Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

Mkuu mgombe wa 2015 na huyu wa 2020 nitofauti kubwa Sana huyu wa Sasa Ni jeuri kiburi asieogopa kitisho chochote naomba tushauriane kujitokeza kupiga kura kwa wingi ili hata kuzilinda tuwe wengi ili hao walinda chama wakiona uwingi wa walinda kura kila kituo kila kitongoji kila Kijiji kila wilaya kila mkoa na hata nchi nzima hawawezi kuwa na mabomu ya machozi ya kumwagia nchi nzima Kama unakumbuka 2015 wengi tulisubiria kauli moja ya bwana Edo ili tukinukishe kukaa kwake kimya ndicho kilichofanya tuvunjike moyo ila kwa bwana huyu mwanasheria Hatakubali kuwa mjinga Kama kura zitamtosha,, naomba ujue kuwa chama tawala waliweka masikio pamba kuhusu tume ya uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi mpaka Waka kata rufaa baada ya mahakama kutengu wakutugenzi kusimamia uchaguzi yote hayo ni ili vyama vikuu vya upinzani wasusie uchaguzi wabakize vibaraka wao tu! Sasa mtego umegoma kufyatuka na wagombea wamepitishwa hofu iko kwao, mkuu nakuomba kwa mara nyingine waeleze wananchi na wanajukwaa faida ya kupiga kura na sio hasara ya kufirika,, mungu anasaidia mwenye juhudi tujiandaeni kupiga kura ki halali kabisa Ni wajibu wetu ,, ikiwa kweli tutapiga kura kwa moyo mmoja mwaka huu itakuwa mara ya kwanza magazeti kuandika habari za chama tawala kuibiwa kura, na lugha tutakayoitumia ni kuwa Mwizi analalamika kaibiwa
Mlinda kura wa kwanza, ni muwakilishi wa chama ndani ya kituo. Kama hawa watakuwa watu wa kununulika basi hata mkikaa wengi kiasi gani, haita badiri matokeo na sana sana mtaumia tu. Vyama vinahitaji kuweka watu wenye misimamo ya kutetea haki zao na wazalendo kwa chama na tanzania yetu. Wakitusaliti hawa, kweli nchi inaweza kuchafuka.
Upinzani unatakiwa kusimama pamoja hasa pale mpinzani kashinda na jamaa wanataka kudhurumu, mawakala wote wasimamie haki ya mwenzao. Huo ndio umoja.
 
Hizo dharau sasa! Hata Albashir alikuwa na dharau za aina hiyo na sasa ananyea ndoo
Magufuli amefeli kwenye maeneo haya

Million 50 kila KIJIJI Ahadi haijatimia hadi sasa



Ajira hakuna ukilinganisha na IDADI ya WAHITIMU kila mwaka


BUNGE halipo LIVE mwaka wa 5 sasa hatuna UELEWA wa KUTOSHA kuhusu MIRADI WANAYOISIFIA kila KUKICHA


TUWE SERIOUSLY Tz NI YETU SOTE
 
Miezi miwili nyuma walikuwa na akili lakini ujuo wa Membe nyumba ile na ujio wa aliyekwenda kutibiwa ughaibuni umewatowa akili zitawaruxia baada ya October Magu atakapokuwa anaapishwa.
tulia Magu hata amini na hataweza kuvumilia matokeo Lisu akitangazwa akiona aliowateua na kuwalipa mishahara wakitangaza washindi vyama vya upinzani
 
Hao jamaa huwa wanatolewa kwenye reli na vitu vya kijinga sana.

Kwa sasa wanaamini kwenye nyomi ya mapokezi Airport ndo ushindi na kusahau habari ya NEC na Wakurugenzi.

Baada ya uchaguzi chorus inaendelea kuwa ileile ya miaka yote.

Wao washiriki tu uchaguzi lakini kutegemea ushindi ni beyond madness.
 
Hata 2010 walikataa wizi wa kura.

2015 napo walikataa wizi wa kura na wakatishia kwenda sijui kwenye mahakama ya wapi wapi huko.

Hawakwenda. Yalikuwa ni maneno matupu tu.

2020 hao tena, wanashiriki tena chaguzi kwa sheria zile zile, tume ile ile, wakishindana na CCM ile ile.

Kila la kheri.
I agree with you.
CCM ni ile ile; tena ikiwa na mwenyekiti 'tougher'.
 
Aisee wewe huijui Tanzania kabisa. Mie nakuambia sasa hivi Chadema iko imara sana mikoani kuliko ilivyokuwa awali pamoja na kuzuiwa kufanya siasa.
Ndio sababu ya hofu iliyonayo CCM kama chama.
Labda mikoani kwako ila hapa Hai kwa mwamba hata hawataki kumsikiliza achilia mbali kumpigia kura.

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Mlinda kura wa kwanza, ni muwakilishi wa chama ndani ya kituo. Kama hawa watakuwa watu wa kununulika basi hata mkikaa wengi kiasi gani, haita badiri matokeo na sana sana mtaumia tu. Vyama vinahitaji kuweka watu wenye misimamo ya kutetea haki zao na wazalendo kwa chama na tanzania yetu. Wakitusaliti hawa, kweli nchi inaweza kuchafuka.
Upinzani unatakiwa kusimama pamoja hasa pale mpinzani kashinda na jamaa wanataka kudhurumu, mawakala wote wasimamie haki ya mwenzao. Huo ndio umoja.
Ni kweli kabisa hata ukiwa na wachezaji wazuri na uwanja safi Kama refa akipewa hela kufungwa hakuzuiliki
 
Hata 2010 walikataa wizi wa kura.

2015 napo walikataa wizi wa kura na wakatishia kwenda sijui kwenye mahakama ya wapi wapi huko.

Hawakwenda. Yalikuwa ni maneno matupu tu.

2020 hao tena, wanashiriki tena chaguzi kwa sheria zile zile, tume ile ile, wakishindana na CCM ile ile.

Kila la kheri.
Mwaka huu kuna nguvu isiyoonekana, tofauti kabisa na hiyo miaka uliyoitaja. Kuna maajabu yanaenda kutokea uchaguzi huu, ambayo hata wewe mwenye hutaamini haraka kitakachotokea!
 
Hifadhi huu mkuki wako utakaokutesa maisha yako yote!
Lissu ndiyo rais wako baada ya October
photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Mimi hata siwaelewagi .... wanashangilia vijembe utafikiri vinageuka kura. Kwanza kwa hali iliyopo mwaka huu hata kama uchaguzi utasimamiwa na mabeberu CCM itashinda! Huko mitaani/vijijini Chadema imefutika, matawi yamefungwa mengi sana. Kabla hata ya issue za Katiba na tume chama hakina mizizi ya watu ngazi za chini kama CCM.
Magufuli atashinda.
Ila post yako hii imejaa chuki kwa chadema. Chadema ipo vijijini; na imesimamisha wagombea huko huko vijijini.
Ukipunguza povu, utakuwa mtu bora zaidi.
 
Hayo mnayoyaona yanafanyika ni kwasababu watu wananchi wamejazwa hofu. Lakini hata Mozambique enzi ya kupigania uhuru dhidi ya Mreno watu wengi hawakutegemea kama Mreno atakimbia. Ukimuuliza Col. Kashmir, anakuambia kuwa alikuwa akiteuwa kombania kuanza safari ya kwenda Vitani alikuwa akiamiani kuwa kati ya hao hatarudi hata mmoja. Baadae wote tunaona sasa Mozambique iko juu kuliko sisi.

Kwahiyo siku risasi ya kwanza itakapopigwa kuanzisha moto wa kuwafurusha wahuni kwenye ofisi ya serikali (IKULU) ndipo mtakapoamini. Sasa endeleeni kupiga ngojera tu, tumezaliwa tusio waoga. tunasubiri walianzishe hata wale wa kutema mate tu, mtaona tu kuwa risasi hazichagui.

Hata Saddam Hussein alikuwa anapita kwa 99% lakini akaishia kunyongwa.
 
Back
Top Bottom