vya upinzani kama Chadema, ACT na pengine NCCR vingeamua kutoshiriki lakini vibaraka wa CCM kama TLP, UDP nk vikaamua vinashiriki huoni kuwa dunia itatambua kuwa uchaguzi wa vyama vingi umefanyika?

Nini matokeo ya utendaji wa bunge litakalo fuatia? Hali itakuwa mbaya sana pengine kuliko Korea kaskazini. Njia INAYOBIDI kufuata ni ile aliyo shauri Lissu tuu, kutokubali wizi wa kura na kusema tunamwachia Mungu.
Nachokiona hapa jf kuna watu wanajua tu kuandika mavitu mareeeeeeefu ila ukiangalia mawazo ni yale yale, na utakuata pengine alishaandika tena liuzi lireeeeeefu kuwananga chadema waache uanaharakati.

Kitu cha kujiuliza kwe uzi wa jamaa ni kwamba
nani atakupa katiba mpya
Atakupa kwa namna gani

Ss watu wakianzisha harakati wanabezwa... wakiamua kupitia njia km hizi wanabezwa....

Sijui hawa waandishi wanadhani mambo yote watapewa km zawadi... kuna njia za kupita.... ikishindwa hii 21/25 kutakua na harakati za kutaka tume na katiba mpya.

Na hakunankumuachia mungu...
 
Nakuunga mkono kwa 100%
Nachokiona hapa jf kuna watu wanajua tu kuandika mavitu mareeeeeeefu ila ukiangalia mawazo ni yale yale, na utakuata pengine alishaandika tena liuzi lireeeeeefu kuwananga chadema waache uanaharakati.

Kitu cha kujiuliza kwe uzi wa jamaa ni kwamba
nani atakupa katiba mpya
Atakupa kwa namna gani

Ss watu wakianzisha harakati wanabezwa... wakiamua kupitia njia km hizi wanabezwa....

Sijui hawa waandishi wanadhani mambo yote watapewa km zawadi... kuna njia za kupita.... ikishindwa hii 21/25 kutakua na harakati za kutaka tume na katiba mpya.

Na hakunankumuachia mungu...
 
Aliekuwa na akili humu katika mashabiki wa chadema ni tindo pekeake!

Lkini nae kabebwa na upepo wq lisu yani anaamini Lisu ni kiboko na atashinda lazima
Jikaze iingie taratibu wacha kelele ivumilie
 
Bro hakuna watu wajinga kama hawa chadema, wao huwa hawapambani na ccm bali wanapambana na raisi aliyeko madarakani na ndio maana kila siku hoja zao zile zile.
Ikifika 2025 watadahau yote ya magufuli watahamia ya raisi atayekuwepo. Na usishangae wakaanza tena kumsudu magufuli.
Kikwete alichukiwa kwelikweli alisema sana, na ikafikia kipindi wakasema wanatamani nchi iendeshwe na jeshi na wengine humu wakasema siku kikwete akitoka madarakani watafanya sherehe ya siku hiyo kila mwaka. Leo wanakumbuka hata moja??
Hawa ni kuwapuuza tu
Hakuna nayempigia debe!

Tatizo lenu nyie makamanda ni mko short-sighted sana.

Hamuwezi kuona hoja zaidi ya Magufuli.

Magufuli kwa sasa anazitawala fikra zenu.

Anaishi vichwani mwenu bure...halipi kodi ya pango wala nini.

Mtu akikosoa mfumo uliomuweka Magufuli madarakani, na ambao ndo uliwaweka Kikwete na Mkapa pia, nyie mnamwona Magufuli tu.

Na kama unadhani tatizo ni Magufuli na siyo mfumo mzima, basi subiri 2025 uone.
 
Watanzania sio watu wenye hamasa( passion)!

Sio kwenye uzalishaji mali au maisha ya kawaida ya jamii, achilia mbali siasa.

Passion yenye uzito ninayoiona ni ile ya unaizi wa mpira wa miguu na nyingine za namna hiyo ambazo kwa kweli hazina manufaa ya maana sana kwa nchi.

Hata inapotokea wakahamasika kwa jambo fulani basi ni kwa kipindi kifupi tu kama vile wakati wa uchaguzi, vikao vya bunge au kwenye matukio ya kutengenezwa kama babu wa Loliondo.

Ni rahisi sana kuwatawala watu wasio na hamasa kwenye mambo ya maana katika maisha yao, na watawala wanalijua hili. Ndio maana wakazuia kurusha vikao vya bunge mubashara ili kuua hamasa ya wananchi kufuatilia wanavyowakilishwa bungeni.

Pengine hata jaribio la kumwua Lissu lililenga kuzima hamasa aliyokuwa anaiamsha miongoni mwa wananchi bila kujali ni kundi gani lilihusika.

Kwa upande mwingine watawala wako mbele sana kuamsha hamasa kwenye mambo ambayo hayana manufaa kwa wananchi, mengi yakiwa yamejikita kwenye burudani.

Watanzania kuweni na hamasa(passion) kwa mambo ya msingi.

Kuweni na hamasa katika kupiga vita ujinga na umasikini.

Kuweni na hasira dhidi ya dhuluma mnazofanyiwa na mliowapa dhamana ya kuwaongoza.

Tunategemea kila uchaguzi wa viongozi unapofanyika uwe ni hatua nyingine ya kuelekea kwenye maendeleo zaidi na sio kubadilisha sura za watawala huku nchi ikibakia palepale.

Mtakuwa watu wa “Hewala Bwana” au “Sisi akina yakhe” mpaka lini?
 
Bro hakuna watu wajinga kama hawa chadema, wao huwa hawapambani na ccm bali wanapambana na raisi aliyeko madarakani na ndio maana kila siku hoja zao zile zile.
Ikifika 2025 watadahau yote ya magufuli watahamia ya raisi atayekuwepo. Na usishangae wakaanza tena kumsudu magufuli.
Kikwete alichukiwa kwelikweli alisema sana, na ikafikia kipindi wakasema wanatamani nchi iendeshwe na jeshi na wengine humu wakasema siku kikwete akitoka madarakani watafanya sherehe ya siku hiyo kila mwaka. Leo wanakumbuka hata moja??
Hawa ni kuwapuuza tu
Punguza mihemko we nyau wa lumumba
 
Kwa nini? Sisi ni waoga wa kupigwa virungu?
Umesema sehemu ya ukweli, licha ya kuwa waoga binafsi pia huwa tunaangalia madhara ya muda mrefu mbele, ikiwa utavunjwa miguu kwa ajili ya siasa za kuunga mkono mwanasiasa utataabika na hatokusaidia, angalia walio pata vilema na kuuwawa Zanzibar walipata nini?!

Familia zinateseka ukiwa umeshakufa au kulemaa. Siwazuii wanaotaka kufanya maandamano lakini they always pay a higher price than others, lakini hawapati outcome wanayotaka.

Angalia migomo ya vyuoni au hata ya kisiasa, nani anaweza kusema hili limepatikana kwasababu ya kuandamana au kugoma?!

Tupambane tu na siasa za wazi hayo mengine hata tusiyawaze.

Hata huko Egypt kumtoa Mubarak haikuwa rahisi, wapo waliofariki na kupata vilema. Nakubali ndio gharama ya demokrasia lakini sioni wa kuibeba hapa kwetu.
Tuombe tushindane kwa kura na kwa haki, hayo ya tume huru na katiba yatakuja muda ukifika.
 
Watanzania tunataka kura zote katika kila jimbo Nchini zihesabiwe hadharani. Ugumu wa kura kuhesabiwa hadharani unatoka wapi? Kama kura za maccm zilihesabiwa hadharani kwanini tumeccm inapata kigugumizi kutuhakikishia Watanzania hilo!? 😳
1596714406685.jpeg
 
Experience inaonyesha kuwa kususia uchaguzi haijawahi kuwa na better outcome kwa wapinzani.

Jakaya aliwapa option ya katiba mpya, yenye tume huru ya uchaguzi na madaraka ya raisi yaliyounguzwa na mfumo kedekede mizurimizuri wakalazimisha kuwa ni Lazima wapate serikali tatu ndo wataukubali mchakato, matokeo yake serikali tatu haipo na Rais alitekuja mdarakani anayependa udikteta akaona katiba ya sasa inamfaa zaidi kwa hulka yake ba matokeo yake akaharibu mchakato wa katiba mpya uliokuwa umebakisha kuitishwa kura ya maoni tu!

Historia ya wapinzani kususia chaguzi inaonyesha haijawahi kuwapa benefit mfano
1.Walisusia uchaguzi wa marudio ya ubunge Dar mwaka 1995, kulichotokea CCM ikatwaa majimbo yote isipokuwa la Lamwai

2. Walisusia uchaguzi wa Marudio Zanzibar, matokeo yake CCM wakafurahi kweli kwa hilo

3. Walisusia ushiriki wa uchaguzi wa serikalu za mitaa baada ya asilimia 97 ya wagombea wao kuenguliwa, sasa hivi CCM wana vijiji vyote na wala hawajifeel guilty kabisa

Mimi naona kuwa Wapambane kupitia uwabja huu mbovu huku wakiendelea kushinikiza uwekwe uwanja mzuri zaidi
Haya sawa. Oktoba 28 2020 msindikizeni ikulu Rais Magufuli.
 
Aisee wewe huijui Tanzania kabisa. Mie nakuambia sasa hivi Chadema iko imara sana mikoani kuliko ilivyokuwa awali pamoja na kuzuiwa kufanya siasa.
Ndio sababu ya hofu iliyonayo CCM kama chama.
mkuu upo sahii sana japo ni ukweli ambao wengi hawpendi kusikia ,hawa chadema wameanza ule mpango wa nyumba kwa nyumba kitambo sana na wako vizuri tatizo wanaccm wengi walisha relax wakijua kila mwaka ccm ushindi upo palepale this time mwafaa
 
Nyani , kati siku akili zako zilipikurudia ni pamoja na post hii. Lakini nakuona kama msomi asiyependa nchi yake. Kasoro za ki muundo unaziona halafu lawama unawarushia wapinzani !!. Hii akili ya msomi wa aina gani ?!.

Kwamba wewe mamlaka zilizotakiwa kutoa haki kwa wananchi kujichagulia viongozi wao ni wapinzani ?!. Usomi huu mbona bure kabisa Ngabu ?!.

Nchi hii ni yetu sote. Tujiwekee utaratibu mzuri wa watu kuwaweka viongozi bora na wanaowataka. Si hii ya lazima utokane na chama cha ki communist cha Ccm !!. Usomi wako usaidie badala ya kuwazodoa wapinzani wanaopambana kupata haki hiyo [emoji120][emoji120]
Ukosoaji unaojenga wewe unauona kuwa ni zodoa?

Ama kweli bado sana! Huna tofauti na huyo mwingine alosema kwamba eti nampigia chapuo Magufuli kwa sababu ni Msukuma!!
 


Lumumba yote wanaweweseka. Wanajua fika uchaguzi ukiwa HURU na wa HAKI watapigwa asubuhi subuhi tu tena Nchi nzima.

 
Back
Top Bottom